Sasa hivi kwenye soka kazi ya supporting striker/ Play maker / namba 10 imekufa

Sasa hivi kwenye soka kazi ya supporting striker/ Play maker / namba 10 imekufa

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
298
Reaction score
600
Nafasi ya namba 10 haipo tena kwenye mpira wa sasa, kila kocha anacheza 4-4-2 au 4-3-3 ilikua kila mtoto anatamani kucheza namba 10 lakini kwenye mpira wa sasa nafasi hiyo haipo tena, hakuna kocha anaetumia playmaker tena, kwa Sasa wanahitaji mpira wa kasi na ubora wa mchezaji kwenye one-on-one.

Kwa Sasa wale waliokua wanacheza namba10 wamekua ni winger au Box to box midfielders, mpira wa Sasa ni mbinu na nguvu sana huku kukiwa hakuna nafasi ya namba 10.

Tutawakumbuka sana kina James Rodriguez hasa wakiwa kwenye ubora wao as no 10, hatutamsahau James Rodriguez wa Worldcup 2014.

kwa Sasa anamiaka 34 kacheza michezo 543 kafunga magoli 146 na Assists 172.
 

Attachments

  • IMG-20250102-WA0017.jpg
    IMG-20250102-WA0017.jpg
    54.7 KB · Views: 2
Naomba niku challenge kidogo ukiniambia role ya namba tisa ndo inapotea ntakuelewa ila sio namba kumi, ata iyo 4-3-3 mara nyingi intumia namba kumi wawili straiker kivuli anakua sio standing straiker uwez kuondoa role ya inside ten ktk uwanja.
 
Regista au kwa Kiingereza director.Ulikuwa ukinikosa middle 8 namaliza 10.Sifa yangu kubwa nilikuwa sichafuki.
 
Nafasi ya namba 10 haipo tena kwenye mpira wa sasa, kila kocha anacheza 4-4-2 au 4-3-3 ilikua kila mtoto anatamani kucheza namba 10 lakini kwenye mpira wa sasa nafasi hiyo haipo tena, hakuna kocha anaetumia playmaker tena, kwa Sasa wanahitaji mpira wa kasi na ubora wa mchezaji kwenye one-on-one.

Kwa Sasa wale waliokua wanacheza namba10 wamekua ni winger au Box to box midfielders, mpira wa Sasa ni mbinu na nguvu sana huku kukiwa hakuna nafasi ya namba 10.

Tutawakumbuka sana kina James Rodriguez hasa wakiwa kwenye ubora wao as no 10, hatutamsahau James Rodriguez wa Worldcup 2014.

kwa Sasa anamiaka 34 kacheza michezo 543 kafunga magoli 146 na Assists 172.
Hiyo namba 10 ipo sana, Tanzania tu hapa Feisal anatimika hivyo, Aziz Ki , Simba Ahoua, ukienda uongereza Vole Palmer pale Chelsea, Odegaard pale Arsenal na mifano mingi tu. Timu ikikosa namba 10 Bora haitoboi.
 
Hiyo namba 10 ipo sana, Tanzania tu hapa Feisal anatimika hivyo, Aziz Ki , Simba Ahoua, ukienda uongereza Vole Palmer pale Chelsea, Odegaard pale Arsenal na mifano mingi tu. Timu ikikosa namba 10 Bora haitoboi.
Hao si Attacking Midfielder
 
Naomba niku challenge kidogo ukiniambia role ya namba tisa ndo inapotea ntakuelewa ila sio namba kumi, ata iyo 4-3-3 mara nyingi intumia namba kumi wawili straiker kivuli anakua sio standing straiker uwez kuondoa role ya inside ten ktk uwanja.
Kuna namba 10 playmaker kama chama,ki aziz,ahuwa na namba 10 kama second striker mfano phiri,james rodriguez mleta moda anamzungumzia namba 10 ambaye ni second striker
 
Hiyo namba 10 ipo sana, Tanzania tu hapa Feisal anatimika hivyo, Aziz Ki , Simba Ahoua, ukienda uongereza Vole Palmer pale Chelsea, Odegaard pale Arsenal na mifano mingi tu. Timu ikikosa namba 10 Bora haitoboi.
Hao wote uliowataja ni viungo no 10 ambao ni maplaymaker kazi yao ni kupika zaidi kiungo namba 10 anayemzungumzia mleta mada ni kiungo anayecheza kama second striker kwa maana ya mshambuliaji wa pili kama moses phiri au zinedine yazidi zidane au thomas muller hivi.
 
Hao wote uliowataja ni viungo no 10 ambao ni maplaymaker kazi yao ni kupika zaidi kiungo namba 10 anayemzungumzia mleta mada ni kiungo anayecheza kama second striker kwa maana ya mshambuliaji wa pili kama moses phiri au zinedine yazidi zidane au thomas muller hivi.
Kwani pale Azam Feisal anacheza namba ngapi? Palmer pale Chelsea hachezi nyuma ya mshambuliaji? Caicedo na Hernandez, sita na nane. Njoo Yanga Aucho na Mudathir au sasa Abuya. Aziz nyuma ya Striker.
 
Kwani pale Azam Feisal anacheza namba ngapi? Palmer pale Chelsea hachezi nyuma ya mshambuliaji? Caicedo na Hernandez, sita na nane. Njoo Yanga Aucho na Mudathir au sasa Abuya. Aziz nyuma ya Striker.
Hujaelewa bado mimi sijazungumzia kucheza nyuma ya straika usinilishe maneno ambayo sijayaandika nimesema kuna namba 10 ambaye anayecheza kama playmaker yaani kazi kuchezesha timu na kutoa pasi za magoli(asisiti) kama ki,chama,fei toto na kuna namba 10 ambaye anacheza kama mshambuliaji wa pili(second straika) mfano moses phiri ambapo kwa sasa hawatumiki tena.

Swali kwako ukiwa na moses phiri na chama kwenye timu yako unaweza kumuweka benchi chama na ukamuanzisha moses phiri kama mbadala wa chama?

Je moses phiri alipokuwa simba na chama walikuwa wanacheza namba moja?
 
Bado wapo sana nafasi ambayo imeondolewa ni tisa kwa kua imekosa ufanisi kabisa
 
Back
Top Bottom