Sanduku la Agano liko wapi?

Liko ugweno kifula. Alileta mjerumani mmoja anaitwa fucs
 
lililokua Makka sio hili la agano ni lile la malaika jibril alilompatia Mtume.. na lilionekana mwaka 2015 wakati wa upanuzi wa msikiti ndipo viongozi wa kanisa la orthodox wakalifuata kwa escot ya meli za Mrusi mpaka kwenye Bara barafu la antactica.
Du,hilo la malaika jibril ungelianzishia uzi wake hapa tunazungumzia sandusky la agano
 

Suala la sanduku la agano kwa kweli kwamba limefichwa wapi ni tata,lakini kuna umuhimu na ulazima kwamba tusiwe nalo leo maana kwa kule kufa kwa Yesu msalabani na pazia lililokuwa linapatenganisha patakatifu na patakatifu pa patakatifu(ambapo kimsingi ndipo maskani ya sanduku la agano)kulifanya mwisho wa taratibu za kidini na kwa kuanzia hapo Mungu anakaa ndani yetu na si kwenye maskani maalum tu.

Sasa basi sanduku hilo lingekuwepo hata leo watu wangeshindwa kumwabudu Mungu katika Roho na Kweli na yumkini wengine wangeabudu sanduku hilo.
 
Kupitia Malkia wa Sheba na kanisa kongwe la Orthodox
Jaman malkia wa sheba alienda Israeli wakati wa mfalme Suleiman na sanduku liliendelea kuwapo Israel miaka mingi mbele mpaka utawala wa mfalme Yosia mpaka Waisrael wanaenda utumwani Babeli.

Sasa malkia wa Sheba alirudi lini kulichukua?
 
Jaman malkia wa sheba alienda Israeli wakati wa mfalme Suleiman na sanduku liliendelea kuwapo Israel miaka mingi mbele mpaka utawala wa mfalme Yosia mpaka Waisrael wanaenda utumwani Babeli.Sasa malkia wa Sheba alirudi lini kulichukua??????
Hujanielewa, Malkia wa Sheba alikuwa ni Bibi yake Haile Sellasie na ni miongoni mwa wake za Mfalme Suleiman
 
Jaman malkia wa sheba alienda Israeli wakati wa mfalme Suleiman na sanduku liliendelea kuwapo Israel miaka mingi mbele mpaka utawala wa mfalme Yosia mpaka Waisrael wanaenda utumwani Babeli.Sasa malkia wa Sheba alirudi lini kulichukua??????
Waislam, Wakristo na Wayahudi wanaamini kuwa Malkia wa Sheba alichukua vitu vya thamani sana na kumpelekea Mfalme Suleiman kwa usafiri wa ngamia.

Lengo ni kupima HEKIMA yake na alimjaribu kwa mambo mengi tu kwasababu habari za Hekima ya Suleiman wakati huo ilivuma sehemu kubwa ya dunia.

Hatimaye Mfalme Suleiman alimtamani / alimpenda Malkia wa Sheba na kumuoa. Menelik ni Mwanae na Haille Sellasie ni Nyanya yake
View attachment 2046609
 
Haya Mambo yanapasua kichwa Sana inasemakana waliojenga hekalu la kuhifadhi Hilo sanduku walipewa karatasi zenye Mambo ya Siri na mfalme suleiman, wakatokea jamaa wakawavizia na wakawaua hao wajenzi wa hekalu na kuchukua hizo karatasi zenye Siri Sasa Hawa jamaa baada ya kuchukua karatasi za Siri ndio wakaanzisha kitu kinaitwa Freemason upo hapo
 
Hujanielewa, Malkia wa Sheba alikuwa ni Bibi yake Haile Sellasie na ni miongoni mwa wake za Mfalme Suleiman
Hata kama nikikubaliana na wewe bado haitaleta mantiki .Kwa sababu baada ya mfalme Sulemani wamepita wafalme wengi baada yake na sanduku lilikuwepo hapa namaanisha ili sanduku lichukuliwe na malkia wa sheba ilikuwa lazima kiwe limepotea nyakati za Suleiman au muda kidogo baadae .
 
lilifikaje ethiopia? kuna connection gani kati ya utawala wa Babylon na wa-ethiopia ? yawezekana hawa wa-ethiopia ndiyo wakawa wana halisi wa Israel na wengi wao walikuwa utumwani Misri

Mawasli ni mengi....
soma stori ya king solomoni na queen sheba wa ethiopia, kiufupi hawa walipata mtoto wa kiume aitwaye menelik.. solomon ndie aliemkabidhi menelik sanduku la agano na kuja nalo ethiopia
 
Kuna hekalu fulani la ma jews wa ethiopia ( watoto wa malkia wa sheba waliopatikana pale alipokwenda kuslalimia na kumpelekea zawadi king suleiman mzee wa totoz)
 
Wa
Walaw wako wapi? Walipo ndipo sanduku lilipo
 
Hivi kuna mahala nimesema alichukua Malkia wa Sheba?

Mimi nilikuwa naelezea uhusiano wa Malkia wa Sheba na Mfalme Suleiman, na uhusiano wake na Haille Selassie

Kuhusu sanduku kuwa Ethiopia ni Rastafarians na wana dini wengine ndio wanaoamini hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…