Pre GE2025 Sasa Chawa wa kike wanajiita dodo lililoiva!

Pre GE2025 Sasa Chawa wa kike wanajiita dodo lililoiva!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tunakoelekea na hizi Chaguzi zetu huku Njaa ikiwa Kali ni hatari sana.

Kutoka Chawa hadi Dodo Lililoiva 😄

Tusubiri wa kiumeni watajiita Tunda gani. 🐼

Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hatari na nusu, Bure Ghari.

View attachment 3086837
Matunda yakisha kuiva sharti upeleke sokoni usipo fanya hivyo yatakuozea nyumbani hahaha 🤣 kuna siku nilikuwa nasikiliza mawaidha nikakutana na hilo fumbo kwamba msichana, (mtoto wako wa kike) akikwambia mzazi nataka kuolewa ukamkatalia atakuletea wajukuu nyumbani
 
Wa kiume watajiita "tigo iliyooshwa"
Kuna watu hawana aibu hata chembe.
 
Duh huyo si ataenda kututia aibu
Angeweza ku debate na wakenya au waganda 😄
Au ndiyo kichwani mwaoo wanawaza ni sifiasifia tu

Ova
 
Back
Top Bottom