Sarafu ya Iran yashuka hadi chini kabisa huku kukiwa na mvutano kati yake na Marekani na Ulaya

Sarafu ya Iran yashuka hadi chini kabisa huku kukiwa na mvutano kati yake na Marekani na Ulaya

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Sarafu ya Iran yashuka hadi chini kabisa huku kukiwa na mvutano kati yake na Marekani na Ulaya.

Sarafu ya Iran iliendelea kuporomoka siku ya Jumamosi, na kudorora zaidi dhidi ya dola ya Marekani huku kukiwa na sintofahamu kuhusu kukaribia kwa Donald Trump katika Ikulu ya White House na mivutano na nchi za Magharibi kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.

Sarafu ya Iran maarufu kama (Rial), ilishuka hadi 756,000 kwa dola moja kwenye soko lisilo rasmi siku ya Jumamosi, ikilinganishwa na Rial 741,500 siku ya Ijumaa, kulingana na Bonbast.com, ambayo inaripoti viwango vya ubadilishanaji. Tovuti ya bazar360.com ilisema dola hiyo moja ilikuwa ikiuzwa kwa takriban Rial 755,000.

 
Sarafu ya Iran yashuka hadi chini kabisa huku kukiwa na mvutano kati yake na Marekani na Ulaya.


Sarafu ya Iran iliendelea kuporomoka siku ya Jumamosi, na kudorora zaidi dhidi ya dola ya Marekani huku kukiwa na sintofahamu kuhusu kukaribia kwa Donald Trump katika Ikulu ya White House na mivutano na nchi za Magharibi kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.

Sarafu ya Iran maarufu kama (Rial), ilishuka hadi 756,000 kwa dola moja kwenye soko lisilo rasmi siku ya Jumamosi, ikilinganishwa na Rial 741,500 siku ya Ijumaa, kulingana na Bonbast.com, ambayo inaripoti viwango vya ubadilishanaji. Tovuti ya bazar360.com ilisema dola hiyo moja ilikuwa ikiuzwa kwa takriban Rial 755,000.

Duuuh,, naona hata Zimbabwe ya Mugabe haikufikia huko. Wajipange, si wana mafuta
 
Wanaambiwa kila siku waishi kama nchi zingine zinavyoishi wao hawataki raha yao waiamgamize Israel tu basi wao kuporomoka kwa uchumi kwao sio kitu..

Ndio maana Netanyahu anawaambia raia wa Iran hana shida nao na anawaonea huruma utawala wao wa kipumbavu unatumia mabilioni ya dillar kufadhiri ugaidi and wanakwama bora waimarushe maisha ya raia. Ameaema watakuwa huru soon
 
Sarafu ya Iran ina thamani ndogo sana kwa miaka mingi ila ilipoteza thamani zaidi baada ya Trump kujitoa kwenye kwenye makubaliano ya Nyukilia mwaka 2018.
Na Sababu ya kushuka dhidi ya dora ni baada ya Marekani kuweka vikwazo zitakavyo izuia serikali ya Iran kupata dora hivyo kuifanya dora kuwa adimu sana nchini Iran.
Nchini Iran mahitaji ya dora yako juu kwa sababu Iran ni kati ya mataifa yenye raia wengi sana wenye uraia pacha hivyo wanahitaji kusafiri mara kwa mara.
Kinacho ibeba Iran ni nguvu yake ya kiviwanda vya ndani hivyo bidhaa nyingi za viwandani ambazo ni muhimu kwenye maisha ya kila siku zinazalishwa ndani ya nchi hiyo.

Lakini wangekuwa kama Tz ambao mpaka vijiti vya kujichokonolea meno tunategemea tuagize china kwakweli raia wa Iran wasingeweza kusitahimili maana kungekuwa na mfumko wa bei ambao haijawahi kushuhudiwa.
 
Wanaambiwa kila siku waishi kama nchi zingine zinavyoishi wao hawataki raha yao waiamgamize Israel tu basi wao kuporomoka kwa uchumi kwao sio kitu..

Ndio maana Netanyahu anawaambia raia wa Iran hana shida nao na anawaonea huruma utawala wao wa kipumbavu unatumia mabilioni ya dillar kufadhiri ugaidi and wanakwama bora waimarushe maisha ya raia. Ameaema watakuwa huru soon
Ww kigagura wa ccm una nini cha kuwashauli wairan?
Kwani tangu sh ianze kupanda dhidi ya dora ni kipi kilicho badilika kwenye maisha ya kila siku ya Mtz?
Thamani ya fedha kushuka dhidi ya sarafu za kigeni hakuna mahusiano yeyote na kushuka kwa uchumi bali huwa inashababisha mfumko wa bei hasa iwapo nchi hiyo itakuwa tegemezi wa bidhaa kutoka nje.

Kupanda kwa dora hakuwaathiri moja kwa moja raia waliko ndani ya Iran kwa sababu bidhaa nyingi wanazo tumia ndani ya nchi hiyo zinatokana na viwanda vyao wenyewe na bidhaa zinazo toka nje kwa wingi hasa chakula serikali inazilipia ruzuku , usidhani Iran ni kama nchi yako ambayo mpaka chupi inategemea kuagiza china.

Pia Iran haina madeni kwenye mabenki ya kimagharibi ambayo ingehitaji dora kuyalipa.

Ila hii itawaimiza wairan wenyewe uraia pacha ambao wana safiri safiri sana.

Pesa ya Zambia ina thamani mara tano ya pesa ya S.korea na Japan sasa niambie zambia ina nini za cha maana zaidi ya njaa na umasikini?

Hela ya Iran haina thamani ila raia wa Iran hawajui mgao wa umeme,maji ,wana elimu bora,miundo mbinu ya kisasa,wana sekta kubwa ya viwanda ,wana sekta bora ya afya.

Wakati Tz ambayo fedha yake ina thamani mara 10 ya Iran lakini haina hata kipaumbele chochote kama taifa inajiendea tu kama gari bovu.
 
Ww kigagura wa ccm una nini cha kuwashauli wairan?
Kwani tangu sh ianze kupanda dhidi ya dora ni kipi kilicho badilika kwenye maisha ya kila siku ya Mtz?
Thamani ya fedha kushuka dhidi ya sarafu za kigeni hakuna mahusiano yeyote na kushuka kwa uchumi bali huwa inashababisha mfumko wa bei hasa iwapo nchi hiyo itakuwa tegemezi wa bidhaa kutoka nje.

Kupanda kwa dora hakuwaathiri moja kwa moja raia waliko ndani ya Iran kwa sababu bidhaa nyingi wanazo tumia ndani ya nchi hiyo zinatokana na viwanda vyao wenyewe na bidhaa zinazo toka nje kwa wingi hasa chakula serikali inazilipia ruzuku , usidhani Iran ni kama nchi yako ambayo mpaka chupi inategemea kuagiza china.

Pia Iran haina madeni kwenye mabenki ya kimagharibi ambayo ingehitaji dora kuyalipa.

Ila hii itawaimiza wairan wenyewe uraia pacha ambao wana safiri safiri sana.

Pesa ya Zambia ina thamani mara tano ya pesa ya S.korea na Japan sasa niambie zambia ina nini za cha maana zaidi ya njaa na umasikini?

Hela ya Iran haina thamani ila raia wa Iran hawajui mgao wa umeme,maji ,wana elimu bora,miundo mbinu ya kisasa,wana sekta kubwa ya viwanda ,wana sekta bora ya afya.

Wakati Tz ambayo fedha yake ina thamani mara 10 ya Iran lakini haina hata kipaumbele chochote kama taifa inajiendea tu kama gari bovu.
Rudi shule tena Immam wangu
 
Sarafu ya Iran ina thamani ndogo sana kwa miaka mingi ila ilipoteza thamani zaidi baada ya Trump kujitoa kwenye kwenye makubaliano ya Nyukilia mwaka 2018.
Na Sababu ya kushuka dhidi ya dora ni baada ya Marekani kuweka vikwazo zitakavyo izuia serikali ya Iran kupata dora hivyo kuifanya dora kuwa adimu sana nchini Iran.
Nchini Iran mahitaji ya dora yako juu kwa sababu Iran ni kati ya mataifa yenye raia wengi sana wenye uraia pacha hivyo wanahitaji kusafiri mara kwa mara.
Kinacho ibeba Iran ni nguvu yake ya kiviwanda vya ndani hivyo bidhaa nyingi za viwandani ambazo ni muhimu kwenye maisha ya kila siku zinazalishwa ndani ya nchi hiyo.

Lakini wangekuwa kama Tz ambao mpaka vijiti vya kujichokonolea meno tunategemea tuagize china kwakweli raia wa Iran wasingeweza kusitahimili maana kungekuwa na mfumko wa bei ambao haijawahi kushuhudiwa.
Umeeleza vizuri sana
 
Sarafu ya Iran ina thamani ndogo sana kwa miaka mingi ila ilipoteza thamani zaidi baada ya Trump kujitoa kwenye kwenye makubaliano ya Nyukilia mwaka 2018.
Na Sababu ya kushuka dhidi ya dora ni baada ya Marekani kuweka vikwazo zitakavyo izuia serikali ya Iran kupata dora hivyo kuifanya dora kuwa adimu sana nchini Iran.
Nchini Iran mahitaji ya dora yako juu kwa sababu Iran ni kati ya mataifa yenye raia wengi sana wenye uraia pacha hivyo wanahitaji kusafiri mara kwa mara.
Kinacho ibeba Iran ni nguvu yake ya kiviwanda vya ndani hivyo bidhaa nyingi za viwandani ambazo ni muhimu kwenye maisha ya kila siku zinazalishwa ndani ya nchi hiyo.

Lakini wangekuwa kama Tz ambao mpaka vijiti vya kujichokonolea meno tunategemea tuagize china kwakweli raia wa Iran wasingeweza kusitahimili maana kungekuwa na mfumko wa bei ambao haijawahi kushuhudiwa.
Bidhaa gan ambazo naweza fuata Iran na nikija nazo hapa Tanganyika nitapiga pesa?
 
Kit
Ww kigagura wa ccm una nini cha kuwashauli wairan?
Kwani tangu sh ianze kupanda dhidi ya dora ni kipi kilicho badilika kwenye maisha ya kila siku ya Mtz?
Thamani ya fedha kushuka dhidi ya sarafu za kigeni hakuna mahusiano yeyote na kushuka kwa uchumi bali huwa inashababisha mfumko wa bei hasa iwapo nchi hiyo itakuwa tegemezi wa bidhaa kutoka nje.

Kupanda kwa dora hakuwaathiri moja kwa moja raia waliko ndani ya Iran kwa sababu bidhaa nyingi wanazo tumia ndani ya nchi hiyo zinatokana na viwanda vyao wenyewe na bidhaa zinazo toka nje kwa wingi hasa chakula serikali inazilipia ruzuku , usidhani Iran ni kama nchi yako ambayo mpaka chupi inategemea kuagiza china.

Pia Iran haina madeni kwenye mabenki ya kimagharibi ambayo ingehitaji dora kuyalipa.

Ila hii itawaimiza wairan wenyewe uraia pacha ambao wana safiri safiri sana.

Pesa ya Zambia ina thamani mara tano ya pesa ya S.korea na Japan sasa niambie zambia ina nini za cha maana zaidi ya njaa na umasikini?

Hela ya Iran haina thamani ila raia wa Iran hawajui mgao wa umeme,maji ,wana elimu bora,miundo mbinu ya kisasa,wana sekta kubwa ya viwanda ,wana sekta bora ya afya.

Wakati Tz ambayo fedha yake ina thamani mara 10 ya Iran lakini haina hata kipaumbele chochote kama taifa inajiendea tu kama gari bovu.
Kitu gan kinawafanya Zambia wawe na maisha magumu wakati pesa yao ina thaman? Wachumi wanasemaje juu ya hili
 
Mtoa mada siku nane zilizopita dollar Moja ilikuwa ni TZS 2760 LEO NI 2294 UNAPATA DOLLAR. HIVYO DOLLA IMEPOTEZA THAMANI KWA ZAIDI YA TZS 500, je dollar inaenda kufa?
 
Sarafu ya Iran yashuka hadi chini kabisa huku kukiwa na mvutano kati yake na Marekani na Ulaya.

Sarafu ya Iran iliendelea kuporomoka siku ya Jumamosi, na kudorora zaidi dhidi ya dola ya Marekani huku kukiwa na sintofahamu kuhusu kukaribia kwa Donald Trump katika Ikulu ya White House na mivutano na nchi za Magharibi kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.

Sarafu ya Iran maarufu kama (Rial), ilishuka hadi 756,000 kwa dola moja kwenye soko lisilo rasmi siku ya Jumamosi, ikilinganishwa na Rial 741,500 siku ya Ijumaa, kulingana na Bonbast.com, ambayo inaripoti viwango vya ubadilishanaji. Tovuti ya bazar360.com ilisema dola hiyo moja ilikuwa ikiuzwa kwa takriban Rial 755,000.

Endelea kulishwa matango pori😄😂😄
1.Sarafu ya Kenya ina thamani kuliko Yen ya Japan
2.Euro ya Portugal ina thamani kuliko Yuan ya China
Ila uchumi wa japan ni mara 10000,ya uchumi wa Kenya,uchumi WA china ni mara 1000,ya uchumi wa Portugal
...............kipindi we unaicheka Iran wenzako wanatengeneza nyuklia plants,electric cars,wanazalisha doctors mara 100 ya Africa yote,......Wana reserve kubwa ya gas na oil kuwahi kutokea ukilinganisha na nchi yeyote ya Africa
Tafuta maarifa ndugu acha kulishwa propaganda
 
Back
Top Bottom