Mimi @ bujibuji, nipe laki, ntapozi hapohapo na Msahafu/ Quran ntaishika
Naenda kutoa fungu la kumi, Kisha naenda kula nguruwe 🐷🐖🐽
Wewe hujapenda alivokimbia ukafiri?
[emoji16][emoji16][emoji16]bado ni mapema sana mama,kama tunavyojua huko alikoenda ndiko kuna ukafir ulitukuka.yaani zegembe linaenda kutumika officially.awe kapata mume au hajapata uzuri kaachana na ukafiri!!
Alikuwaje em tuambie maana wameandika na ni mchaga na wachaga ninavyowafahamu 🤩🤩
imekaa iyo mkuu👍Hii ni Tanzania sio Pakistan ya Asia Bibi au Saudi Arabia wanapompiga shetani mawe kila mwaka.Hapa unaweza kuwa chochote unachotaka,kama vile Sheikh Sharifu majini.
wakina nani ni makafir mama deboraumenuna kisa huyo dada kuachana na ukafiri?
matracol yako we mama kwanin useme hilo neno hiv utaskiaje mtu akibeza dini yko kmmk ww😏mie nachofurahia ni kuwa dada wa watu kaachana na ukafiri
🤩🤩🤩👍Naenda kutoa fungu la kumi, Kisha naenda kula nguruwe 🐷🐖🐽
Acha shobo basi!!!ni kama vile umewehuka sana mdada wa watu kuachana na ukafiri!!
Usaliti ni dhambiBora hata amebadili dini. Pengine hata naweza pata sababu ya kuacha nyeto. Wazee wa chaputa card soon narudisha[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usaliti ni dhambi
View attachment 1432142
Mrembo maarufu mtandaoni Sanchword amebadili dini na kuwa muislam rasmi na kuitwa Surraiya Evarist Rimoy. Sanchi binti wa kichaga mwenye shepu matata amekuwa akifunga ramadhani wakati bado hajaingia kwenye uislam.
Sent using Jamii Forums mobile app