Sasa CHADEMA kwenda mbali zaidi na kuanza kujipanga kususia muhimili mwingine ambao ni Mahakama

Sasa CHADEMA kwenda mbali zaidi na kuanza kujipanga kususia muhimili mwingine ambao ni Mahakama

mtoto wa mchungaji

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2020
Posts
279
Reaction score
480
Wakati CHADEMA kikiwa kime susa mara kadhaa katika muhimili wa Bunge sasa kimeamua kwenda kuonyesha umaahili huo katika muhimili wa pili ambao ni mahakama. Tabia hii au sera hii kwa chama hicho kikubwa cha upinzani huko bungeni ilikuwa kususa na kuweka plasta midomoni. Sera hii ambayo labda imeonyesha mafanikio makubwa huko bungeni sasa inapikwa hili isogezwe kwa pilato naye apambane nayo.

Taarifa hizi zimetufikia sikuchache baada ya Ndugu Godbless Lema kusema kuwa hana imani chombo hicho na Mbowe akifika mahakamani anyamaze kimya yaani apige plasta kama zote kama ameg'olewa taya. Wakati huo huo kiongozi mwingine mwandamizi wa chama hicho John Mlema yeye alitweeti na kuonyesha kukosa imani na mawakili wake akimtaja Kibatala. Kwa mimi ambaye sijui sharia, sijui mahakama itachukua maamuzi gani hilo zoezi likianza kwani kule bungeni walikuwa wakitolewa nje tu sijui huku.

Hata hivyo taarifa hizi zimepokelewa kwa hisia tofauti kwa wadau wa siasa za Tanzania kwani juzi tu viongozi hao walisikika wakiipongeza mahakama kwa kutenda haki kwa hukumu ya Sabaya kutolewa ambapo Sabaya alikula mvua ya miaka 30. Bado wadau wengi wanajiuliza ni wakati gani mahakama inatenda haki na wakati gani mahakama haitendi haki.

Huko nyuma nakumbuka mahakama ilimiminiwa misifa kwa kutenda haki na viongozi waandamizi wa CHADEMA kwa mahakama kumpa haki Esta Bulaya kuwa mshindi wa ubunge wa jimbo la Bunda na kumwangusha Mzee Steven Wasila. Chombo hicho cha mahakama kilimiminiwa misifa hiyo lakini hakijawai kupokea sifa au kukataa sifa hata mimi sijiu.

Lakini katabia haka ka kukaa kimya au kususa kuongea huku kwetu kanisani aliwai kukafanya bwana wetu Yesu Kristo kule kwa Pilato yule Mrumi ambapo hata hivyo Yesu aliishia kusurubishwa msalabani. Najaribu kuwa wazi zaidi kwani hata mimi sijui sharia ilitoka wapi hata kuwa inakata kote haibakizi.
 
Wakati Chadema kikiwa kime susa mara kadhaa katika muhimili wa Bunge sasa kimeamua kwenda kuonyesha umaahili huo katika muhimili wa pili ambao ni mahakama. Tabia hii au sera hii kwa chama hicho kikubwa cha upinzani huko bungeni ilikuwa kususa na kuweka plasta midomoni. Sera hii ambayo labda imeonyesha mafanikio makubwa huko bungeni sasa inapikwa hili isogezwe kwa pilato naye apambane nayo.

Taarifa hizi zimetufikia sikuchache baada ya Ndugu Godbless Lema kusema kuwa hana imani chombo hicho na Mbowe akifika mahakamani anyamaze kimya yaani apige plasta kama zote kama ameg'olewa taya. Wakati huo huo kiongozi mwingine mwandamizi wa chama hicho John Mlema yeye alitweeti na kuonyesha kukosa imani na mawakili wake akimtaja Kibatala. Kwa mimi ambaye sijui sharia, sijui mahakama itachukua maamuzi gani hilo zoezi likianza kwani kule bungeni walikuwa wakitolewa nje tu sijui huku.

Hata hivyo taarifa hizi zimepokelewa kwa hisia tofauti kwa wadau wa siasa za Tanzania kwani juzi tu viongozi hao walisikika wakiipongeza mahakama kwa kutenda haki kwa hukumu ya Sabaya kutolewa ambapo Sabaya alikula mvua ya miaka 30. Bado wadau wengi wanajiuliza ni wakati gani mahakama inatenda haki na wakati gani mahakama haitendi haki.

Huko nyuma nakumbuka mahakama ilimiminiwa misifa kwa kutenda haki na viongozi waandamizi wa Chadema kwa mahakama kumpa haki Esta Bulaya kuwa mshindi wa ubunge wa jimbo la Bunda na kumwangusha Mzee Steven Wasila. Chombo hicho cha mahakama kilimiminiwa misifa hiyo lakini hakijawai kupokea sifa au kukataa sifa hata mimi sijiu.

Lakini katabia haka ka kukaa kimya au kususa kuongea huku kwetu kanisani aliwai kukafanya bwana wetu Yesu Kristo kule kwa Pilato yule Mrumi ambapo hata hivyo Yesu aliishia kusurubishwa msalabani. Najaribu kuwa wazi zaidi kwani hata mimi sijui sharia ilitoka wapi hata kuwa inakata kote haibakizi.
halafu wakishasusia?
 
Wakati Chadema kikiwa kime susa mara kadhaa katika muhimili wa Bunge sasa kimeamua kwenda kuonyesha umaahili huo katika muhimili wa pili ambao ni mahakama. Tabia hii au sera hii kwa chama hicho kikubwa cha upinzani huko bungeni ilikuwa kususa na kuweka plasta midomoni. Sera hii ambayo labda imeonyesha mafanikio makubwa huko bungeni sasa inapikwa hili isogezwe kwa pilato naye apambane nayo.

Taarifa hizi zimetufikia sikuchache baada ya Ndugu Godbless Lema kusema kuwa hana imani chombo hicho na Mbowe akifika mahakamani anyamaze kimya yaani apige plasta kama zote kama ameg'olewa taya. Wakati huo huo kiongozi mwingine mwandamizi wa chama hicho John Mlema yeye alitweeti na kuonyesha kukosa imani na mawakili wake akimtaja Kibatala. Kwa mimi ambaye sijui sharia, sijui mahakama itachukua maamuzi gani hilo zoezi likianza kwani kule bungeni walikuwa wakitolewa nje tu sijui huku.

Hata hivyo taarifa hizi zimepokelewa kwa hisia tofauti kwa wadau wa siasa za Tanzania kwani juzi tu viongozi hao walisikika wakiipongeza mahakama kwa kutenda haki kwa hukumu ya Sabaya kutolewa ambapo Sabaya alikula mvua ya miaka 30. Bado wadau wengi wanajiuliza ni wakati gani mahakama inatenda haki na wakati gani mahakama haitendi haki.

Huko nyuma nakumbuka mahakama ilimiminiwa misifa kwa kutenda haki na viongozi waandamizi wa Chadema kwa mahakama kumpa haki Esta Bulaya kuwa mshindi wa ubunge wa jimbo la Bunda na kumwangusha Mzee Steven Wasila. Chombo hicho cha mahakama kilimiminiwa misifa hiyo lakini hakijawai kupokea sifa au kukataa sifa hata mimi sijiu.

Lakini katabia haka ka kukaa kimya au kususa kuongea huku kwetu kanisani aliwai kukafanya bwana wetu Yesu Kristo kule kwa Pilato yule Mrumi ambapo hata hivyo Yesu aliishia kusurubishwa msalabani. Najaribu kuwa wazi zaidi kwani hata mimi sijui sharia ilitoka wapi hata kuwa inakata kote haibakizi.
mpumbavu....walisusa bungeni sheria mbovu za kijinga ambazo leo hii unalilia lia na, mitozo, za madini, spika mwenyewe anakili kuwa kuna sheria zinapitishwa kana kwamba walikuwa wamelala
 
I think wanapaswa kupitia upya haya maamuzi yao. I don't think kama it works na ukisusia Mahakama ndio unakosa hata platform ya kuongea maana kesi ya Mbowe inasikika kushinda kitu kingine kwa sasa, wasusie wafungwe waone Kama watasikika Tena. Sioni kama itasaidia wapitie haya maamuzi na kuja na solution mpya kwa namna ya kutatua hoja zao.
 
Wajinga hao kwa sabaya mahakama iko huru kwa mbowe mahakama jaji katumwa na mama .
 
Chadema hawajielewi wanafikiri watanzania ni watoto..wanatumia siasa kupeleka pressure kwa judge ila amuukeai kulingana na kelele za kisiasa ..na mimi naona ushahidi dhidi ya mbowe upo straight sana kuliko ule wa Sabaya wa kuunga unga na gunsi
 
Chadema wamechanganyikiwa, Bunge wamesusia, Serikali walishasusia muda, sasa wanaanza kususia mahakama, kilichobaki watasusiana wao kwa wao..

Upinzani Tanzania kwa ujumla lazima wabadilike haraka na waende na uhalisia, waache upuuzi wa akina Mbowe. Mbowe hawezi kuongoza, huwezi kila kitu cha Mahakama, Serikali, Bunge uone vibaya tu, huo ni upuuzi.

Lazima wabadilike haraka, la sivyo miaka si mingi watapoteana wote.
 
Wakati CHADEMA kikiwa kime susa mara kadhaa katika muhimili wa Bunge sasa kimeamua kwenda kuonyesha umaahili huo katika muhimili wa pili ambao ni mahakama. Tabia hii au sera hii kwa chama hicho kikubwa cha upinzani huko bungeni ilikuwa kususa na kuweka plasta midomoni. Sera hii ambayo labda imeonyesha mafanikio makubwa huko bungeni sasa inapikwa hili isogezwe kwa pilato naye apambane nayo.

Taarifa hizi zimetufikia sikuchache baada ya Ndugu Godbless Lema kusema kuwa hana imani chombo hicho na Mbowe akifika mahakamani anyamaze kimya yaani apige plasta kama zote kama ameg'olewa taya. Wakati huo huo kiongozi mwingine mwandamizi wa chama hicho John Mlema yeye alitweeti na kuonyesha kukosa imani na mawakili wake akimtaja Kibatala. Kwa mimi ambaye sijui sharia, sijui mahakama itachukua maamuzi gani hilo zoezi likianza kwani kule bungeni walikuwa wakitolewa nje tu sijui huku.

Hata hivyo taarifa hizi zimepokelewa kwa hisia tofauti kwa wadau wa siasa za Tanzania kwani juzi tu viongozi hao walisikika wakiipongeza mahakama kwa kutenda haki kwa hukumu ya Sabaya kutolewa ambapo Sabaya alikula mvua ya miaka 30. Bado wadau wengi wanajiuliza ni wakati gani mahakama inatenda haki na wakati gani mahakama haitendi haki.

Huko nyuma nakumbuka mahakama ilimiminiwa misifa kwa kutenda haki na viongozi waandamizi wa CHADEMA kwa mahakama kumpa haki Esta Bulaya kuwa mshindi wa ubunge wa jimbo la Bunda na kumwangusha Mzee Steven Wasila. Chombo hicho cha mahakama kilimiminiwa misifa hiyo lakini hakijawai kupokea sifa au kukataa sifa hata mimi sijiu.

Lakini katabia haka ka kukaa kimya au kususa kuongea huku kwetu kanisani aliwai kukafanya bwana wetu Yesu Kristo kule kwa Pilato yule Mrumi ambapo hata hivyo Yesu aliishia kusurubishwa msalabani. Najaribu kuwa wazi zaidi kwani hata mimi sijui sharia ilitoka wapi hata kuwa inakata kote haibakizi.

Mahakama inashughulikia kesi inawezekana kabisa mahakama hiyohiyo ikatoa haki kwa kundi moja na kunyima haki kwa kudi lingine. Hivyo matokeo na ushahidi ndiyo unafanya watu wanakosa imani na mahakama. Maamuzi waliyotoa ndiyo yamemfanya Lema akasema alivyosema. Sheria ziko wazi na kuna kesi zimeshapita ziko kwenye historia kama watu wanaona kesi hazitendi haki ni sawa.
 
Wakati CHADEMA kikiwa kime susa mara kadhaa katika muhimili wa Bunge sasa kimeamua kwenda kuonyesha umaahili huo katika muhimili wa pili ambao ni mahakama. Tabia hii au sera hii kwa chama hicho kikubwa cha upinzani huko bungeni ilikuwa kususa na kuweka plasta midomoni. Sera hii ambayo labda imeonyesha mafanikio makubwa huko bungeni sasa inapikwa hili isogezwe kwa pilato naye apambane nayo.

Taarifa hizi zimetufikia sikuchache baada ya Ndugu Godbless Lema kusema kuwa hana imani chombo hicho na Mbowe akifika mahakamani anyamaze kimya yaani apige plasta kama zote kama ameg'olewa taya. Wakati huo huo kiongozi mwingine mwandamizi wa chama hicho John Mlema yeye alitweeti na kuonyesha kukosa imani na mawakili wake akimtaja Kibatala. Kwa mimi ambaye sijui sharia, sijui mahakama itachukua maamuzi gani hilo zoezi likianza kwani kule bungeni walikuwa wakitolewa nje tu sijui huku.

Hata hivyo taarifa hizi zimepokelewa kwa hisia tofauti kwa wadau wa siasa za Tanzania kwani juzi tu viongozi hao walisikika wakiipongeza mahakama kwa kutenda haki kwa hukumu ya Sabaya kutolewa ambapo Sabaya alikula mvua ya miaka 30. Bado wadau wengi wanajiuliza ni wakati gani mahakama inatenda haki na wakati gani mahakama haitendi haki.

Huko nyuma nakumbuka mahakama ilimiminiwa misifa kwa kutenda haki na viongozi waandamizi wa CHADEMA kwa mahakama kumpa haki Esta Bulaya kuwa mshindi wa ubunge wa jimbo la Bunda na kumwangusha Mzee Steven Wasila. Chombo hicho cha mahakama kilimiminiwa misifa hiyo lakini hakijawai kupokea sifa au kukataa sifa hata mimi sijiu.

Lakini katabia haka ka kukaa kimya au kususa kuongea huku kwetu kanisani aliwai kukafanya bwana wetu Yesu Kristo kule kwa Pilato yule Mrumi ambapo hata hivyo Yesu aliishia kusurubishwa msalabani. Najaribu kuwa wazi zaidi kwani hata mimi sijui sharia ilitoka wapi hata kuwa inakata kote haibakizi.
Swala la kusurubishwa Yesu ni mpango wa mbingu usifananishe na mambo ya kidunia. Hukumu za duniani no za kibinadamu Wala siyo za Mungu. Matendo ya wanadamu siyo ya Mungu. Hukumu za wanadamu siyo lazima ziwe za kweli maana nyingi Zina udhaifu wa kibinadamu.
 
Swala la kusurubishwa Yesu ni mpango wa mbingu usifananishe na mambo ya kidunia. Hukumu za duniani no za kibinadamu Wala siyo za Mungu. Matendo ya wanadamu siyo ya Mungu. Hukumu za wanadamu siyo lazima ziwe za kweli maana nyingi Zina udhaifu wa kibinadamu.
Ile sharia iliyotumika na Pilato wakati ule hata leo ipo hivyo hivyo ukikaa kimya mahakamani ni mvua. hata mimi najua yale maandiko lakini watu wa sharia wamechukua ile hivyo kama utabisha ngoja Mbowe abandike plasta utashangaa mvua miaka 50 jela.
 
Ile sharia iliyotumika na Pilato wakati ule hata leo ipo hivyo hivyo ukikaa kimya mahakamani ni mvua. hata mimi najua yale maandiko lakini watu wa sharia wamechukua ile hivyo kama utabisha ngoja Mbowe abandike plasta utashangaa mvua miaka 50 jela.
Hats ajiteteeje mvua iko palepale sasa yanini kujiangaisha
 
Back
Top Bottom