luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Nikiwa kama mkaazi wa Kibaha TC nimeona hili jina la DC mpya Bi Sara Msafiri lakinI sioni CV yake.
Embu mnaomfahamu na kumjua leteni Info.
Je, na yeye ni UVCCM kalamba shavu la uteuzi?
Marital status yake?
Je, ni mlipukaji?
Embu mnaomfahamu na kumjua leteni Info.
Je, na yeye ni UVCCM kalamba shavu la uteuzi?
Marital status yake?
Je, ni mlipukaji?