ze farmer
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 922
- 1,804
Apo juu wanasema prof alimwandikia huyu dem hiyo dissertation. Hii kisheria haikubaliki. Si zungumzii plagiarism. Sasa kama mwalimu unamwandikia mwanafunzi utafiti so nini mana ya wewe kusoma.? Kwenye academics hii research consultancy haihusu wanafunzi inahusu taasisi tofauti kama serikali na mashirika mengineSio. Kuandikiwa consultancy ni kitu tofauti na kuandikiwa ....
Ku plagiarize ndio illegal, consultancy ni recommendable