Pre GE2025 Sasa CCM imepata mpinzani wa kweli tangu 1992-2025 CHADEMA chini Tundu Lissu

Pre GE2025 Sasa CCM imepata mpinzani wa kweli tangu 1992-2025 CHADEMA chini Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema wakitaka kushinda uchaguzi ujao basi wasimsimamishe Lisu watafute mgombea mwingine Lisu hawezi kuwa rais wa nchi hii aliyoiasisi Nyerere. Lisu alimdhihaki Nyerere kwa kumuita mlaghai ktk suala zima la kuziunganisha Tanganyika na Zanzibar kwenye bunge la katiba. Sasa nchi hii Fanya ujinga wako wote ila usimguse Nyerere huto eleweka kamwe
Mkuu, nyerere alikuwa mwanadamu kama wengine, hivyo alikuwa na mapungu yake, kama Yesu alisemwa sembuse NYERERE mwanadamu, au kwako NYERERE alikuwa Mungu?
 
Back
Top Bottom