Sara Msafiri, DC mteule wa Kibaha ndio nani?

Sara Msafiri, DC mteule wa Kibaha ndio nani?

Alikuwa mtumishi Tume ya Haki za binadamu kama Investigation officer, then akaacha kazi akaingia kwenye siasa mara akateuliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne, awamu ya tano akawa DC mbulu then kigamboni , now kibaha. Ana masters ya PA. Mpaka anaacha kazi anaingia bungeni alikuwa single.
Ni PA au MBA?

Anajiamini sana huyu mdada mwenye paja nene na la kuvutia. Muda mwingine anavaa sketi yenye mpasuo kiasi cha kuwatia kiwewe wale wapenda sufi.

Master yake alimalizia Mzumbe pale Upanga, na msimamizi wa Dissertation yake alikuwa Prof. Barongo Afisa Kipenyo Mwandamizi yule mzee
 
Nikiwa kama mkaazi wa Kibaha TC nimeona hili jina la DC mpya Bi Sara Msafiri lakinI sioni CV yake.

Embu mnaomfahamu na kumjua leteni Info..
Hapana syo mteule mpya, ni dada mmoja hvi mchapakazi sana, aliwahi kuwa DC wilaya ya Hanang mkoa wa Manyara, akapata uhamisho akaenda kuwa DC wilaya ya Kigambo, sasa hivi ndo kapelekwa Kibaha. Yuko vizuri sana huyu dada.
 
Alikuwa mtumishi Tume ya Haki za binadamu kama Investigation officer, then akaacha kazi akaingia kwenye siasa mara akateuliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne, awamu ya tano akawa DC mbulu then kigamboni , now kibaha. Ana masters ya PA. Mpaka anaacha kazi anaingia bungeni alikuwa single.
Hajawahi kuwa DC Mbulu, ni Hanang bwana, taarfa zako haziko sahihi
 
Alikuwa mtumishi Tume ya Haki za binadamu kama Investigation officer, then akaacha kazi akaingia kwenye siasa mara akateuliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne, awamu ya tano akawa DC mbulu then kigamboni , now kibaha. Ana masters ya PA. Mpaka anaacha kazi anaingia bungeni alikuwa single.
Inawezekana ni mmjo katiya wale wasio julikana.
 
Kala sana pale, unakumbuka Magufuli alimruhusu Bashite kwenda Misri kuongeza hamasa kwa Stars bila aibu akasema 'nenda na ukitaka kwenda na Mkuu wa Wilaya Sara nenda naye' ahahahahah jioni namuona Sara kwenye ndege amevaa jaketi to Egypt
Mbona nasikiaga Bashite hawezi kula mzigo?
 
Alikuwa mtumishi Tume ya Haki za binadamu kama Investigation officer, then akaacha kazi akaingia kwenye siasa mara akateuliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne, awamu ya tano akawa DC mbulu then kigamboni , now kibaha. Ana masters ya PA. Mpaka anaacha kazi anaingia bungeni alikuwa single.

Mpaka leo ni single?
 
Back
Top Bottom