Boss nimekusoma kumbe upo utumishi!sina shida ya kuongeza posts niko JF toka inaanzisha kipindi hicho inaitwa Jambo Forum. Kazi ninayo tena nzuri sana ila situmii mashilingi yako yenye matobo nina shule ya maana hapa nilipo ofisini kwangu nakula kiyoyozi nikiangalia chini ya jengo naona bandari ya DSM yote, huku upande mwingine naiona mpk Ikulu na pia naiona bahari toka meli inapotokea mpk inapotia nanga. Kwa chini ya jengo letu kuna wizara nyeti sana na pia kuna kashule kana jina la kule mjengoni Dom na jengo lina pacha mwenzake. Sijui umeelewa napotafutia ugali wa kila siku?
Fanya mpango unitumie picha mkuu halafu nitakupa beiNinazo boss, zipo kijijini kwa sasa nipe bei nikiridhka nakuuzia
Nashukuru sana mkuu. Japo nipo Arusha itabidi nitafute namna ya kuwasiliana nae au kama ukipata namba yake nitaomba unitumie mkuu.Nenda pale bagamoyo kwny soko la samaki kuna huyu jamaa huwa anauza pesa za zamani utapata tuView attachment 723214
Poa mkuu nitaenda huko kesho nikimkuta nitachukua no yakeNashukuru sana mkuu. Japo nipo Arusha itabidi nitafute namna ya kuwasiliana nae au kama ukipata namba yake nitaomba unitumie mkuu.
Nashukuru sana mkuuPoa mkuu nitaenda huko kesho nikimkuta nitachukua no yake
Kuna ubaya gani?KAMA KUWAONESHA WATALII SKUUZII
nitake radhi mkuuBoss nimekusoma kumbe upo utumishi!
Duh. Funza dumesina shida ya kuongeza posts niko JF toka inaanzisha kipindi hicho inaitwa Jambo Forum. Kazi ninayo tena nzuri sana ila situmii mashilingi yako yenye matobo nina shule ya maana hapa nilipo ofisini kwangu nakula kiyoyozi nikiangalia chini ya jengo naona bandari ya DSM yote, huku upande mwingine naiona mpk Ikulu na pia naiona bahari toka meli inapotokea mpk inapotia nanga. Kwa chini ya jengo letu kuna wizara nyeti sana na pia kuna kashule kana jina la kule mjengoni Dom na jengo lina pacha mwenzake. Sijui umeelewa napotafutia ugali wa kila siku?
Nitashukuru. Kuna mtu amenipigia kutoka Moshi, ndiyo huyo?kuna jamaa anazo nyingi ngoja nikuunge nae..
Mnawapa kama zawadi au wananunua mkuuMimi sijui hayo mambo ya matambiko mzee. Nazitumia kwa kuongeza kwenye collection na pia kuwaonyesha watalii wetu ( I am a tour operator and travel guide) tunapowaeleza historia ya nci na kama tunazo za kutosha huwa tunawapa kama zawadi
Zawadi mkuu lakini sisi tunajua namna ya kuziingiza hizi gharama za zawadi kwenye bei ya tour. Hakuna kitu cha bure dunianiMnawapa kama zawadi au wananunua mkuu
[emoji1][emoji1][emoji1] thumb up mkuuZawadi mkuu lakini sisi tunajua namna ya kuziingiza hizi gharama za zawadi kwenye bei ya tour. Hakuna kitu cha bure duniani
[emoji1][emoji1][emoji1] thumb up mkuu