Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nimeyaona sana mavazi haya murua ya CHAMA kule Ifakara, kweli CHAMA kinapendwa Kilombero hadi imekuwa ni familia kabisa.Hii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania
View attachment 3152392View attachment 3152393
Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.
Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake
Hii ndio inatetemesha ccm hawaelewi wafanyeje, Waibe kura au waandikishe watotoNimeyaona sana mavazi haya murua ya CHAMA kule Ifakara, kweli CHAMA kinapendwa Kilombero hadi imekuwa ni familia kabisa.
Hakika!Nipo Mtaa Wa Congo Nimeona Hata CCM Wananunua Kwa Uzuri Wake
Unatengenezwa China na kuuzwa TanzaniaNi mzigo wa nani huo Mwenyekiti au makamu
Ni mali ya Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti?Unatengenezwa China na kuuzwa Tanzania
Ni mali ya WachinaNi mali ya Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti?
HayaWewe ni mpumbavu
Mmemchoka wewe na nani?Mkuu mwambie Mbowe akae pembeni tumemchoka, na tunajua kuwa ni pandikizi wa ccm
wachina wa Mwenyekiti au Makamu?Ni mali ya Wachina
Hii ndio Taarifa mpya zinazozunguka kote mitandaoni, jioni ya leo kwa saa za Tanzania
View attachment 3152392View attachment 3152393
Unaambiwa Mauzo ya nguo hizo yamepanda ghafla hadi kuwatia hofu wauzaji wake, Si Magwanda wala Madela.
Bado haijajulikana sababu hasa za mauzo hayo kupanda haraka kiasi hicho, Bali wadau wanaona labda kujaa kwa Taarifa za Chama hicho Mitandaoni kumechagiza Kuinuka kwa mauzo ya Sare zake