Sarah Simbaulanga: Mwanamke wa kwanza kuiba pesa ndefu katika historia ya benki zote nchini

Ha ha ha ha we mzee nyumba IPI, mimi nilikua moja ya vyumba vya uani pale kwenye nyumba yao waliyokua wakiishi na mzee Toroha, nakumbuka nilipewa mkataba una page nyingi kama kitabu kabla sijaingia pale ,na ilikua mwaka huohuo 2007,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alinunua kiwanja Mbezi B. kikataifishwa na mlinzi, kakipiga na kukitapelia ile mbaya, mlinzi kajenga Bagamoyo, kiwanja bado kina mauza mauza mpaka leo...

Ni hatari kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…