Sare za Chadema zaanza kugombewa Kariakoo, Haifahamiki Sababu yake

Sare za Chadema zaanza kugombewa Kariakoo, Haifahamiki Sababu yake

Mke wangu siku atakayovaa dera la siasa, chama chochote basi nitampiga redundancy(RIDANSI) ya yellow card.
 
Mbona hapo sioni zikiwa zinagombaniwa hivi mnalipagwa kiasi ukiwa chawa wa chama cha siasa wewe na mwenzako Lucas sijui mna shida gani
Hawa ndo wake za viongozi, yn wangekuwa kule kwa Engonga aisee wangepigwa miti sana. Imagine tunaona connection ya kuzagamuliwa ya dada mtoa mada
 
Hii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania

View attachment 3152392View attachment 3152393

Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.

Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake
Nitapata wapi gwanda la kiume.. Erythrocyte
 
Nimeyaona sana mavazi haya murua ya CHAMA kule Ifakara, kweli CHAMA kinapendwa Kilombero hadi imekuwa ni familia kabisa.
Kwetu kule mbunge hakai vipindi viwili tangu na tangu ilikuwa kwa Gulamali tuuu
 
Hii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania

View attachment 3152392View attachment 3152393

Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.

Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake
Hujui kitu tunataka kwenye uchaguzi tuyavae afu tuonekane ni CHADEMA lakin hatumtaki mbowe tunamuunga mkono mama
 
Hii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania

View attachment 3152392View attachment 3152393

Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.

Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake

Hii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania

View attachment 3152392View attachment 3152393

Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.

Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake
Naona midoli tu, au ndio wanachama wenyewe hao?😀
 
Hii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania

View attachment 3152392View attachment 3152393

Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.

Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake
AMINA.
 
Hii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania

View attachment 3152392View attachment 3152393

Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.

Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake
KAJIBUNI KWANZA TUHUMA ZA RUSHWA ANAZOTOA LISSU NDIYO MJE MUUZE NGUO ZENU LA SIVYO HIZO ZITAKUWA Z AKUPIGIA DEKI
 
Back
Top Bottom