Pre GE2025 Sasa CCM imepata mpinzani wa kweli tangu 1992-2025 CHADEMA chini Tundu Lissu

Pre GE2025 Sasa CCM imepata mpinzani wa kweli tangu 1992-2025 CHADEMA chini Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Serikali ya kikoloni ilipata upinzani wa kweli kutoka kwa watanzania wazalendo.

Baada ya uhuru serika ya Taa, Tanu na badae ccm hawakuwa na mpinzani wa kweli. Miaka ya 1980s'Dunia ilikuwa chini ya mfumo wa kibepari.

Hivyo demokrasia ndio ulikuwa msingi mkuu wa kibepari. Nchi yetu ililazimika kuingia huko. KWA kuwa mwl NYERERE alikuwa smart indeed, akasema isiwe case, akamua kuanzisha upinzani feki( Black agent) chini ya baadhi ya watu akiwemo Edwin Mtei, Lyatonga Mrema nk

Lengo ilikuwa kupata misaada kutoka kwa mabepari chini ya IMF NA WORLD BANK. vyama vya siasa vikaanzishwa, TLP, CHADEMA, NCCR, CUF, NK, I'li kuwazuga watoa misaada waone kuwa Tanzania kuna democrasia, na upinzani kumbe ni feki.

CCM wakauendeleza mfumo huo mpaka mwaka 2015 wakajichanganya kidogo, akangia mtu wa nje na mfumo, akataka kutoa siri kwa WANANCHI, ambayo CCM na state agents wameificha na kuilinda zaidi ya miaka 30. Wakala kichwa chake.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha, sijui walijisahau vip? Sijui kuna baadhi ya watu waliosoma Cuba walichoka kuendelea kuilinda siri hii, ? Mwaka 2025 Wamejichanganya tena

Mwaka huu 2025, kile CHAMA kilichoanzishwa kwa makusudi maalumu ya kuwazuga watoa misaada na wananchi chini ya mablack agents CHADEMA feki kimekuwa CHAMA kikuu cha upinzani wa kweli. Chini ya mwenyekiti mh Tundu Lissu.

Wananchi wote ndani na nje ya nchi wamerudisha matumaini mapya kabisa kwa nchi yao nzuri ingawa Mafisadi, wala rushwa, machawa, wadhalimu, na viongozi wote wapumbavu leo hii hawapati hata usingizi, wanahaha, hawajui wafanye nini namna ya kuthibiti CHADEMA ya kweli. Mwaka huu tutaona mengi sana. "Hakuna masiki yasio na ncha"

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Serikali ya kikoloni ilipata upinzani wa kweli kutoka kwa watanzania wazalendo.
Baada ya uhuru serika ya Taa, Tanu na badae ccm hawakuwa na mpinzani wa kweli. Miaka ya 1980s'Dunia ilikuwa chini ya mfumo wa kibepari. Hivyo democrasia ndio ulikuwa msingi mkuu wa kibepari. Nchi yetu ililazimika kuingia huko. KWA kuwa mwl NYERERE alikuwa smart indeed, akasema isiwe case, akamua kuanzisha upinzani feki( Black agent) chini ya baadhi ya watu akiwemo Edwin mtei, lyatonga mrema nk,
Lengo ilikuwa kupata misaada kutoka kwa mabepari chini ya IMF NA WORLD BANK. vyama vya siasa vikaanzishwa, TLP, CHADEMA, NCCR, CUF, NK, I'li kuwazuga watoa misaada waone kuwa Tanzania kuna democrasia, na upinzani kumbe ni feki.
Ccm wakauendeleza mfumo huo mpaka mwaka 2015 wakajichanganya kidogo ,akangia mtu wa nje na mfumo ,akataka kutoa siri kwa WANANCHI ,ambayo ccm na state agents wameificha na kuilinda zaidi ya miaka 30. Wakala kichwa chake.
Sasa cha kushangaza na kusikitisha ,sijui walijisahau vip? Sijui kuna baadhi ya watu waliosoma cuba walichoka kuendelea kuilinda siri hii, ? Mwaka 2025 Wamejichanganya tena
Mwaka huu 2025, kile CHAMA kilichoanzishwa kwa makusudi maalumu ya kuwazuga watoa misaada na wananchi chini ya mablack agents chadema feki kimekuwa CHAMA kikuu cha upinzani wa kweli. Chini ya mwenyekiti mh Tundu lisu.wananchi wote ndani na nje ya nchi wamerudisha matumaini mapya kabisa kwa nchi yao nzuri ingawa Mafisadi , walarushwa, machawa, wadhalimu, na viongozi wote wapumbavu leo hii hawapati hata usingizi, wanahahhaha, hawajui wafanye nini? Namna ya kuthibiti chadema ya kweli. Mwaka huu tutaona mengi sana. "Hakuna masiki yasio na ncha"
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
🤔 🤔 🤔
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Serikali ya kikoloni ilipata upinzani wa kweli kutoka kwa watanzania wazalendo.
Baada ya uhuru serika ya Taa, Tanu na badae ccm hawakuwa na mpinzani wa kweli. Miaka ya 1980s'Dunia ilikuwa chini ya mfumo wa kibepari. Hivyo democrasia ndio ulikuwa msingi mkuu wa kibepari. Nchi yetu ililazimika kuingia huko. KWA kuwa mwl NYERERE alikuwa smart indeed, akasema isiwe case, akamua kuanzisha upinzani feki( Black agent) chini ya baadhi ya watu akiwemo Edwin mtei, lyatonga mrema nk,
Lengo ilikuwa kupata misaada kutoka kwa mabepari chini ya IMF NA WORLD BANK. vyama vya siasa vikaanzishwa, TLP, CHADEMA, NCCR, CUF, NK, I'li kuwazuga watoa misaada waone kuwa Tanzania kuna democrasia, na upinzani kumbe ni feki.
Ccm wakauendeleza mfumo huo mpaka mwaka 2015 wakajichanganya kidogo ,akangia mtu wa nje na mfumo ,akataka kutoa siri kwa WANANCHI ,ambayo ccm na state agents wameificha na kuilinda zaidi ya miaka 30. Wakala kichwa chake.
Sasa cha kushangaza na kusikitisha ,sijui walijisahau vip? Sijui kuna baadhi ya watu waliosoma cuba walichoka kuendelea kuilinda siri hii, ? Mwaka 2025 Wamejichanganya tena
Mwaka huu 2025, kile CHAMA kilichoanzishwa kwa makusudi maalumu ya kuwazuga watoa misaada na wananchi chini ya mablack agents chadema feki kimekuwa CHAMA kikuu cha upinzani wa kweli. Chini ya mwenyekiti mh Tundu lisu.wananchi wote ndani na nje ya nchi wamerudisha matumaini mapya kabisa kwa nchi yao nzuri ingawa Mafisadi , walarushwa, machawa, wadhalimu, na viongozi wote wapumbavu leo hii hawapati hata usingizi, wanahahhaha, hawajui wafanye nini? Namna ya kuthibiti chadema ya kweli. Mwaka huu tutaona mengi sana. "Hakuna masiki yasio na ncha"
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Hizi sifa zenu Za kitoto very soon zitakoma!
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Serikali ya kikoloni ilipata upinzani wa kweli kutoka kwa watanzania wazalendo.
Baada ya uhuru serika ya Taa, Tanu na badae ccm hawakuwa na mpinzani wa kweli. Miaka ya 1980s'Dunia ilikuwa chini ya mfumo wa kibepari. Hivyo democrasia ndio ulikuwa msingi mkuu wa kibepari. Nchi yetu ililazimika kuingia huko. KWA kuwa mwl NYERERE alikuwa smart indeed, akasema isiwe case, akamua kuanzisha upinzani feki( Black agent) chini ya baadhi ya watu akiwemo Edwin mtei, lyatonga mrema nk,
Lengo ilikuwa kupata misaada kutoka kwa mabepari chini ya IMF NA WORLD BANK. vyama vya siasa vikaanzishwa, TLP, CHADEMA, NCCR, CUF, NK, I'li kuwazuga watoa misaada waone kuwa Tanzania kuna democrasia, na upinzani kumbe ni feki.
Ccm wakauendeleza mfumo huo mpaka mwaka 2015 wakajichanganya kidogo ,akangia mtu wa nje na mfumo ,akataka kutoa siri kwa WANANCHI ,ambayo ccm na state agents wameificha na kuilinda zaidi ya miaka 30. Wakala kichwa chake.
Sasa cha kushangaza na kusikitisha ,sijui walijisahau vip? Sijui kuna baadhi ya watu waliosoma cuba walichoka kuendelea kuilinda siri hii, ? Mwaka 2025 Wamejichanganya tena
Mwaka huu 2025, kile CHAMA kilichoanzishwa kwa makusudi maalumu ya kuwazuga watoa misaada na wananchi chini ya mablack agents chadema feki kimekuwa CHAMA kikuu cha upinzani wa kweli. Chini ya mwenyekiti mh Tundu lisu.wananchi wote ndani na nje ya nchi wamerudisha matumaini mapya kabisa kwa nchi yao nzuri ingawa Mafisadi , walarushwa, machawa, wadhalimu, na viongozi wote wapumbavu leo hii hawapati hata usingizi, wanahahhaha, hawajui wafanye nini? Namna ya kuthibiti chadema ya kweli. Mwaka huu tutaona mengi sana. "Hakuna masiki yasio na ncha"
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
The Beginning of the end of Ccm
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Serikali ya kikoloni ilipata upinzani wa kweli kutoka kwa watanzania wazalendo.
Baada ya uhuru serika ya Taa, Tanu na badae ccm hawakuwa na mpinzani wa kweli. Miaka ya 1980s'Dunia ilikuwa chini ya mfumo wa kibepari. Hivyo democrasia ndio ulikuwa msingi mkuu wa kibepari. Nchi yetu ililazimika kuingia huko. KWA kuwa mwl NYERERE alikuwa smart indeed, akasema isiwe case, akamua kuanzisha upinzani feki( Black agent) chini ya baadhi ya watu akiwemo Edwin mtei, lyatonga mrema nk,
Lengo ilikuwa kupata misaada kutoka kwa mabepari chini ya IMF NA WORLD BANK. vyama vya siasa vikaanzishwa, TLP, CHADEMA, NCCR, CUF, NK, I'li kuwazuga watoa misaada waone kuwa Tanzania kuna democrasia, na upinzani kumbe ni feki.
Ccm wakauendeleza mfumo huo mpaka mwaka 2015 wakajichanganya kidogo ,akangia mtu wa nje na mfumo ,akataka kutoa siri kwa WANANCHI ,ambayo ccm na state agents wameificha na kuilinda zaidi ya miaka 30. Wakala kichwa chake.
Sasa cha kushangaza na kusikitisha ,sijui walijisahau vip? Sijui kuna baadhi ya watu waliosoma cuba walichoka kuendelea kuilinda siri hii, ? Mwaka 2025 Wamejichanganya tena
Mwaka huu 2025, kile CHAMA kilichoanzishwa kwa makusudi maalumu ya kuwazuga watoa misaada na wananchi chini ya mablack agents chadema feki kimekuwa CHAMA kikuu cha upinzani wa kweli. Chini ya mwenyekiti mh Tundu lisu.wananchi wote ndani na nje ya nchi wamerudisha matumaini mapya kabisa kwa nchi yao nzuri ingawa Mafisadi , walarushwa, machawa, wadhalimu, na viongozi wote wapumbavu leo hii hawapati hata usingizi, wanahahhaha, hawajui wafanye nini? Namna ya kuthibiti chadema ya kweli. Mwaka huu tutaona mengi sana. "Hakuna masiki yasio na ncha"
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
WEWE PEKEE NDIE MWINJILISTI UNAESTAHILI KUPEWA SADAKA ULE NA FUNGU LA KUMI..SIO HAWA TULIOWAZOEA!
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Serikali ya kikoloni ilipata upinzani wa kweli kutoka kwa watanzania wazalendo.
Baada ya uhuru serika ya Taa, Tanu na badae ccm hawakuwa na mpinzani wa kweli. Miaka ya 1980s'Dunia ilikuwa chini ya mfumo wa kibepari. Hivyo democrasia ndio ulikuwa msingi mkuu wa kibepari. Nchi yetu ililazimika kuingia huko. KWA kuwa mwl NYERERE alikuwa smart indeed, akasema isiwe case, akamua kuanzisha upinzani feki( Black agent) chini ya baadhi ya watu akiwemo Edwin mtei, lyatonga mrema nk,
Lengo ilikuwa kupata misaada kutoka kwa mabepari chini ya IMF NA WORLD BANK. vyama vya siasa vikaanzishwa, TLP, CHADEMA, NCCR, CUF, NK, I'li kuwazuga watoa misaada waone kuwa Tanzania kuna democrasia, na upinzani kumbe ni feki.
Ccm wakauendeleza mfumo huo mpaka mwaka 2015 wakajichanganya kidogo ,akangia mtu wa nje na mfumo ,akataka kutoa siri kwa WANANCHI ,ambayo ccm na state agents wameificha na kuilinda zaidi ya miaka 30. Wakala kichwa chake.
Sasa cha kushangaza na kusikitisha ,sijui walijisahau vip? Sijui kuna baadhi ya watu waliosoma cuba walichoka kuendelea kuilinda siri hii, ? Mwaka 2025 Wamejichanganya tena
Mwaka huu 2025, kile CHAMA kilichoanzishwa kwa makusudi maalumu ya kuwazuga watoa misaada na wananchi chini ya mablack agents chadema feki kimekuwa CHAMA kikuu cha upinzani wa kweli. Chini ya mwenyekiti mh Tundu lisu.wananchi wote ndani na nje ya nchi wamerudisha matumaini mapya kabisa kwa nchi yao nzuri ingawa Mafisadi , walarushwa, machawa, wadhalimu, na viongozi wote wapumbavu leo hii hawapati hata usingizi, wanahahhaha, hawajui wafanye nini? Namna ya kuthibiti chadema ya kweli. Mwaka huu tutaona mengi sana. "Hakuna masiki yasio na ncha"
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
CCM DAIMA SAMIA MITANO TENA
 
Back
Top Bottom