Sare za Chadema zaanza kugombewa Kariakoo, Haifahamiki Sababu yake

Sare za Chadema zaanza kugombewa Kariakoo, Haifahamiki Sababu yake

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania

Screenshot_2024-11-14-19-21-44-1.png
Screenshot_2024-11-14-19-21-54-1.png


Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.

Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake
 
Hii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania

View attachment 3152392View attachment 3152393

Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.

Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake
Nimeyaona sana mavazi haya murua ya CHAMA kule Ifakara, kweli CHAMA kinapendwa Kilombero hadi imekuwa ni familia kabisa.
 
Mkuu mwambie Mbowe akae pembeni tumemchoka, na tunajua kuwa ni pandikizi wa ccm
 
Mkuu mwambie Mbowe akae pembeni tumemchoka, na tunajua kuwa ni pandikizi wa ccm
 
Mkuu mwambie Mbowe akae pembeni tumemchoka, na tunajua kuwa ni pandikizi wa ccm
 
Hii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania

View attachment 3152392View attachment 3152393

Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.

Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake

Wako wapi wanaogombea?
 
Back
Top Bottom