Pre GE2025 Sasa Chawa wa kike wanajiita dodo lililoiva!

Pre GE2025 Sasa Chawa wa kike wanajiita dodo lililoiva!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tunakoelekea na hizi Chaguzi zetu huku Njaa ikiwa Kali ni hatari sana.

Kutoka Chawa hadi Dodo Lililoiva 😄

Tusubiri wa kiumeni watajiita Tunda gani. 🐼

Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hatari na nusu, Bure Ghari.

View attachment 3086837
Amepitaje vetting huyu..hizi ndio dalili ccm ni mufilisi, halafu siku ya siku wamama wanaweka foleni barabarani kupinga uonevu kingono wakati maneno anayotamka huyu msichana yana-invite sexual exploitation!
 
Back
Top Bottom