Sara Msafiri, DC mteule wa Kibaha ndio nani?

Sara Msafiri, DC mteule wa Kibaha ndio nani?

Sio. Kuandikiwa consultancy ni kitu tofauti na kuandikiwa ....
Ku plagiarize ndio illegal, consultancy ni recommendable
Apo juu wanasema prof alimwandikia huyu dem hiyo dissertation. Hii kisheria haikubaliki. Si zungumzii plagiarism. Sasa kama mwalimu unamwandikia mwanafunzi utafiti so nini mana ya wewe kusoma.? Kwenye academics hii research consultancy haihusu wanafunzi inahusu taasisi tofauti kama serikali na mashirika mengine
 
Apo juu wanasema prof alimwandikia huyu dem hiyo dissertation. Hii kisheria haikubaliki. Si zungumzii plagiarism. Sasa kama mwalimu unamwandikia mwanafunzi utafiti so nini mana ya wewe kusoma.? Kwenye academics hii research consultancy haihusu wanafunzi inahusu taasisi tofauti kama serikali na mashirika mengine
Sasa wana uthibitisho kwa maana ya ushahidi ?

Hizo ni siasa tu za kutaka kumchafua mtu
 
Sasa wana uthibitisho kwa maana ya ushahidi ?

Hizo ni siasa tu za kutaka kumchafua mtu
Na ndo nilikuwa nasema incase ni kweli na ni prof. Alifanya hivo basi shule yetu inashida. Sasa tukichanganya kumwandikia mwanafunzi kama ndio research consultancy basi tumeisha.
 
Na ndo nilikuwa nasema incase ni kweli na ni prof. Alifanya hivo basi shule yetu inashida. Sasa tukichanganya kumwandikia mwanafunzi kama ndio research consultancy basi tumeisha.
Na izo research za social nyingi ni zina fanana hamna jipya kabisaa
 
neno "ubunifu" linakupa maana ipi ? kipya, au kuboresha?
Sitaki kuchukuwa creativity Kwa tafsiri ya ubunifu ambayo kimsingi naona ni nyepesi Sana kulinganisha na uzito wa Neno lenyewe. Lakini pia tukirudi kwenye tafsiri yako ambayo ni ubunifu, ubunifu siyo lazima uje na Jambo jipya, Ila unaweza kuchukuwa Jambo ambalo lipo au lilikiwepo na ukaliweka kwenye uhalisia Kwa maana ya kulifanyia kazi.
 
Back
Top Bottom