Saratani inayoua sana Tanzania ni Ya kufanya Mapenzi Kwa njia ya Mdomo

Saratani inayoua sana Tanzania ni Ya kufanya Mapenzi Kwa njia ya Mdomo

Mmmmh that is extreme, papara a mambo ya kuiga bana, ukiwa mtalamu, akili imetulia, huna papara, ...haina haja ya chumvi ...sema vijanawa siku hizi wanaoangaalia porn hawawezi nilewa...maana wnapenda shortcurt...hawajui kiu naitwa naur love making..

Hahahaa ni shidaa
 
Bora kupata kansa kuliko kuukosa utamu wa chumvi......

Duh, yaani pamoja na hatari, ati uwezi acha, loh watu walo adicted bhana, mmh kazi ipo, jihurumieni jamani huko hawafai hata dini zinakataza.
 
porn zitamaliza watu..ivi ni kwa nini watu wanazama chumvini..?

Nami huwa najiuliza ati!, watu wengine bhana!! Kama vile wamelogwa duh!,hivi na wazee wetu waliyafanya haya?, mwingine anadiriki kusema eti usipofanya hivyo mkeo atakuwa analiwa na wajanja!! Aaargh pumbaaafu kwani watu wote wako hivyo???.
 
Haya jamani, wanaojifanya wataalam wa kula papai mpo?
 
Nami huwa najiuliza ati!, watu wengine bhana!! Kama vile wamelogwa duh!,hivi na wazee wetu waliyafanya haya?, mwingine anadiriki kusema eti usipofanya hivyo mkeo atakuwa analiwa na wajanja!! Aaargh pumbaaafu kwani watu wote wako hivyo???.
ni porn,na stori za kuiga mkuu..hasa za vijiweni
 
wale wanaopenda kuzama chumvin na wale wanaowaambia watu wao wawafanyie hivyo. Kama unapenda afya yako na ya mwenzio ufanyie kazi ujumbe huu.
 

Attachments

  • 10622896_849890371708499_3229231432138537846_n.jpg
    10622896_849890371708499_3229231432138537846_n.jpg
    52 KB · Views: 1,998
Unapepea uporo. Chumvini ndio home, na usiombe nimshike mtu wako nafyonza hadi taka taka za chooni.
 
Chumvini kunategemea kuna watu wasafi jamani pako safi hakuna harufu kabisa kwa nini nisizame tena hyu mtu ni mke wangu!!!

kip on duing it mr.
hata maji ya bomba yapo clear bt si salama. inaweza kuwa safi but isiwe salama
 
So? Kila kitu jambo lina risk zake, kugegeda tu kwenye kuna UKIMWI watu wameacha. Tatizo mnataka kuzama chumvin kwa mdem wa kuokota uwanja wa fisi!

kama umejua kila jambo lina risk zake, tunachofanya ni kuavoid au ku minimize hizo risk mkuu.

by the ku lick yeah kuna stimu bt tujiulize tutapunguzaje madhara yake?
 
Back
Top Bottom