Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Sasa kinachokuliza ni kipi?Mbona hapo sioni zikiwa zinagombaniwa hivi mnalipagwa kiasi ukiwa chawa wa chama cha siasa wewe na mwenzako Lucas sijui mna shida gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kinachokuliza ni kipi?Mbona hapo sioni zikiwa zinagombaniwa hivi mnalipagwa kiasi ukiwa chawa wa chama cha siasa wewe na mwenzako Lucas sijui mna shida gani
Nguo zenye baraka hizi, zina upakoNimeyaona sana mavazi haya murua ya CHAMA kule Ifakara, kweli CHAMA kinapendwa Kilombero hadi imekuwa ni familia kabisa.
Karibu sanaWako wapi wanaogombea?
Wewe ni ccm, pilipili usizokula zinakuwasha vipi?Mkuu mwambie Mbowe akae pembeni tumemchoka, na tunajua kuwa ni pandikizi wa ccm
Hizi picha huzifutagi tu ?Hii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania
View attachment 3152392View attachment 3152393
Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.
Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake
Umeingia MkengeNaona kumekuchaaaa
💃🏽💃🏽💃🏽🤣🤣🤣
Tuuzie na sie wana JF tuwapatie pesa mnazo kosa kisa wakuu wenu kuzitafuna
Nyie ndio chawa wa Mbowe mnachukua Rushwa nae,Wewe ni ccm, pilipili usizokula zinakuwasha vipi?
Jikite kwenye madaHizi picha huzifutagi tu ?
Kwanini unalia?Nyie ndio chawa wa Mbowe mnachukua Rushwa nae,
Yapande tu kila mtanzania asikose nguo nzuri hizo kwanza rangi murua sio zile alzetiHii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania
View attachment 3152392View attachment 3152393
Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.
Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake
Hawezi kukaa pemben Kwa matakwa ya machoko ya pididy aka ccmMkuu mwambie Mbowe akae pembeni tumemchoka, na tunajua kuwa ni pandikizi wa ccm
Hii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania
View attachment 3152392View attachment 3152393
Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.
Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake