- Thread starter
- #21
Naomba usome naelezo niliyotoa kwa wengine uelewe nazitafuta kwa shughuli gani usikurupuke tu kutoa commentsMganga aliyokushauri hakutakii mema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba usome naelezo niliyotoa kwa wengine uelewe nazitafuta kwa shughuli gani usikurupuke tu kutoa commentsMganga aliyokushauri hakutakii mema
Nimesoma sana ulivyosema ila unatuzuga tu umekaa kichawi chawi sana we mjamaaNaomba usome naelezo niliyotoa kwa wengine uelewe nazitafuta kwa shughuli gani usikurupuke tu kutoa comments
Naona unataka tu kuongeza post count au huna kazi ya kufanyaNimesoma sana ulivyosema ila unatuzuga tu umekaa kichawi chawi sana we mjamaa
Kumbe!!!Umenikumbusha mbali, hizi sarafu ndiyo zilizaa neno “hela”.
Ndio hivyo mkuuKumbe!!!
By that time,hata mshua alikua hajazaliwaNdio hivyo mkuu
sina shida ya kuongeza posts niko JF toka inaanzisha kipindi hicho inaitwa Jambo Forum. Kazi ninayo tena nzuri sana ila situmii mashilingi yako yenye matobo nina shule ya maana hapa nilipo ofisini kwangu nakula kiyoyozi nikiangalia chini ya jengo naona bandari ya DSM yote, huku upande mwingine naiona mpk Ikulu na pia naiona bahari toka meli inapotokea mpk inapotia nanga. Kwa chini ya jengo letu kuna wizara nyeti sana na pia kuna kashule kana jina la kule mjengoni Dom na jengo lina pacha mwenzake. Sijui umeelewa napotafutia ugali wa kila siku?Naona unataka tu kuongeza post count au huna kazi ya kufanya
In kweli Ila wazee wengi wanazo bado majumbani. Hata mimi nimezikuta nyingi tu kwa babu miaka ya 80 mwishoniBy that time,hata mshua alikua hajazaliwa
Nitumie buku mpesa....wasalimie biotii..sina shida ya kuongeza posts niko JF toka inaanzisha kipindi hicho inaitwa Jambo Forum. Kazi ninayo tena nzuri sana ila situmii mashilingi yako yenye matobo nina shule ya maana hapa nilipo ofisini kwangu nakula kiyoyozi nikiangalia chini ya jengo naona bandari ya DSM yote, huku upande mwingine naiona mpk Ikulu na pia naiona bahari toka meli inapotokea mpk inapotia nanga. Kwa chini ya jengo letu kuna wizara nyeti sana na pia kuna kashule kana jina la kule mjengoni Dom na jengo lina pacha mwenzake. Sijui umeelewa napotafutia ugali wa kila siku?
Maelezo yako mazuri japo siwezi kuhakiki na sina sababu ya kufanya hivyo. Kwa nini umekuwa suspicious na Mimi? Nina hundreds ya hizo coins tayari. Kama ningekuwa nataka za uchawi zingenitosha na kubakisina shida ya kuongeza posts niko JF toka inaanzisha kipindi hicho inaitwa Jambo Forum. Kazi ninayo tena nzuri sana ila situmii mashilingi yako yenye matobo nina shule ya maana hapa nilipo ofisini kwangu nakula kiyoyozi nikiangalia chini ya jengo naona bandari ya DSM yote, huku upande mwingine naiona mpk Ikulu na pia naiona bahari toka meli inapotokea mpk inapotia nanga. Kwa chini ya jengo letu kuna wizara nyeti sana na pia kuna kashule kana jina la kule mjengoni Dom na jengo lina pacha mwenzake. Sijui umeelewa napotafutia ugali wa kila siku?
afu gani ya tobo utauza laki mbili??!!!sasa kaka ununue sarafu kwa laki 2 alafu umpe mtalii bure?
tumia njia hiyohiyo uliopatia hizo, huku sidhani kama utapataMaelezo yako mazuri japo siwezi kuhakiki na sina sababu ya kufanya hivyo. Kwa nini umekuwa suspicious na Mimi? Nina hundreds ya hizo coins tayari. Kama ningekuwa nataka za uchawi zingenitosha na kubaki
Fafanuka banaaa...sie wadunchu wadunchu tukopi tukalambe ujiko mbele ya safariUmenikumbusha mbali, hizi sarafu ndiyo zilizaa neno “hela”.
heller ni kijerumani na walipotutawala ilibidi babu zetu wafanye kazi kupata heller ya kodi ya kichwa. Sisi tuliita helaFafanuka banaaa...sie wadunchu wadunchu tukopi tukalambe ujiko mbele ya safari
Niltumia mitandao hii hii kuzipata. Hats Leo kuna MTU amesoma hapa atanitumia kesho. Huwa naamini kuna watu serious humu. Wenye mizaha yao huwa nawapuuzia tutumia njia hiyohiyo uliopatia hizo, huku sidhani kama utapata
Uko sawa. Kadiri miaka inavyokwenda na sarafu ikitoka kwenye mzunguko na kuwa adimu ( rare) inakuwa na thamaniAta hizi za sasa kumbe badae zitakujakua dili