Ongezea bora ahangaikie tunda kimasihara kuliko kupoteza mda kuhangaikia taifa la wenyeweMiaka michache ijayo tutakuwa koloni la ama taifa la kiafrika, kiarabu au mashariki ya mbali.
Hali ya taifa inachosha sana. Vijana wengi hawana ufahamu wa mambo ya kawaida sana na ni graduates wa vyuo vikuu. Na ndio tegemeo la kesho.
Graduate anaona kulijua taifa lake ni ushamba. Ila ujanja ni kujua toleo jipya la iphone, vazi jipya, usajili wa klabu fulani au trend ya celebrit mmoja ya ajabu ajabu.
MkuuAisee nawaza sana kuhusu uchawi uliotumika kumroga Mtanganyika.
Mtu mwenye vyeti vya mashaka, mwenye tuhuma za mauaji leo hii anamtetemesha DED mwenye Masters.
@Pascal Mayalla aliwahi kuleta tafsiri ya neno mpumbavu, hebu muulizeTupate kwanza tafsiri ya mpumbavu tafadhari.
Ni CCM Tu ndio mchawiNchi hii ilirogwa na aliyeiroga kafa.
Wewe umewaza kama mimi.Mpaka sasa Makonda alipaswa kuwa gerezani. Lakini ona kinachotokea.Aisee nawaza sana kuhusu uchawi uliotumika kumroga Mtanganyika.
Mtu mwenye vyeti vya mashaka, mwenye tuhuma za mauaji leo hii anamtetemesha DED mwenye Masters.
Upambavu ni kiwango cha juu kabisa cha kutokujua kitu!UPUMBAVU ni hali ya mtu au watu waliopata elimu lakini wameshindwa kuitumia kujikomboa wao wenyewe au kuikomboa jamii yao katika adha , dhiki, shida au aina yoyote ya mkwamo.
MPUMBAVU, ni mtu alitebahatika kupata elimu lakini kwa makusudi kabisa au kwa kutokujua hawezi kuitumia elimu yake kuikomboa jamii yake au hawezi kujikomboa kutoka katika mkwamo wa kifikra, kiuchumi n.k.
Kama Mkurugenzi ambaye ni mtumishi wa umma na hajafungamana na chama chochote anakubali kuacha ofisi na kuhudhuria mkutano wa katibu mwenezi wa chama Ili akaulizwe maswali ya kuabishwa, je, huyo Mkurugenzi hapaswi kuitwa mpumbavu?
Kama Mkurugenzi anakuwa mpumbavu je watumishi wa chini yake ambao kawaajiri wataondokana na upumbavu?
Kimamlaka Mkurugenzi wa wilaya ndiye mwajiri wa watumishi katibu wote wa Halmashauri ya wilaya husika.
Akija katibu mwenezi wa chama Mkurugenzi na maafisa wa wilaya wote wanaacha ofisi kwenda kujibu maswali ya katibu mwenezi.
Kama nchi hili jambo halitoshi kuthibitisha kuwa wasomi na viongozi ni wapumbavu?
Mpaka daktari anaacha wagonjwa hospital kwenda kumsikiliza katibu mwenezi.Upambavu ni kiwango cha juu kabisa cha kutokujua kitu!
Mtu Mpumbavu haelimiki!
Hakuna Shule inayoweza kuondoa Upumbavu!
Shule inaondoa UJINGA*(Stupidity) lakini haiwezi kuondoa UPUMBAVU(foolishness).
Kwa hivo unaweza kuanza tena kujenga hoja yako vizuri!
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
wanaogopa mamlaka yao iliyowateua na kunyanganywa ulaji. Hata ingekuwa mimi ningefanya hivyo,siyo wapumbavu kwa muktadha huu ni werevu.UPUMBAVU ni hali ya mtu au watu waliopata elimu lakini wameshindwa kuitumia kujikomboa wao wenyewe au kuikomboa jamii yao katika adha , dhiki, shida au aina yoyote ya mkwamo.
MPUMBAVU, ni mtu alitebahatika kupata elimu lakini kwa makusudi kabisa au kwa kutokujua hawezi kuitumia elimu yake kuikomboa jamii yake au hawezi kujikomboa kutoka katika mkwamo wa kifikra, kiuchumi n.k.
Kama Mkurugenzi ambaye ni mtumishi wa umma na hajafungamana na chama chochote anakubali kuacha ofisi na kuhudhuria mkutano wa katibu mwenezi wa chama Ili akaulizwe maswali ya kuabishwa, je, huyo Mkurugenzi hapaswi kuitwa mpumbavu?
Kama Mkurugenzi anakuwa mpumbavu je watumishi wa chini yake ambao kawaajiri wataondokana na upumbavu?
Kimamlaka Mkurugenzi wa wilaya ndiye mwajiri wa watumishi katibu wote wa Halmashauri ya wilaya husika.
Akija katibu mwenezi wa chama Mkurugenzi na maafisa wa wilaya wote wanaacha ofisi kwenda kujibu maswali ya katibu mwenezi.
Kama nchi hili jambo halitoshi kuthibitisha kuwa wasomi na viongozi ni wapumbavu?
Nafikiri ni upumbavu zaidi kufikiri chama kinachoisamimia serikali hakina nguvu kuliko serikali,yaani anayesimamiwa hapaswi kuhojiwa na anayemsimamia.Leo makonda hana nguvu ya kumuhoji waziri ,mb,mkurugenzi ,RC ,DC ambao wote ni CCM? huu ndio upumbavu zaidi kufikiri ANAYESIMAMIWA anayo nguvu kuliko MSIMAMIZIUPUMBAVU ni hali ya mtu au watu waliopata elimu lakini wameshindwa kuitumia kujikomboa wao wenyewe au kuikomboa jamii yao katika adha , dhiki, shida au aina yoyote ya mkwamo.
MPUMBAVU, ni mtu alitebahatika kupata elimu lakini kwa makusudi kabisa au kwa kutokujua hawezi kuitumia elimu yake kuikomboa jamii yake au hawezi kujikomboa kutoka katika mkwamo wa kifikra, kiuchumi n.k.
Kama Mkurugenzi ambaye ni mtumishi wa umma na hajafungamana na chama chochote anakubali kuacha ofisi na kuhudhuria mkutano wa katibu mwenezi wa chama Ili akaulizwe maswali ya kuabishwa, je, huyo Mkurugenzi hapaswi kuitwa mpumbavu?
Kama Mkurugenzi anakuwa mpumbavu je watumishi wa chini yake ambao kawaajiri wataondokana na upumbavu?
Kimamlaka Mkurugenzi wa wilaya ndiye mwajiri wa watumishi katibu wote wa Halmashauri ya wilaya husika.
Akija katibu mwenezi wa chama Mkurugenzi na maafisa wa wilaya wote wanaacha ofisi kwenda kujibu maswali ya katibu mwenezi.
Kama nchi hili jambo halitoshi kuthibitisha kuwa wasomi na viongozi ni wapumbavu?
Mtu asiye jielewaTupate kwanza tafsiri ya mpumbavu tafadhari.
nchi ishakuwa ngumuUPUMBAVU ni hali ya mtu au watu waliopata elimu lakini wameshindwa kuitumia kujikomboa wao wenyewe au kuikomboa jamii yao katika adha , dhiki, shida au aina yoyote ya mkwamo.
MPUMBAVU, ni mtu alitebahatika kupata elimu lakini kwa makusudi kabisa au kwa kutokujua hawezi kuitumia elimu yake kuikomboa jamii yake au hawezi kujikomboa kutoka katika mkwamo wa kifikra, kiuchumi n.k.
Kama Mkurugenzi ambaye ni mtumishi wa umma na hajafungamana na chama chochote anakubali kuacha ofisi na kuhudhuria mkutano wa katibu mwenezi wa chama Ili akaulizwe maswali ya kuabishwa, je, huyo Mkurugenzi hapaswi kuitwa mpumbavu?
Kama Mkurugenzi anakuwa mpumbavu je watumishi wa chini yake ambao kawaajiri wataondokana na upumbavu?
Kimamlaka Mkurugenzi wa wilaya ndiye mwajiri wa watumishi katibu wote wa Halmashauri ya wilaya husika.
Akija katibu mwenezi wa chama Mkurugenzi na maafisa wa wilaya wote wanaacha ofisi kwenda kujibu maswali ya katibu mwenezi.
Kama nchi hili jambo halitoshi kuthibitisha kuwa wasomi na viongozi ni wapumbavu?