Saratani inayoua sana Tanzania ni Ya kufanya Mapenzi Kwa njia ya Mdomo

Saratani inayoua sana Tanzania ni Ya kufanya Mapenzi Kwa njia ya Mdomo

Huu ulishakuwa wimbo mzuri masikioni mwa watu hata akija mtu akawaonyesha na jins alivyoathirika hawawezi kuelewa kamwe

ndio uache xaxa! Coz unaipenda xana na unakuwa mbixhi kuacha
 
Siri moja niianike, mbinu mpya ya kueneza magonjwa hatari yatokanayo na zinaa ni kutumia njia zilizo kinyume cha maumbile kwa vile njia ya kawaida ya maumbile wengi hupendelea kuvaa socks, lakini kwa njia nyingine hada kutujia midomo na ndimi kwa njia yo yote husababisha vimelea vya magonjwa kwenda kwa mwenzi wake.
 
Tatizo la watanzania ni kuiga mambo ya kijinga badala ya vitu vya kuendeleza taifa letu.
 
Swaliii je uko sehemu za siri ukinyonya kama hana hao vijidudu vinavyosababisha kansa kuna shidaaaaaa?
 
Hamna jipya hapo!
Utafiti wa hivi karibuni ilitangazwa na umeonesha theluthi mbili ya kansa ni bahati mbaya tu.

Kuzama chumvini hatuachi ng'oo kama vile ambavyo hatuachi pombe wala kuvuta sigara.
Uuuuuwwwwwiiii........!!!!!!!
 
Hii tafiti bado haijaniingia uzuri maana ah ngoja tusubiri inaweza kuja nyingine ya matumaini ila chumvini.....
 
porn zitamaliza watu..ivi ni kwa nini watu wanazama chumvini..?
 
Back
Top Bottom