Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #101
Karibu sana , sare zimebaki kitumbini tuπππKwa hiyo hao watu wawili wanaotandika mahali pa kupumzika ndio wapo kugombania sare za chama Chenu chovu? Kweli nyie ni mafisi na manyumbu.
Hata Nyerere alipopigania Uhuru wa Tanganyika alisimangwa kama hiviHuu moyo ulionao mkuu kuhusu chadema, huwa nafikir muda mwingine huenda wewe ni mzee Mtei...Maana huu moyo wa kuipenda chadeama namna hii naamin hata Mbowe hana π
Vipi matatizo ya Umeme yameisha ?Hivi we ndio msemaji wa CHADOMO? Kwann usitulize tako?
am honest mkuu sio kwamba nakudharau kakaHata Nyerere alipopigania Uhuru wa Tanganyika alisimangwa kama hivi
Mimi ni miongoni mwa wana JF wasiojali lolote kuhusu kudharauliwa wala kutukanwa , nadhani pia rekodi yangu ya kutukanwa humu jf hakuna aliyeivunja , kwahiyo ukinidharau au kunitukana kuwa na amani tu , labda uangalie tu akina moderatoram honest mkuu sio kwamba nakudharau kaka
Hivi hiki chama bado kipo kumbe watu tulishakisahau
Baada ya Mwamko wa Wananchi wa kushiriki Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema kuwa juu , Sare za Chama hicho zageuka dili .
Maduka yote yanayouza sare hizo yakipandisha bei mara dufu , huku Magwanda ya Khaki yanayotengenezwa Thailand yakiwa dili zaidi , huku taarifa zikionyesha kwamba yameanza kuadimika .
Natoa wito kwa Wizara ya Biashara kuingilia kati bei ya vifaa vya Chadema ili kila mwananchi avipate kwa bei ya halali
Endelea na moyo huo huoMimi ni miongoni mwa wana JF wasiojali lolote kuhusu kudharauliwa wala kutukanwa , nadhani pia rekodi yangu ya kutukanwa humu jf hakuna aliyeivunja , kwahiyo ukinidharau au kunitukana kuwa na amani tu , labda uangalie tu akina moderator
πππNadhani unachekelea ukombozi , hongera sana
SawasawaNjoo Kitumbini , uliza duka la Wachina
Kwakwelu kama kuna mtu haamini hii Waache 24 Jan tuandamane kwa amani.Tumaini letu pekee ni Chadema tu!
πππππRaia kuvaa au kushona sare zinazofanana na za majeshi ni makosa. Hao chadema waamatwe kwa kugushi na kuvaa sare za JESHI LA AKIBA LA MGAMBO