Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Sio sawa kumuacha huyu dogo, isiwe eti kwasababu ni ulaya basi tuone kila kitu wanachofanya kwenye soka ni sahihi.. huyu dogo kaupiga mwingi sana msimu huu.. alistahili kabisa huyu dogo.
National team hafiti. Nani wa kumtoa pale?