Kwenye wimbo wa ''Addis Ababa'' kuna mahali Joseph Hill (Culture) anaimba anasemaLipo Ethiopia na linalindwa kinoma mwaka huu January walikufa watu zaidi ya mia nane wakijaribu kulilinda.
Nakuunga mkono.Haya Mambo yanapasua kichwa Sana inasemakana waliojenga hekalu la kuhifadhi Hilo sanduku walipewa karatasi zenye Mambo ya Siri na mfalme suleiman
,wakatokea jamaa wakawavizia na wakawaua hao wajenzi wa hekalu na kuchukua hizo karatasi zenye Siri Sasa Hawa jamaa baada ya kuchukua karatasi za Siri ndio wakaanzisha kitu kinaitwa Freemason upo hapo
Hekalu la pili kwenye chumba cha patakatifu hapakuwa na kitu coz sanduku halikuwepohalipo,watu wa mwisho kuvamia nakubeba vitu hekaluni ni wababeli
waroma walipovamia mwaka 70AD, hekalu halikuwa na sanduku
Why romeKila kitukuhusu ukristio kipo ROME
Mkuu kwa mujubu wa biblia walawi pekee ndio wenye ruhusa ya kulishika au Kuhani mkuu ss wao walilibeba vp..Inasemekana bablon walilibeba japokuwa hawakuliweka kwenye list ya vitu, na inasemekana kwamba lilikaa mpaka nchi ile kuitwa Iraq, hata vita ya juzi wamarekani walililenga wao
Yes inasemekana hvy pia..Kuna Documentary niliangalia ya BBC/aljazera sina uhakika,wanasema lipo Ethiopia,kuna hekalu Fulani limewekwa huko ndani na huko anayeruhusiwa kuliona na kulilinda ni mtu mmoja tu na Mara nyingi hatoki nje.
Nje ya Hekalu hilo lina ulinzi mkali sana na hata mwandishi mwenyewe kwanza ilibidi apate ruhusa ya kufika huko na hata alipofika aliongea na mtu mmoja tu aliyekuwa nje ndio akamweleza hayo yite na wala hakuruhusiwa kusogea karibu na uzio wa Hekalu.
Zinapatikana king'amuzi gani?BBC ma Channel 4 wana documentaries nzuri sana.
Lilifikaje Ethiopia??eidha liko Ethiopia au kule Israel kwa wapaleatine ndani ya ule msikiti pendwa!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukisoma Samweli wakwanza..kuanzia fungu la 4
Kuna kisa hapo huwa kinanichekesha na kunifundisha sana.
Wafilisiti na waisrael walikua vitani..
Basi wafilisit,wakawapa kichapo kikubwaa waisrael, unaambiwa Waisrael walipigwaa sanaa
Walivyoona kichapo kimewaelemea, wakashauriana kufata SANDUKU LA AGANO ,eti liwalindee
Kweli wakaliletaa, wakapiga kelele sanaaa mpaka wafisiliti wakaanza kuogopa
Baadae Wafisiliti wakajawa na ujasiri wakaona bora wakapamband
Wakaenda tena kwa Waisrael, wakawatembezea kipigooo, piga saaana waisrael, pigaaa sanaaa licha ya Sanduku la agano, lkn wote walichezea kipigoo
Mpaka Wakalibeba sanduku.
Ilibidi Mungu mwenyewer aingilie kati ,kuwapa adhabu wafilisit mpaka wakalirudisha[emoji23][emoji23][emoji23].
FUNZO...Tunajifanganyaga eti ukilala na Biblia, Mashetani na wanga wa Usiku hawakuchezei
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]My Dear, kama Waisrael walichezea kichapoo licha ya kua na Sanduku la Agano. Sembuse Biblia ako[emoji23][emoji23][emoji23]
TUSALI.
Hakuna sanduku ni hekaya hizo,.Hoja ni kwamba sanduku lilikuwa na utukufu wa Mungu na waliokuwa wanaruhusiwa kulishika ni wana wa lawi hakuna mtu mwingine yeyote aliyeruhusiwa kulishika wala kuligusa, aliyethubutu kulishika/kuligusa bila kuruhusiwa alikufa hapohapo.
Je baadae utukufu wa Mungu uliondolewa na kila mtu akaruhusiwa kulishika/kuligusa na kulibeba ndio maana likaweza kubebwa na mtu yeyote asiyekuwa mulawi na kufichwa mahali pasipojulikana pasipokupata madhara yoyote ya kufa kama ilivyokuwa hapo awali?.
Isije ikawa sanduku la Bwana lilifichwa na Mungu mwenyewe kama alivyoificha busitani ya edeni kwa ajili ya usalama wa mwanadamu ili wasiendelee kufa kwa kuwa amri ya Mungu ilikuwa ni wana wa lawi pekee ndio walioruhusiwa kuligusa sanduku la Bwana, tofauti na hapo aliyethubutu kuligusa kama hakuwa mulawi hakuna adhabu nyingine aliopewa zaidi ya kifo.
Na hakuna mahali popote pale tunapoambiwa Kama Mungu alibadilisha amri yake ya kutaka wana wa lawi ndio watu pekee wanaoruhusiwa kuligusa sanduku la Bwana, na kuruhusu kila mtu yeyote aliguse pasipo kupata madhara yoyote.
Utawala wa ethiopia ulijulikana kama Cushite empire,,, kuna kipindi ulispread hadi caanan, enzi za mafarao ndio kipindi wakush wanatawala misri hadi caanan,lilifikaje ethiopia? kuna connection gani kati ya utawala wa Babylon na wa-ethiopia ? yawezekana hawa wa-ethiopia ndiyo wakawa wana halisi wa Israel na wengi wao walikuwa utumwani Misri
Mawasli ni mengi....
Nope waethiopia walitawala hadi caanan kipindi hichoHuenda waethiopia wenyewe ndo waizrail walokusudiwa
ROME. HEAD QUOTER OF THE WORLD RULERSWhy rome