Pre GE2025 Sasa CCM imepata mpinzani wa kweli tangu 1992-2025 CHADEMA chini Tundu Lissu

Pre GE2025 Sasa CCM imepata mpinzani wa kweli tangu 1992-2025 CHADEMA chini Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nyumbu endeleeni kujidanganyana. Chadema ya sasa ya Tundu Lissu ni DHAIFU SANA. Nabet ikitokea Chadema Uchaguzi Mkuu huu ikipata wabunge 10 wa kuchaguliwa, basi nipigwe ban JF ya MWAKA MMOJA!

Na Chadema ikipata kura za Urais kwa asilimia zaidi ya 15% niongezewe ban iwe MIAKA MIWILI!
Uchaguzi ukiwa huru na haki, samia chali
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Serikali ya kikoloni ilipata upinzani wa kweli kutoka kwa watanzania wazalendo.

Baada ya uhuru serika ya Taa, Tanu na badae ccm hawakuwa na mpinzani wa kweli. Miaka ya 1980s'Dunia ilikuwa chini ya mfumo wa kibepari.

Hivyo demokrasia ndio ulikuwa msingi mkuu wa kibepari. Nchi yetu ililazimika kuingia huko. KWA kuwa mwl NYERERE alikuwa smart indeed, akasema isiwe case, akamua kuanzisha upinzani feki( Black agent) chini ya baadhi ya watu akiwemo Edwin Mtei, Lyatonga Mrema nk

Lengo ilikuwa kupata misaada kutoka kwa mabepari chini ya IMF NA WORLD BANK. vyama vya siasa vikaanzishwa, TLP, CHADEMA, NCCR, CUF, NK, I'li kuwazuga watoa misaada waone kuwa Tanzania kuna democrasia, na upinzani kumbe ni feki.

CCM wakauendeleza mfumo huo mpaka mwaka 2015 wakajichanganya kidogo, akangia mtu wa nje na mfumo, akataka kutoa siri kwa WANANCHI, ambayo CCM na state agents wameificha na kuilinda zaidi ya miaka 30. Wakala kichwa chake.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha, sijui walijisahau vip? Sijui kuna baadhi ya watu waliosoma Cuba walichoka kuendelea kuilinda siri hii, ? Mwaka 2025 Wamejichanganya tena

Mwaka huu 2025, kile CHAMA kilichoanzishwa kwa makusudi maalumu ya kuwazuga watoa misaada na wananchi chini ya mablack agents CHADEMA feki kimekuwa CHAMA kikuu cha upinzani wa kweli. Chini ya mwenyekiti mh Tundu Lissu.

Wananchi wote ndani na nje ya nchi wamerudisha matumaini mapya kabisa kwa nchi yao nzuri ingawa Mafisadi, wala rushwa, machawa, wadhalimu, na viongozi wote wapumbavu leo hii hawapati hata usingizi, wanahaha, hawajui wafanye nini namna ya kuthibiti CHADEMA ya kweli. Mwaka huu tutaona mengi sana. "Hakuna masiki yasio na ncha"

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Tundu Lissu is the Perfect Choice
 
Nyumbu endeleeni kujidanganyana. Chadema ya sasa ya Tundu Lissu ni DHAIFU SANA. Nabet ikitokea Chadema Uchaguzi Mkuu huu ikipata wabunge 10 wa kuchaguliwa, basi nipigwe ban JF ya MWAKA MMOJA!

Na Chadema ikipata kura za Urais kwa asilimia zaidi ya 15% niongezewe ban iwe MIAKA MIWILI!
Uchaguzi ukiwa huru na haki, samia
Mimi ni CCM lialia. Na kwa taarifa yako, Mbowe aliiweza CCM, lakini Lissu is just a piece cake for CCM!
Subili Kazi ianze, wenzio hawalali, huyo mzee wa kusinzia
 
Achani kujidanganya. Kwa sasa mpinzani wa CCM ni CHAUMMA na UPDP... CHADEMA imeshajifia.
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Serikali ya kikoloni ilipata upinzani wa kweli kutoka kwa watanzania wazalendo.

Baada ya uhuru serika ya Taa, Tanu na badae ccm hawakuwa na mpinzani wa kweli. Miaka ya 1980s'Dunia ilikuwa chini ya mfumo wa kibepari.

Hivyo demokrasia ndio ulikuwa msingi mkuu wa kibepari. Nchi yetu ililazimika kuingia huko. KWA kuwa mwl NYERERE alikuwa smart indeed, akasema isiwe case, akamua kuanzisha upinzani feki( Black agent) chini ya baadhi ya watu akiwemo Edwin Mtei, Lyatonga Mrema nk

Lengo ilikuwa kupata misaada kutoka kwa mabepari chini ya IMF NA WORLD BANK. vyama vya siasa vikaanzishwa, TLP, CHADEMA, NCCR, CUF, NK, I'li kuwazuga watoa misaada waone kuwa Tanzania kuna democrasia, na upinzani kumbe ni feki.

CCM wakauendeleza mfumo huo mpaka mwaka 2015 wakajichanganya kidogo, akangia mtu wa nje na mfumo, akataka kutoa siri kwa WANANCHI, ambayo CCM na state agents wameificha na kuilinda zaidi ya miaka 30. Wakala kichwa chake.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha, sijui walijisahau vip? Sijui kuna baadhi ya watu waliosoma Cuba walichoka kuendelea kuilinda siri hii, ? Mwaka 2025 Wamejichanganya tena

Mwaka huu 2025, kile CHAMA kilichoanzishwa kwa makusudi maalumu ya kuwazuga watoa misaada na wananchi chini ya mablack agents CHADEMA feki kimekuwa CHAMA kikuu cha upinzani wa kweli. Chini ya mwenyekiti mh Tundu Lissu.

Wananchi wote ndani na nje ya nchi wamerudisha matumaini mapya kabisa kwa nchi yao nzuri ingawa Mafisadi, wala rushwa, machawa, wadhalimu, na viongozi wote wapumbavu leo hii hawapati hata usingizi, wanahaha, hawajui wafanye nini namna ya kuthibiti CHADEMA ya kweli. Mwaka huu tutaona mengi sana. "Hakuna masiki yasio na ncha"

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Uzuri wa JF ni kupokea kila kitu

This is one of the classic gabbage

As long as ni chakademus ilo pale hakuna kinachobadilika
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Serikali ya kikoloni ilipata upinzani wa kweli kutoka kwa watanzania wazalendo.

Baada ya uhuru serika ya Taa, Tanu na badae ccm hawakuwa na mpinzani wa kweli. Miaka ya 1980s'Dunia ilikuwa chini ya mfumo wa kibepari.

Hivyo demokrasia ndio ulikuwa msingi mkuu wa kibepari. Nchi yetu ililazimika kuingia huko. KWA kuwa mwl NYERERE alikuwa smart indeed, akasema isiwe case, akamua kuanzisha upinzani feki( Black agent) chini ya baadhi ya watu akiwemo Edwin Mtei, Lyatonga Mrema nk

Lengo ilikuwa kupata misaada kutoka kwa mabepari chini ya IMF NA WORLD BANK. vyama vya siasa vikaanzishwa, TLP, CHADEMA, NCCR, CUF, NK, I'li kuwazuga watoa misaada waone kuwa Tanzania kuna democrasia, na upinzani kumbe ni feki.

CCM wakauendeleza mfumo huo mpaka mwaka 2015 wakajichanganya kidogo, akangia mtu wa nje na mfumo, akataka kutoa siri kwa WANANCHI, ambayo CCM na state agents wameificha na kuilinda zaidi ya miaka 30. Wakala kichwa chake.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha, sijui walijisahau vip? Sijui kuna baadhi ya watu waliosoma Cuba walichoka kuendelea kuilinda siri hii, ? Mwaka 2025 Wamejichanganya tena

Mwaka huu 2025, kile CHAMA kilichoanzishwa kwa makusudi maalumu ya kuwazuga watoa misaada na wananchi chini ya mablack agents CHADEMA feki kimekuwa CHAMA kikuu cha upinzani wa kweli. Chini ya mwenyekiti mh Tundu Lissu.

Wananchi wote ndani na nje ya nchi wamerudisha matumaini mapya kabisa kwa nchi yao nzuri ingawa Mafisadi, wala rushwa, machawa, wadhalimu, na viongozi wote wapumbavu leo hii hawapati hata usingizi, wanahaha, hawajui wafanye nini namna ya kuthibiti CHADEMA ya kweli. Mwaka huu tutaona mengi sana. "Hakuna masiki yasio na ncha"

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Na amekataa mabulungutu, ana roho ngumu usawa huu
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Serikali ya kikoloni ilipata upinzani wa kweli kutoka kwa watanzania wazalendo.

Baada ya uhuru serika ya Taa, Tanu na badae ccm hawakuwa na mpinzani wa kweli. Miaka ya 1980s'Dunia ilikuwa chini ya mfumo wa kibepari.

Hivyo demokrasia ndio ulikuwa msingi mkuu wa kibepari. Nchi yetu ililazimika kuingia huko. KWA kuwa mwl NYERERE alikuwa smart indeed, akasema isiwe case, akamua kuanzisha upinzani feki( Black agent) chini ya baadhi ya watu akiwemo Edwin Mtei, Lyatonga Mrema nk

Lengo ilikuwa kupata misaada kutoka kwa mabepari chini ya IMF NA WORLD BANK. vyama vya siasa vikaanzishwa, TLP, CHADEMA, NCCR, CUF, NK, I'li kuwazuga watoa misaada waone kuwa Tanzania kuna democrasia, na upinzani kumbe ni feki.

CCM wakauendeleza mfumo huo mpaka mwaka 2015 wakajichanganya kidogo, akangia mtu wa nje na mfumo, akataka kutoa siri kwa WANANCHI, ambayo CCM na state agents wameificha na kuilinda zaidi ya miaka 30. Wakala kichwa chake.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha, sijui walijisahau vip? Sijui kuna baadhi ya watu waliosoma Cuba walichoka kuendelea kuilinda siri hii, ? Mwaka 2025 Wamejichanganya tena

Mwaka huu 2025, kile CHAMA kilichoanzishwa kwa makusudi maalumu ya kuwazuga watoa misaada na wananchi chini ya mablack agents CHADEMA feki kimekuwa CHAMA kikuu cha upinzani wa kweli. Chini ya mwenyekiti mh Tundu Lissu.

Wananchi wote ndani na nje ya nchi wamerudisha matumaini mapya kabisa kwa nchi yao nzuri ingawa Mafisadi, wala rushwa, machawa, wadhalimu, na viongozi wote wapumbavu leo hii hawapati hata usingizi, wanahaha, hawajui wafanye nini namna ya kuthibiti CHADEMA ya kweli. Mwaka huu tutaona mengi sana. "Hakuna masiki yasio na ncha"

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Lissu ni mwepesi kuliko tissue paper, ni mbwekaji lkn sio mvumilivu na mwepesi sana kuingia kwenye jinai yeye mwenyewe au kuingiza wengine. Muda utaongea, atakuwa amekimbilia ubelijigi.
 
Lissu ni mwepesi kuliko tissue paper, ni mbwekaji lkn sio mvumilivu na mwepesi sana kuingia kwenye jinai yeye mwenyewe au kuingiza wengine. Muda utaongea, atakuwa amekimbilia ubelijigi.
Hamna mkuu, amechagua timu makini sana, na watanzania wapo nyuma yake
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Serikali ya kikoloni ilipata upinzani wa kweli kutoka kwa watanzania wazalendo.

Baada ya uhuru serika ya Taa, Tanu na badae ccm hawakuwa na mpinzani wa kweli. Miaka ya 1980s'Dunia ilikuwa chini ya mfumo wa kibepari.

Hivyo demokrasia ndio ulikuwa msingi mkuu wa kibepari. Nchi yetu ililazimika kuingia huko. KWA kuwa mwl NYERERE alikuwa smart indeed, akasema isiwe case, akamua kuanzisha upinzani feki( Black agent) chini ya baadhi ya watu akiwemo Edwin Mtei, Lyatonga Mrema nk

Lengo ilikuwa kupata misaada kutoka kwa mabepari chini ya IMF NA WORLD BANK. vyama vya siasa vikaanzishwa, TLP, CHADEMA, NCCR, CUF, NK, I'li kuwazuga watoa misaada waone kuwa Tanzania kuna democrasia, na upinzani kumbe ni feki.

CCM wakauendeleza mfumo huo mpaka mwaka 2015 wakajichanganya kidogo, akangia mtu wa nje na mfumo, akataka kutoa siri kwa WANANCHI, ambayo CCM na state agents wameificha na kuilinda zaidi ya miaka 30. Wakala kichwa chake.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha, sijui walijisahau vip? Sijui kuna baadhi ya watu waliosoma Cuba walichoka kuendelea kuilinda siri hii, ? Mwaka 2025 Wamejichanganya tena

Mwaka huu 2025, kile CHAMA kilichoanzishwa kwa makusudi maalumu ya kuwazuga watoa misaada na wananchi chini ya mablack agents CHADEMA feki kimekuwa CHAMA kikuu cha upinzani wa kweli. Chini ya mwenyekiti mh Tundu Lissu.

Wananchi wote ndani na nje ya nchi wamerudisha matumaini mapya kabisa kwa nchi yao nzuri ingawa Mafisadi, wala rushwa, machawa, wadhalimu, na viongozi wote wapumbavu leo hii hawapati hata usingizi, wanahaha, hawajui wafanye nini namna ya kuthibiti CHADEMA ya kweli. Mwaka huu tutaona mengi sana. "Hakuna masiki yasio na ncha"

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    1.1 MB · Views: 1
Back
Top Bottom