Sara Msafiri, DC mteule wa Kibaha ndio nani?

Sara Msafiri, DC mteule wa Kibaha ndio nani?

Naomba namba yake kama bado yupo singo
Alikuwa mtumishi Tume ya Haki za binadamu kama Investigation officer, then akaacha kazi akaingia kwenye siasa mara akateuliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne, awamu ya tano akawa DC mbulu then kigamboni , now kibaha. Ana masters ya PA. Mpaka anaacha kazi anaingia bungeni alikuwa single.
 
Nikiwa kama mkaazi wa Kibaha TC nimeona hili jina la DC mpya Bi Sara Msafiri lakinI sioni CV yake.

Embu mnaomfahamu na kumjua leteni Info.

Je, na yeye ni UVCCM kalamba shavu la uteuzi?

Marital status yake?

Je, ni mlipukaji?
Mkoa wa Pwani ni mgumu Sana, wilaya zake hujazwa watumishi wa kike, BAGAMOYO mwanamke, mkuranga mwanamke, kibaha mwanamke, safar hii kisarawe imepewa mbaba.Mkoa hauna maendeleo, Wananchi wake hawzjitolei kama ilivyo mkoani.
 
"Ndugu zangu wazaramo wa kisarawe mnaniangushaaaaa , Dc yupo hapaa na hajaolewaaah" the late JPM
Kuna Mteule Wangu Mmoja Hapa Kazi Yake Kutongoza Wake Za Watu. Tumemuonya Haonyeki.
Waziri Jafo Kampangie Kazi Ya Chini Sana!😅😄😃😂😁😀
 
Ni PA au MBA?

Anajiamini sana huyu mdada mwenye paja nene na la kuvutia. Muda mwingine anavaa sketi yenye mpasuo kiasi cha kuwatia kiwewe wale wapenda sufi.

Master yake alimalizia Mzumbe pale Upanga, na msimamizi wa Dissertation yake alikuwa Prof. Barongo Afisa Kipenyo Mwandamizi yule mzee
Prof barongo hamna kitu yye anawaandikia wanafunzi dissertations anakukabidhi kitabu cheuse
Pesa yako tu. Hata huyu alifanyiwa ninauhakika 100%
 
Prof barongo hamna kitu yye anawaandikia wanafunzi dissertations anakukabidhi kitabu cheuse
Pesa yako tu. Hata huyu alifanyiwa ninauhakika 100%
Bro hapa Afrika hususani Tanzania ukitumia nguvu nyingi kwenye elimu utaambulia maumivu makali.

Ukiweza kuangalizia angalizia,ukipata wa kukuandikia poa tu. Maana nchi inaboa sana hii, yaani very hopeless!

Wajinga wajinga ndo wanapeta tena kitapelitapeli na kihuni we unakomaa lakini unaambulia maumivu kila kukicha; kesho yake unawakuta Masai wanakula Robertson we uko Mbande ukiishi kwa Matumaini.

Mfano mdogi tu,fatilia zoezi la upandishwaji madaraja-stupidy cattle
 
Bro hapa Afrika hususani Tanzania ukitumia nguvu nyingi kwenye elimu utaambulia maumivu makali.

Ukiweza kuangalizia angalizia,ukipata wa kukuandikia poa tu. Maana nchi inaboa sana hii, yaani very hopeless!

Wajinga wajinga ndo wanapeta tena kitapelitapeli na kihuni we unakomaa lakini unaambulia maumivu kila kukicha; kesho yake unawakuta Masai wanakula Robertson we uko Mbande ukiishi kwa Matumaini.

Mfano mdogi tu,fatilia zoezi la upandishwaji madaraja-stupidy cattle
Wengi hawajui iyo kitu inaitwa RESEARCH CONSULTANCY sio kosa kufanya consultancy
 
Nikiwa kama mkaazi wa Kibaha TC nimeona hili jina la DC mpya Bi Sara Msafiri lakinI sioni CV yake.

Embu mnaomfahamu na kumjua leteni Info.

Je, na yeye ni UVCCM kalamba shavu la uteuzi?

Marital status yake?

Je, ni mlipukaji?
Kwa teuzi ndani ya ccm hazihitaji sana cv
 
Nikiwa kama mkaazi wa Kibaha TC nimeona hili jina la DC mpya Bi Sara Msafiri lakinI sioni CV yake.

Embu mnaomfahamu na kumjua leteni Info.

Je, na yeye ni UVCCM kalamba shavu la uteuzi?

Marital status yake?

Je, ni mlipukaji?
Sara Msafiri, once CHRAGG employee, dah watu wanachimba sana mambo ya watu.
 
Wengi hawajui iyo kitu inaitwa RESEARCH CONSULTANCY sio kosa kufanya consultancy
Research consultancy kwenye academic work? Hi ni illegal na ukikamatwa ni kesi kubwa. Nijuavyo mwalimu unamsupervise mwanafunzi sio kumwandikia.
 
Research consultancy kwenye academic work? Hi ni illegal na ukikamatwa ni kesi kubwa. Nijuavyo mwalimu unamsupervise mwanafunzi sio kumwandikia.
Sio. Kuandikiwa consultancy ni kitu tofauti na kuandikiwa ....
Ku plagiarize ndio illegal, consultancy ni recommendable
 
Back
Top Bottom