Sasa adui wa Taifa la Tanzania si ujinga bali ni upumbavu

Sasa adui wa Taifa la Tanzania si ujinga bali ni upumbavu

Miaka michache ijayo tutakuwa koloni la ama taifa la kiafrika, kiarabu au mashariki ya mbali.

Hali ya taifa inachosha sana. Vijana wengi hawana ufahamu wa mambo ya kawaida sana na ni graduates wa vyuo vikuu. Na ndio tegemeo la kesho.

Graduate anaona kulijua taifa lake ni ushamba. Ila ujanja ni kujua toleo jipya la iphone, vazi jipya, usajili wa klabu fulani au trend ya celebrit mmoja ya ajabu ajabu.
Ongezea bora ahangaikie tunda kimasihara kuliko kupoteza mda kuhangaikia taifa la wenyewe
 
Aisee nawaza sana kuhusu uchawi uliotumika kumroga Mtanganyika.
Mtu mwenye vyeti vya mashaka, mwenye tuhuma za mauaji leo hii anamtetemesha DED mwenye Masters.
Mkuu
lile likibatari linalowashwa na kuzimwa kila mwaka kama tukio la Kitaifa ndilo ramli yenyewe ya kudumu.

Hebu fikiria Mwenge unanasibishwa na Uhuru wa Tanganyika. Tulitafuta uhuru si wa kukimbiza mwenge kila mwaka, bali tuwe huru kweli kweli kimaendeleo, kiuchumi, kiafya, kielimu, kiteknolojia na mambo yanayofanania na hayo...

Piga picha namna ambavyo nchi nzima unakimbizwa mwenge kama sanamu.... hatutaweza asilani kunasuka hapo hadi tukubali kupiga hatua halisi
 
Kwa taarifa tu ndugu mleta mada pamoja na kwamba ,mada yako imekaa kinoko sana ,yaani kimbeya mbeya ni hivi ,serikali iliyomwajiri huyo mkurugenzi Ambae wewe unamuona ni mkubwa sana inaongozwa na chama Cha mapinduzi🤣na huyo mkurugenzi ni zao la uvccm!
 
Huo upumbavu na hayo mnayoyalalamikia ni matokeo ya upumbavu uliowajaa wasomi wetu. Mmepata elimu, lakini mmeshindwa kuitumia hiyo elimu kuikomboa jamii, wala kutatua matatizo na changamoto zinazoikabili jamii! Kwa mujibu wa tafsiri yako, huo ndio upumbavu wenyewe.
Laiti wasomi wetu wangetumia elimu zao kutatua matatizo na changamoto za jamii zilizo kwenye maeneo yao ya utumishi, hayo ya kuitwa kwenye mikutano ya kisiasa wala yasingekuwepo.
Sasa kwa kuwa wasomi wetu ni wapumbavu, kwa mujibu wa tafsiri yako, acha waendelee tu kuitwa kwenye mikutano ya kisiasa.
 
Bora Mjinga kuliko Mpumbavu maana Mjinga anaweza kuelimishwa,kuambiwa na akawa smart, ILA Mpumbavu ni kama cancer level 4,haitibiki na mbaya zaidi nchi imejaa wapumbavu wengi mno kuliko wajinga
 
UPUMBAVU ni hali ya mtu au watu waliopata elimu lakini wameshindwa kuitumia kujikomboa wao wenyewe au kuikomboa jamii yao katika adha , dhiki, shida au aina yoyote ya mkwamo.

MPUMBAVU, ni mtu alitebahatika kupata elimu lakini kwa makusudi kabisa au kwa kutokujua hawezi kuitumia elimu yake kuikomboa jamii yake au hawezi kujikomboa kutoka katika mkwamo wa kifikra, kiuchumi n.k.

Kama Mkurugenzi ambaye ni mtumishi wa umma na hajafungamana na chama chochote anakubali kuacha ofisi na kuhudhuria mkutano wa katibu mwenezi wa chama Ili akaulizwe maswali ya kuabishwa, je, huyo Mkurugenzi hapaswi kuitwa mpumbavu?

Kama Mkurugenzi anakuwa mpumbavu je watumishi wa chini yake ambao kawaajiri wataondokana na upumbavu?

Kimamlaka Mkurugenzi wa wilaya ndiye mwajiri wa watumishi katibu wote wa Halmashauri ya wilaya husika.

Akija katibu mwenezi wa chama Mkurugenzi na maafisa wa wilaya wote wanaacha ofisi kwenda kujibu maswali ya katibu mwenezi.

Kama nchi hili jambo halitoshi kuthibitisha kuwa wasomi na viongozi ni wapumbavu?
Upambavu ni kiwango cha juu kabisa cha kutokujua kitu!

Mtu Mpumbavu haelimiki!

Hakuna Shule inayoweza kuondoa Upumbavu!

Shule inaondoa UJINGA*(Stupidity) lakini haiwezi kuondoa UPUMBAVU(foolishness).

Kwa hivo unaweza kuanza tena kujenga hoja yako vizuri!

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Upambavu ni kiwango cha juu kabisa cha kutokujua kitu!

Mtu Mpumbavu haelimiki!

Hakuna Shule inayoweza kuondoa Upumbavu!

Shule inaondoa UJINGA*(Stupidity) lakini haiwezi kuondoa UPUMBAVU(foolishness).

Kwa hivo unaweza kuanza tena kujenga hoja yako vizuri!

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Mpaka daktari anaacha wagonjwa hospital kwenda kumsikiliza katibu mwenezi.
Hiyo ni high level of foolishness
 
UPUMBAVU ni hali ya mtu au watu waliopata elimu lakini wameshindwa kuitumia kujikomboa wao wenyewe au kuikomboa jamii yao katika adha , dhiki, shida au aina yoyote ya mkwamo.

MPUMBAVU, ni mtu alitebahatika kupata elimu lakini kwa makusudi kabisa au kwa kutokujua hawezi kuitumia elimu yake kuikomboa jamii yake au hawezi kujikomboa kutoka katika mkwamo wa kifikra, kiuchumi n.k.

Kama Mkurugenzi ambaye ni mtumishi wa umma na hajafungamana na chama chochote anakubali kuacha ofisi na kuhudhuria mkutano wa katibu mwenezi wa chama Ili akaulizwe maswali ya kuabishwa, je, huyo Mkurugenzi hapaswi kuitwa mpumbavu?

Kama Mkurugenzi anakuwa mpumbavu je watumishi wa chini yake ambao kawaajiri wataondokana na upumbavu?

Kimamlaka Mkurugenzi wa wilaya ndiye mwajiri wa watumishi katibu wote wa Halmashauri ya wilaya husika.

Akija katibu mwenezi wa chama Mkurugenzi na maafisa wa wilaya wote wanaacha ofisi kwenda kujibu maswali ya katibu mwenezi.

Kama nchi hili jambo halitoshi kuthibitisha kuwa wasomi na viongozi ni wapumbavu?
wanaogopa mamlaka yao iliyowateua na kunyanganywa ulaji. Hata ingekuwa mimi ningefanya hivyo,siyo wapumbavu kwa muktadha huu ni werevu.
 
UPUMBAVU ni hali ya mtu au watu waliopata elimu lakini wameshindwa kuitumia kujikomboa wao wenyewe au kuikomboa jamii yao katika adha , dhiki, shida au aina yoyote ya mkwamo.

MPUMBAVU, ni mtu alitebahatika kupata elimu lakini kwa makusudi kabisa au kwa kutokujua hawezi kuitumia elimu yake kuikomboa jamii yake au hawezi kujikomboa kutoka katika mkwamo wa kifikra, kiuchumi n.k.

Kama Mkurugenzi ambaye ni mtumishi wa umma na hajafungamana na chama chochote anakubali kuacha ofisi na kuhudhuria mkutano wa katibu mwenezi wa chama Ili akaulizwe maswali ya kuabishwa, je, huyo Mkurugenzi hapaswi kuitwa mpumbavu?

Kama Mkurugenzi anakuwa mpumbavu je watumishi wa chini yake ambao kawaajiri wataondokana na upumbavu?

Kimamlaka Mkurugenzi wa wilaya ndiye mwajiri wa watumishi katibu wote wa Halmashauri ya wilaya husika.

Akija katibu mwenezi wa chama Mkurugenzi na maafisa wa wilaya wote wanaacha ofisi kwenda kujibu maswali ya katibu mwenezi.

Kama nchi hili jambo halitoshi kuthibitisha kuwa wasomi na viongozi ni wapumbavu?
Nafikiri ni upumbavu zaidi kufikiri chama kinachoisamimia serikali hakina nguvu kuliko serikali,yaani anayesimamiwa hapaswi kuhojiwa na anayemsimamia.Leo makonda hana nguvu ya kumuhoji waziri ,mb,mkurugenzi ,RC ,DC ambao wote ni CCM? huu ndio upumbavu zaidi kufikiri ANAYESIMAMIWA anayo nguvu kuliko MSIMAMIZI
 
UPUMBAVU ni hali ya mtu au watu waliopata elimu lakini wameshindwa kuitumia kujikomboa wao wenyewe au kuikomboa jamii yao katika adha , dhiki, shida au aina yoyote ya mkwamo.

MPUMBAVU, ni mtu alitebahatika kupata elimu lakini kwa makusudi kabisa au kwa kutokujua hawezi kuitumia elimu yake kuikomboa jamii yake au hawezi kujikomboa kutoka katika mkwamo wa kifikra, kiuchumi n.k.

Kama Mkurugenzi ambaye ni mtumishi wa umma na hajafungamana na chama chochote anakubali kuacha ofisi na kuhudhuria mkutano wa katibu mwenezi wa chama Ili akaulizwe maswali ya kuabishwa, je, huyo Mkurugenzi hapaswi kuitwa mpumbavu?

Kama Mkurugenzi anakuwa mpumbavu je watumishi wa chini yake ambao kawaajiri wataondokana na upumbavu?

Kimamlaka Mkurugenzi wa wilaya ndiye mwajiri wa watumishi katibu wote wa Halmashauri ya wilaya husika.

Akija katibu mwenezi wa chama Mkurugenzi na maafisa wa wilaya wote wanaacha ofisi kwenda kujibu maswali ya katibu mwenezi.

Kama nchi hili jambo halitoshi kuthibitisha kuwa wasomi na viongozi ni wapumbavu?
nchi ishakuwa ngumu
 
Nadhani ujui mifumo ya nchi chama ndio Dola.
Bossi wa mkurugenzi ni mwenezi
 
Back
Top Bottom