Sanduku la Agano yawezekana limefichwa na makundi ya siri kama Priory of Sion?

Hao wa Ethiopia wahuni tu!!Hata wamasai wa Monduli wanaweza kuchonga wakasema lipo Kwao...
Kwaiyo Mungu hawezi kulilinda?
I
shukraani kwa mchango mkuu
 
Aisee
 
Kumbe Mungu aliwashushia chakula waisrael directly toka mbinguni.
Kwa nini hawafanyii hii favor na wengine wanaokutwa na baa la njaa kama kule Turkana Kenya?
 
Kuna vitu vingine vipo ili vilete Jaribu kwako wewe mwanadamu
Sidhani pia kama mungu alishindwa kumlinda na mkewe na Hila za nyoka pale Eden.

Pia soma Isaya 14:14
Mkuu mimi siamini kwenye Mungu, samahani lakini.
 
Swadaktaa
Kilichomo au faida inayotokana na sanduku ndio msingi wenyewe
Sasa kuna watu linawafaidisha na kwa hakika hawawezi kukubali kulipteza,wajua wazungu wanajua sana kuiba tamaduni na kuziboresha kwa manufaa yao.
 
Mkuu mimi siamini kwenye Mungu, samahani lakini.
Sasa unaamini kwenye nini.

Kwa taarifa yako hakuna mtu asiyeamini. Kama huamini Mungu basi unamwamini shetani. Huwezi ukakosa upande. If you are not for God, you are for satan. (FACT)


JESUS IS LORD.
 
Sasa unaamini kwenye nini.

Kwa taarifa yako hakuna mtu asiyeamini. Kama huamini Mungu basi unamwamini shetani. Huwezi ukakosa upande. If you are not for God, you are for satan. (FACT)


JESUS IS LORD.
Usiseme hakuna mtu asiyeamini. Atheist hawaamini uwepo wa Mungu na shetani.

Sina upande na nikifa nikikutana na mmojawapo cha moto watakiona.
 
Kwa sasa hivi hata wakilificha wanakojua halina tena kazi,
 
Kwa sasa sanduku ni kama Boksi tu halina kazi...Mungu hakai kwenye masanduku bali kwenye mioyo iliyopondeka

Unahitaji kumtafuta Mungu na siyo sanduku.

Sheria za Mungu haziandikwi tena kwenye Vibao vya nyama bali katika mioyo ya wanadamu

Ebrania 8:10
 
Aiseee
 
Kwa wale wasomaji wapya wa JF, hili Sanduku limeshajadiiwa kwa kina sana. Pitia hapa chini.

 
Wasomi wengi
Pasi na ithibati walidai hivi kwamba liliibwa na malikia wa sheeba na kuhifadhiwa huko Ethiopia, lakini hakuna ushahidi wa moja kwa moja kama ilivyo kwa maeneo mengine yanayosadikaka kuwepo.
Kama inasemwa hakuna Ushahidi kwamba Sanduku la Agano lilienda Ethiopia, Je! Kuna Ushahidi gani kwamba hizo Secret Societies ndo zimeficha hilo Sanduku la Agano?
 
Kama inasemwa hakuna Ushahidi kwamba Sanduku la Agano lilienda Ethiopia, Je! Kuna Ushahidi gani kwamba hizo Secret Societies ndo zimeficha hilo Sanduku la Agano?
Swali lako, jibu
Lipo kwenye nyuzi yote hapo mkuu,
Kama hukusoma ungesoma
, na kama ulisoma hebu jaribu kurudia kuisoma
 
Swali lako, jibu
Lipo kwenye nyuzi yote hapo mkuu,
Kama hukusoma ungesoma
, na kama ulisoma hebu jaribu kurudia kuisoma
Nimesoma ila sikuona Ushahidi zaidi ya kuona Mawazo ya Mtu na Vile ukielezea kuhusu Documentary moja ambayo imejaribu kuelezea kuhusiana na kile ulichokiwakirisha hapa.
 
Nimesoma ila sikuona Ushahidi zaidi ya kuona Mawazo ya Mtu na Vile ukielezea kuhusu Documentary moja ambayo imejaribu kuelezea kuhusiana na kile ulichokiwakirisha hapa.
Na ndiyo maana hata heading ipo katika mfumo wa kiulizo,
 
Yaani sanduku lile haliwezi chukuliwa hovyo hovyo tu bila Mungu kuchagua watu anaowataka na kwa sheria zake lkn km waki kiuka sheria anazo weka Mungu kulihusu basi ni kifo pia!

SASA eti leo azuke mnuka mikojo mmoja! asiyjua hata sheria za sanduku alishike shike tuuuu! weeee! kwanza hata weye kulitaja ivi sijui hizi nguvu umetoa wapi!!.......nina mashaka sana na uhai wako!

kulitaja sanduku si lele mama! ujue!! unatakiwa ule ushibe!! ufunge na kuomba je umefanya hayoooo!.......Wayahudi wali ishi nalo kwa Mazoea, natokeo yake likapotea mazimaaaa!

Mpaka leo wamepigika hao! sina hata hamu!! wayahudi wale ukiwaona walivo pigika nakwambia utalia machozi ya damu!...kisa walilitosa sanduku
 
What?? Very dangerous kwanini? Je uhatari huo ni upi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…