masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Huyu amestahili, sanchi akatafute size yakeMashabiki wa Sanchoka wamewajia juu waandaaji wa shindano la miss bam bam 2018 baada ya mlimbwende binti Salim kuchukua taji la mrembo mwenye umbo la kibantu zaidi huku Sanchoka akishika namba 2 kwa tofauti ya kura 2311, Instagram ni moto juu ya moto mida hii,yaani hakukaliki. Je Sanchoka atatudi nafasi yake 2019.?View attachment 937046View attachment 937047View attachment 937049
Muulize Miss Natafuta ndio anaeweza kulijibu hili swali lakoHivi hawa haja kubwa huwa wanajisaidiaje??
Na mikucha yao ya bandia....Ukiachilia mbali kujitawaza
Hii moment ya ajabu sana....nimecheka sana.....eti bora warudi kwenye maeneo yao......Hapo akikutana na mwanaume mgonjwa wa kibamia bora mrudi kwenye maeneo yenu maana hakuna kazi itafanyika.
Hivi hawa haja kubwa huwa wanajisaidiaje??
Mm ni shabiki kindakindaki wa Madam Dr. Malkia wa Nguvu Sanchoka wala sijastuka maana hajamkaribia hata 5%. Ila minyama hiyo uione kwenye suruali kama hivyoKwahiyo mashabiki zake Sanchoka wamelia au sio?
Huyu anatoa jicho kweliWaache kabisa kumfananisha Sanchoka ni vichokochoko
View attachment 1062454View attachment 1062456View attachment 1062458
Dah πππππAnachuchumaa kimba linatoka mkuu, sema huo mkimba wake sasa unakuwa kama guu la tembo, ukitua kama ndio vile vyoo vya shimo lazima usikie mtikisiko wa ardhi.
Hahahaah Katibu?
Na huku upo ? Hhahahah
mleta mada umebase kwa mshindi wako wa mfukoni kwa kuweka picha yake peke yake(tena zaidi ya 2 )Mashabiki wa Sanchoka wamewajia juu waandaaji wa shindano la miss bam bam 2018 baada ya mlimbwende binti Salim kuchukua taji la mrembo mwenye umbo la kibantu zaidi huku Sanchoka akishika namba 2 kwa tofauti ya kura 2311, Instagram ni moto juu ya moto mida hii,yaani hakukaliki. Je Sanchoka atatudi nafasi yake 2019.?View attachment 937046View attachment 937047View attachment 937049
πππHuyo dada ni kilema sio umbo hilo.
Mkuu wanaume wa dar utawaweza,kuna siku nimeona video dada yake diamond anacheza kitandani na njemba ina rasta wanasema eti marafiki na jamaa hata kibukta kutuna hakuna.Hivi anayempigaga picha sanchworld ni mwanaume kweli? Anavumiliaje kula kwa macho hiyo shida!!