Kichpox
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 361
- 397
Tuko pamoja kiongoz.. Hatuna budi kupashanaAsante sana mkuu, kwa kumbukumbu mujarabu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko pamoja kiongoz.. Hatuna budi kupashanaAsante sana mkuu, kwa kumbukumbu mujarabu!
Sarah alikuhumiwa ndugu, akafungwa miaka 28..je waliukumiwa je bi sarah alikamatwa naye
alishatoka bado yupo haiSarah alikuhumiwa ndugu, akafungwa miaka 28..
alishatoka bado yupo hai
Typing error
Usiofu nmeonyesha tu watu neno BANDIDU lililozoeleka mtaani limetokea wapi...Typing error
1988,Nyerere alikuwa na cheo gani hata amsamehe Sarah Simbaulanga?Nyerere huyo huyo alikuja kumsamehe baadae,mwanae wa mwisho Blandina alikuwa ananyonya kipindi hicho,hivyo alikaa naye rupango,kwa sasa ni mdada wa mjini
nimerekebisha hapo juu nikasema Mwinyi.1988,Nyerere alikuwa na cheo gani hata amsamehe Sarah Simbaulanga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakaa Mikocheni B karibu na shule ya Msingi Mikocheni,ila huyo Toroha alisha RIPYuko wapi siku hizi?
Doooohh aiseee....vp maisha yake kwa sasa huko uraiani yamekaaje....najua kwa sasa ni bibi kabisaaAnakaa Mikocheni B karibu na shule ya Msingi Mikocheni,ila huyo Toroha alisha RIP
Sent using Jamii Forums mobile app
watu wamekula chumvi mkuu
Ha ha ha ha we mzee nyumba IPI, mimi nilikua moja ya vyumba vya uani pale kwenye nyumba yao waliyokua wakiishi na mzee Toroha, nakumbuka nilipewa mkataba una page nyingi kama kitabu kabla sijaingia pale ,na ilikua mwaka huohuo 2007,Namfahamu mama Sara Simabaulanga alipo. Kwa taarifa yenu alishatoka jela siku nyingi mno na alikuja kuolewa na mzee Toroha Mohamed Toroha na sasa ni mtu mzima ni kama chotara hivi. Kwa sasa wanaishi Kawe mzimuni. Ukitaka data zaidi nitakuelekeza mpaka wanapoishi kwani nilikuwa mpangaji wa nyumba yao nao wakiishi hapo hapo na niliondoka hapo mwaka 2007. Pia kumbuka Mohamed Toroha ndiye aliyemsaidia Sara kukimbilia Uingereza na baadaye naye alikamatwa na magari yake kuleta Tanzania kwani yeye alikuwa akiishi Kenya.