Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninazo unataka za nini ??!
Mimi sijui hayo mambo ya matambiko mzee. Nazitumia kwa kuongeza kwenye collection na pia kuwaonyesha watalii wetu ( I am a tour operator and travel guide) tunapowaeleza historia ya nci na kama tunazo za kutosha huwa tunawapa kama zawadiNINAZO KAMA 30 HV, UNANUNUA KWA SH NGAPI? KWA SABABU HUWA TUNAZTUMIA KTK MATAMBIKO MZEE
Mimi sijui hayo mambo ya matambiko mzee. Nazitumia kwa kuongeza kwenye collection na pia kuwaonyesha watalii wetu ( I am a tour operator and travel guide) tunapowaeleza historia ya nci na kama tunazo za kutosha huwa tunawapa kama zawadiNINAZO KAMA 30 HV, UNANUNUA KWA SH NGAPI? KWA SABABU HUWA TUNAZTUMIA KTK MATAMBIKO MZEE
Bei inategemea na hali ya sarafu renyewe ndio maana nimeweka namba ya Whatsapp nione picha then tutaongea.Weka bei
Naweka kwenye collection na nazitumia kama nyenzo ya kuwaelezea watalii wetu kutoka Ujerumani historia ya nchi na pia nikiwa nazo za kutosha huwa nawagawia kama zawadi (souvenir)Ninazo unataka za nini ??!
Umenikumbusha mbali, hizi sarafu ndiyo zilizaa neno “hela”.
Haswaa! Kijerumani zinaitwa Heller. 100 Heller = 1 Rupie
Sijaelewa. Yaan unataka aliyekuwa nazo akuuzie ili wewe ukagawe bure?Mimi sijui hayo mambo ya matambiko mzee. Nazitumia kwa kuongeza kwenye collection na pia kuwaonyesha watalii wetu ( I am a tour operator and travel guide) tunapowaeleza historia ya nci na kama tunazo za kutosha huwa tunawapa kama zawadi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijaelewa. Yaan unataka aliyekuwa nazo akuuzie ili wewe ukagawe bure?
So kuhawaHaswaa! Kijerumani zinaitwa Heller. 100 Heller = 1 Rupie
Si kugawa bure. Unapoandaa package ya mtalii you put into consideration vitu vyote unavyompatia kama zawadi. In actual sense everything is paid japo haiko kwenye travel package yenyewe.Sijaelewa. Yaan unataka aliyekuwa nazo akuuzie ili wewe ukagawe bure?
So kuhawa
Si kugawa bure. Unapoandaa package ya mtalii you put into consideration vitu vyote unavyompatia kama zawadi. In actual sense everything is paid japo haiko kwenye travel package yenyewe.
Poa tufanye nimekuelewa basi. Maana matumizi ya hizo sarafu huku bongo ni kwa ajili ya matumizi mengineViko vitu vingi tu tunawapa watalii bure kama sunset drink, kofia, fulana,shuka za wamasai, necklaces n.k kama surprise but we actually quote these expenses tunapoandaa safari.
Ok mkuu. Ukiwa nazo nichekiPoa tufanye nimekuelewa basi. Maana matumizi ya hizo sarafu huku bongo ni kwa ajili ya matumizi mengine
Mganga aliyokushauri hakutakii memaNatafuta sarafu za zamani zenye tundu katikati kuanzia mwaka 1918 kurudi nyuma. Aliye nazo anaweza kunitumia picha Whatsapp 0768734611 kwa maelewano. Pia napatikana kwa 0786817145
View attachment 722985