Sarafu za zamani zenye tundu zinatakiwa

Sarafu za zamani zenye tundu zinatakiwa

sina shida ya kuongeza posts niko JF toka inaanzisha kipindi hicho inaitwa Jambo Forum. Kazi ninayo tena nzuri sana ila situmii mashilingi yako yenye matobo nina shule ya maana hapa nilipo ofisini kwangu nakula kiyoyozi nikiangalia chini ya jengo naona bandari ya DSM yote, huku upande mwingine naiona mpk Ikulu na pia naiona bahari toka meli inapotokea mpk inapotia nanga. Kwa chini ya jengo letu kuna wizara nyeti sana na pia kuna kashule kana jina la kule mjengoni Dom na jengo lina pacha mwenzake. Sijui umeelewa napotafutia ugali wa kila siku?
Boss nimekusoma kumbe upo utumishi!
 
Ninazo boss, zipo kijijini kwa sasa nipe bei nikiridhka nakuuzia
 
Nenda pale bagamoyo kwny soko la samaki kuna huyu jamaa huwa anauza pesa za zamani utapata tu
IMG_20161204_153133.jpg
 
Nashukuru sana mkuu. Japo nipo Arusha itabidi nitafute namna ya kuwasiliana nae au kama ukipata namba yake nitaomba unitumie mkuu.
Poa mkuu nitaenda huko kesho nikimkuta nitachukua no yake
 
sina shida ya kuongeza posts niko JF toka inaanzisha kipindi hicho inaitwa Jambo Forum. Kazi ninayo tena nzuri sana ila situmii mashilingi yako yenye matobo nina shule ya maana hapa nilipo ofisini kwangu nakula kiyoyozi nikiangalia chini ya jengo naona bandari ya DSM yote, huku upande mwingine naiona mpk Ikulu na pia naiona bahari toka meli inapotokea mpk inapotia nanga. Kwa chini ya jengo letu kuna wizara nyeti sana na pia kuna kashule kana jina la kule mjengoni Dom na jengo lina pacha mwenzake. Sijui umeelewa napotafutia ugali wa kila siku?
Duh. Funza dume
 
Mimi sijui hayo mambo ya matambiko mzee. Nazitumia kwa kuongeza kwenye collection na pia kuwaonyesha watalii wetu ( I am a tour operator and travel guide) tunapowaeleza historia ya nci na kama tunazo za kutosha huwa tunawapa kama zawadi
Mnawapa kama zawadi au wananunua mkuu
 
wadau hii ni sarafu ya nchi gani
 

Attachments

  • DSC_0123.JPG
    DSC_0123.JPG
    149.6 KB · Views: 75
  • DSC_0121.JPG
    DSC_0121.JPG
    164.7 KB · Views: 66
  • DSC_0122.JPG
    DSC_0122.JPG
    134.6 KB · Views: 73
Huu utapeli bado upo? Yaani inakuwa hivi huyo jamaa aliyetangaza ananunua anakuwa na sarafu hizo halafu atampa mwenzake atajitokeza kama vile anaziuza utaingia deal ili uje uziuze kwake halafu utakuta huyo jamaa anasema ameshaacha kuzinunua.yaani zinakufia mkononi.wakati mnakubaliana kwamba utamuuzia atakupa bei nzuri sana.yaa mara hata tatu ya ile bei ya yule jamaa aliyesema atakuuzia

Kuna jamaa aliliwa mtaji wote kwa kisa kama hiki
 
00 hizi kubwa kabla ya hizi mpya 15 shilingi laki na 50

nina 5000 hizi kubwa kabla ya hizi mpya 2 shilingi 10000

nina 2000 hizi kubwa kabla ya hizi mpya 1 shilingi 2000

nina 1000 hizi kubwa kabla ya hizi mpya 1 shilingi 1000
jumla =======163000
nipeni utaratibu ni bahasha yangu ya 2007 nimezikuta nipokilimanjaro now
 
Back
Top Bottom