Sara Msafiri, DC mteule wa Kibaha ndio nani?

Sara Msafiri, DC mteule wa Kibaha ndio nani?

Alikuwa mtumishi Tume ya Haki za binadamu kama Investigation officer, then akaacha kazi akaingia kwenye siasa mara akateuliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne, awamu ya tano akawa DC mbulu then kigamboni , now kibaha. Ana masters ya PA. Mpaka anaacha kazi anaingia bungeni alikuwa single.
Nimekuwa nikimfatilia toka anaanza kupewa wilaya ya Hanang huko Manyara na sio Mbulu ,but outputs ni kidogo sana na creativity hakuna kitu hapo.Muache aendelee kubebwa tu lakini pia kwenye maisha omba bahati.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Nimekuwa nikimfatilia toka anaanza kupewa wilaya ya Hanang huko Manyara na sio Mbulu ,but outputs ni kidogo sana na creativity hakuna kitu hapo.Muache aendelee kubebwa tu lakini pia kwenye maisha omba bahati.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Nilisikia hivi majuzi aligumdua wezi wa mafuta huko kigamboni hivyo bila shaka ana impact, atasaidia hapa kibaha TC kero kibao na madudu mengi mfano kuna jiran yangu aliuziwa kiwanja na halmashauri kikiwa kimepitiwa na bomba la Maji
 
Alikuwa mtumishi Tume ya Haki za binadamu kama Investigation officer, then akaacha kazi akaingia kwenye siasa mara akateuliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne, awamu ya tano akawa DC mbulu then kigamboni , now kibaha. Ana masters ya PA. Mpaka anaacha kazi anaingia bungeni alikuwa single.
Unaposema alikuwa 'Single' unataka kusema bado Bi. Sarah ni 'Bikra' na 'habanduliwi' kabisa Mkuu au?
 
Alikuwa mtumishi Tume ya Haki za binadamu kama Investigation officer, then akaacha kazi akaingia kwenye siasa mara akateuliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne, awamu ya tano akawa DC mbulu then kigamboni , now kibaha. Ana masters ya PA. Mpaka anaacha kazi anaingia bungeni alikuwa single.
Ni mali ya Mzee wa Piko lakini pia Mzee wa tahsisi ya rushwa aliyetolewa hivi karibuni alikuwa anatumia pia mara kwa mara
 
Alikuwa mtumishi Tume ya Haki za binadamu kama Investigation officer, then akaacha kazi akaingia kwenye siasa mara akateuliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne, awamu ya tano akawa DC mbulu then kigamboni , now kibaha. Ana masters ya PA. Mpaka anaacha kazi anaingia bungeni alikuwa single.
Na kwasasa marital status yake ipoje Mkuu?


Asante sana
 
Nikiwa kama mkaazi wa Kibaha TC nimeona hili jina la DC mpya Bi Sara Msafiri lakinI sioni CV yake.

Embu mnaomfahamu na kumjua leteni Info.

Je, na yeye ni UVCCM kalamba shavu la uteuzi?

Marital status yake?

Je, ni mlipukaji?
Huyu mama ni jembe saaaaana mkuu,tena sana ilipaswa hata apewe ukuu wa mkoa,hii inshu ambayo mkuu wa mkoa Dar anaipigia kidedea ya wizi wa mafuta kigamboni na pembezoni ni yeye aliibua na alitishiwa maisha saana,ni mfuatiliaji mzuri sana na mtu wa dini kiufupi mmepata jembe,anafikika na anasikiliza na kutatua kero za wananchi ,
 
Kibaha na Pwani kwa ujumla hawaja wahi kupata kiongozi mwenye impact tangu Sarungi aondoke.
Mfano huyu mkuu wa mkoa aliyeondoka Ndikilo ameifanyia Nini Pwani?
Wamejenga barabara za lami ambazo hazipiti watu, pikipiki Wala magari. Zile barabara maeneo ya kituo Cha polisi wilaya wakati barabara ya Soga iliyo busy kuliko barabara ya segera Chalinze Ni ya vumbi.
Niambia Mwantumu ameifanyia Nini Pwani.?
Kibaha town mpaka leo majengo Ni shacks hakuna nyumba ya maana.
Hilo jengola TRA walilojengewa hata wenyewe wameshindwa kulihamia. Utafikirililijengwa na watoto wa nursery school. TRA wameona Bora waendelee kupanga jengo la NSSF kuliko kuhatarisha Maisha ya mlipakodi
Kumridhisha mwanadamu ni jambo gumu sana, hizo barabara zisigwe jengwa mngelalamika tena. Hapa unauliza mkuu wa mkoa ameifanyia nini pwani, jibu ni amejenga barabara za lami
Nakuuliza wewe hapo umeifanyia nini pwani?
 
Afisa Kipenyo atakua
H
Nikiwa kama mkaazi wa Kibaha TC nimeona hili jina la DC mpya Bi Sara Msafiri lakinI sioni CV yake.

Embu mnaomfahamu na kumjua leteni Info.

Je, na yeye ni UVCCM kalamba shavu la uteuzi?

Marital status yake?

Je, ni mlipukaji?
Hajawahi penda u DC Yeye ndoto yake ni UBUNGE TU, 2020 aliogopa biti la Magufuli , Otherwise na yeye ange resign akagombee ubunge
 
Huyu mama ni jembe saaaaana mkuu,tena sana ilipaswa hata apewe ukuu wa mkoa,hii inshu ambayo mkuu wa mkoa Dar anaipigia kidedea ya wizi wa mafuta kigamboni na pembezoni ni yeye aliibua na alitishiwa maisha saana,ni mfuatiliaji mzuri sana na mtu wa dini kiufupi mmepata jembe,anafikika na anasikiliza na kutatua kero za wananchi ,
Kweli eh aisee nitajitahidi nimuone
 
Back
Top Bottom