Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

Hii ni Tanzania sio Pakistan ya Asia Bibi au Saudi Arabia wanapompiga shetani mawe kila mwaka.Hapa unaweza kuwa chochote unachotaka,kama vile Sheikh Sharifu majini.
Wewe hujapenda alivokimbia ukafiri?
 
Hii ni Tanzania sio Pakistan ya Asia Bibi au Saudi Arabia wanapompiga shetani mawe kila mwaka.Hapa unaweza kuwa chochote unachotaka,kama vile Sheikh Sharifu majini.
imekaa iyo mkuu👍
 
Huu mzigo hauonekani tena ndani ya hilo baibui!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
SwAli atauweza uislamu? Maana kwa kujianika huyu mwanamke ni kama nguo zinamkera


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom