Gabeji
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 1,530
- 1,903
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Serikali ya kikoloni ilipata upinzani wa kweli kutoka kwa watanzania wazalendo.
Baada ya uhuru serika ya Taa, Tanu na badae ccm hawakuwa na mpinzani wa kweli. Miaka ya 1980s'Dunia ilikuwa chini ya mfumo wa kibepari.
Hivyo demokrasia ndio ulikuwa msingi mkuu wa kibepari. Nchi yetu ililazimika kuingia huko. KWA kuwa mwl NYERERE alikuwa smart indeed, akasema isiwe case, akamua kuanzisha upinzani feki( Black agent) chini ya baadhi ya watu akiwemo Edwin Mtei, Lyatonga Mrema nk
Lengo ilikuwa kupata misaada kutoka kwa mabepari chini ya IMF NA WORLD BANK. vyama vya siasa vikaanzishwa, TLP, CHADEMA, NCCR, CUF, NK, I'li kuwazuga watoa misaada waone kuwa Tanzania kuna democrasia, na upinzani kumbe ni feki.
CCM wakauendeleza mfumo huo mpaka mwaka 2015 wakajichanganya kidogo, akangia mtu wa nje na mfumo, akataka kutoa siri kwa WANANCHI, ambayo CCM na state agents wameificha na kuilinda zaidi ya miaka 30. Wakala kichwa chake.
Sasa cha kushangaza na kusikitisha, sijui walijisahau vip? Sijui kuna baadhi ya watu waliosoma Cuba walichoka kuendelea kuilinda siri hii, ? Mwaka 2025 Wamejichanganya tena
Mwaka huu 2025, kile CHAMA kilichoanzishwa kwa makusudi maalumu ya kuwazuga watoa misaada na wananchi chini ya mablack agents CHADEMA feki kimekuwa CHAMA kikuu cha upinzani wa kweli. Chini ya mwenyekiti mh Tundu Lissu.
Wananchi wote ndani na nje ya nchi wamerudisha matumaini mapya kabisa kwa nchi yao nzuri ingawa Mafisadi, wala rushwa, machawa, wadhalimu, na viongozi wote wapumbavu leo hii hawapati hata usingizi, wanahaha, hawajui wafanye nini namna ya kuthibiti CHADEMA ya kweli. Mwaka huu tutaona mengi sana. "Hakuna masiki yasio na ncha"
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Baada ya uhuru serika ya Taa, Tanu na badae ccm hawakuwa na mpinzani wa kweli. Miaka ya 1980s'Dunia ilikuwa chini ya mfumo wa kibepari.
Hivyo demokrasia ndio ulikuwa msingi mkuu wa kibepari. Nchi yetu ililazimika kuingia huko. KWA kuwa mwl NYERERE alikuwa smart indeed, akasema isiwe case, akamua kuanzisha upinzani feki( Black agent) chini ya baadhi ya watu akiwemo Edwin Mtei, Lyatonga Mrema nk
Lengo ilikuwa kupata misaada kutoka kwa mabepari chini ya IMF NA WORLD BANK. vyama vya siasa vikaanzishwa, TLP, CHADEMA, NCCR, CUF, NK, I'li kuwazuga watoa misaada waone kuwa Tanzania kuna democrasia, na upinzani kumbe ni feki.
CCM wakauendeleza mfumo huo mpaka mwaka 2015 wakajichanganya kidogo, akangia mtu wa nje na mfumo, akataka kutoa siri kwa WANANCHI, ambayo CCM na state agents wameificha na kuilinda zaidi ya miaka 30. Wakala kichwa chake.
Sasa cha kushangaza na kusikitisha, sijui walijisahau vip? Sijui kuna baadhi ya watu waliosoma Cuba walichoka kuendelea kuilinda siri hii, ? Mwaka 2025 Wamejichanganya tena
Mwaka huu 2025, kile CHAMA kilichoanzishwa kwa makusudi maalumu ya kuwazuga watoa misaada na wananchi chini ya mablack agents CHADEMA feki kimekuwa CHAMA kikuu cha upinzani wa kweli. Chini ya mwenyekiti mh Tundu Lissu.
Wananchi wote ndani na nje ya nchi wamerudisha matumaini mapya kabisa kwa nchi yao nzuri ingawa Mafisadi, wala rushwa, machawa, wadhalimu, na viongozi wote wapumbavu leo hii hawapati hata usingizi, wanahaha, hawajui wafanye nini namna ya kuthibiti CHADEMA ya kweli. Mwaka huu tutaona mengi sana. "Hakuna masiki yasio na ncha"
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.