Sasa hivi ukianzisha mahusiano na mwanamke jua amefuata kitu kwako

Sasa hivi ukianzisha mahusiano na mwanamke jua amefuata kitu kwako

Yaani mitaani tunaona hakuna stori nyingine zaid ya maokoto siku hizi wanawake ndo Wana hit na ku run Ndo maana hata uki tangaza kumpenda mtu mtaani swali la kwanza utaulizwa ni UNA HELA?
FB_IMG_1712175734853.jpg
 
Maisha yanaenda kwa namba au hesabu .

Mwanamke anabidi kujua consistency ndo silaha yake kubwa linapokuja swala la mahusiano maaana umri wake upo calculated kuanzia kuolewa ,kuzaa, na kuwa na stable family

Hivyo mwanamke anapokuwa na mentality kuwa nahitaji kuchuma kitu kwa mwanaume that is too worst to her.

Maana ukiwa MTU wa kuchuma bila kupanda mazao yako huwezi kuwa na consistency na Kama hauna consistency means kuna MUDA utakwama TU.

Hit run ina faida chache Ila hasara kubwa kwa mwanmke .

So maisha ni hesabu , mwanamke anachobidi kufanya ni kuwekeza kwa mwanaume katika kumjenga mwanaume na baadae atajipata kirahisi.


Unfortunately wan awake wakibongo most of them , hawana knowledge and skills za kuishi maisha yenye positivity that is way most of them they end up being broke,depressed,single mothers ,prostitute and etc.
 
Maisha yanaenda kwa namba au hesabu .

Mwanamke anabidi kujua consistency ndo silaha yake kubwa linapokuja swala la mahusiano maaana umri wake upo calculated kuanzia kuolewa ,kuzaa, na kuwa na stable family

Hivyo mwanamke anapokuwa na mentality kuwa nahitaji kuchuma kitu kwa mwanaume that is too worst to her.

Maana ukiwa MTU wa kuchuma bila kupanda mazao yako huwezi kuwa na consistency na Kama hauna consistency means kuna MUDA utakwama TU.

Hit run ina faida chache Ila hasara kubwa kwa mwanmke .

So maisha ni hesabu , mwanamke anachobidi kufanya ni kuwekeza kwa mwanaume katika kumjenga mwanaume na baadae atajipata kirahisi.


Unfortunately wan awake wakibongo most of them , hawana knowledge and skills za kuishi maisha yenye positivity that is way most of them they end up being broke,depressed,single mothers ,prostitute and etc.
They care less!
 
Maisha yanaenda kwa namba au hesabu .

Mwanamke anabidi kujua consistency ndo silaha yake kubwa linapokuja swala la mahusiano maaana umri wake upo calculated kuanzia kuolewa ,kuzaa, na kuwa na stable family

Hivyo mwanamke anapokuwa na mentality kuwa nahitaji kuchuma kitu kwa mwanaume that is too worst to her.

Maana ukiwa MTU wa kuchuma bila kupanda mazao yako huwezi kuwa na consistency na Kama hauna consistency means kuna MUDA utakwama TU.

Hit run ina faida chache Ila hasara kubwa kwa mwanmke .

So maisha ni hesabu , mwanamke anachobidi kufanya ni kuwekeza kwa mwanaume katika kumjenga mwanaume na baadae atajipata kirahisi.


Unfortunately wan awake wakibongo most of them , hawana knowledge and skills za kuishi maisha yenye positivity that is way most of them they end up being broke,depressed,single mothers ,prostitute and etc.
That is way = that is why
Maaana= maana
Pia usipende kurudia UN necessary words,
 
mi nadhani ni Kutokana na mtu una jiweka wapi ?!.

Kuna Wanawake wako ahead, they think and act accordingly.
shida una kutana na kiswaswadu ana kutwanga, Kisha una kuja kulalama Kama ume meza Pini.

Uki kutana na mtu Mara ya kwanza, Jitahidi kumsoma hata kidogo.
Huwezi taka kichwa, kumbe ume kutana na kwato.
 
Ni lini mtu alikuwa anakuwa anaanzisha mahusiano bila kufuata kitu / kutaka kitu (unless ni arranged marriages) na hapo wanao-arrange wanatafuta kitu fulani mahusiano yote ni quid pro quo....

Iwe pesa, attraction, au chochote kile..., kama mtu amenipendea chogo langu na sioni ubaya kwanini nione ubaya kama kampendea yule wallet yake ? Unaweza kusema pesa zinaweza kuisha takwambia hata appearance pia inaweza kubadilika (ukimwagiwa acid au kuzeeka)
 
That is way = that is why
Maaana= maana
Pia usipende kurudia UN necessary words,

In every wall has a door

Cheer up , GOD is GOOD all the time

Unapenda kukosoa Sana , unataka kila kitu kiwe vile unataka that is impossible mr.

You need to focus to improve ur self .

I was been there , berofe damn
Uswahili mbaya Sana kill ur EGO
 
Na mimi ndio criteria zangu aiseh!

Hit and run sio motive,but hit and settle ,nikiona ni money oriented then she is not my type!napenda Sana watoto,Huwa nafurahi nikisikia "eti Nina mimba yako"aiseh Huwa naanza kuwaza kujenga nyumba mtoto awe na kwao!

Lakini wengi ni money money na nikimpa Hela kabla sija hit Huwa naahirisha Kuna kinyaa fulani napata na mzuka huisha kabisa!lakini akitanguliza kunipa nikahit then nitampa Kwa moyo wote coz I know at least I was wanted and not my money!!
 
mi nadhani ni Kutokana na mtu una jiweka wapi ?!.

Kuna Wanawake wako ahead, they think and act accordingly.
shida una kutana na kiswaswadu ana kutwanga, Kisha una kuja kulalama Kam ume meza Pini.

Uki kutana na mtu Mara ya kwanza, Jitahidi kumsoma hat kidogo.
Huwezi taka kichwa, kumbe ume kutana na kwato.
Unafanya kazi gani?
Muda mwingi unautumia wapi?
Unakutana na watu wa namna gani??

Hizo ndo mambo ambazo hufanya mtu aseme wanawake hivi, lakini kuna wanaume wanahongwa na wanawake, wanakula mbususu kiulaini kabisa bila hata gharama yoyote.
 
Yaani mitaani tunaona hakuna stori nyingine zaidi ya maokoto.

Siku hizi wanawake ndo Wana hit na ku run Ndo maana hata ukitangaza kumpenda mtu mtaani swali la kwanza utaulizwa ni UNA HELA?
Ufahamu wako na ulimwengu unaoishi unakuelekeza hivyo:
Lakini maandiko yanasema hivi:

Isaya 4:1
[1]Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.

"And in that day seven women shall take hold of one man, saying, We will eat our own bread, and wear our own apparel: only let us be called by thy name, to take away our reproach"
 
Unafanya kazi gani?
Muda mwingi unautumia wapi?
Unakutana na watu wa namna gani??

Hizo ndo mambo ambazo hufanya mtu aseme wanawake hivi, lakini kuna wanaume wanahongwa na wanawake, wanakula mbususu kiulaini kabisa bila hata gharama yoyote.
Mi jobless pro max Kaka, na mi sio mtoa mada 😆
 
Unafanya kazi gani?
Muda mwingi unautumia wapi?
Unakutana na watu wa namna gani??

Hizo ndo mambo ambazo hufanya mtu aseme wanawake hivi, lakini kuna wanaume wanahongwa na wanawake, wanakula mbususu kiulaini kabisa bila hata gharama yoyote.
Huwezi kuhongwa na mwanamke bila huyo mwanamke kuwa malaya katika level tofauti tofauti(mdangaji)

Utasema wa kishua mademu wa kishua wapo vizuri kichwani hawawezi kudate na broken people wenye mawazo mgando kama wewe
Huna tofauti na aina ya mahusiano aliyoeleza jamaa isipokuwa wewe umekuwa ni mwanaume
Ila jamaa amwmzungumzia mwanamke
 
In every wall has a door

Cheer up , GOD is GOOD all the time

Unapenda kukosoa Sana , unataka kila kitu kiwe vile unataka that is impossible mr.

You need to focus to improve ur self .

I was been there , berofe damn
Uswahili mbaya Sana kill ur EGO
Kumbe ume edit Kaka😆, I mean no malice to nobody 🙏🙏.

Halafu hiyo I was been there, ume kosea Tena 🤓
 
Kumbe ume edit Kaka😆, I mean no malice to nobody 🙏🙏.

Halafu hiyo I was been there, ume kosea Tena 🤓


Usiharibu Uzi changia then waache watu wengine wachangie kuwa positive achana na tabia za kiswahili

Kuna watu wanajifunza hapa so sioni hayo mambo Kama yana Afya.
 
Maisha yanaenda kwa namba au hesabu .

Mwanamke anabidi kujua consistency ndo silaha yake kubwa linapokuja swala la mahusiano maaana umri wake upo calculated kuanzia kuolewa ,kuzaa, na kuwa na stable family

Hivyo mwanamke anapokuwa na mentality kuwa nahitaji kuchuma kitu kwa mwanaume that is too worst to her.

Maana ukiwa MTU wa kuchuma bila kupanda mazao yako huwezi kuwa na consistency na Kama hauna consistency means kuna MUDA utakwama TU.

Hit run ina faida chache Ila hasara kubwa kwa mwanmke .

So maisha ni hesabu , mwanamke anachobidi kufanya ni kuwekeza kwa mwanaume katika kumjenga mwanaume na baadae atajipata kirahisi.


Unfortunately wan awake wakibongo most of them , hawana knowledge and skills za kuishi maisha yenye positivity that is way most of them they end up being broke,depressed,single mothers ,prostitute and etc.

Umri sahihi wa kuolewa mwanamke na kuazisha FAMILIA ni kati ya miaka 18 mpk 22 umechelewa sana kwa 7bu za kimasomo basi 25 na hapo tayari ukiwa umeshamtengeneza mume wako tangu ukiwa Age 20 hii ni kwa sababu MUME sahihi kwako lazima awe amekupita kati ya miaka 5 mpk 10(best zaidi 10 kuendela)
Hii itawasaidia wote kudance Tune aina moja so misukosuko mingi ya NDOA mtapambana nayo
Kutokana na ukomavu wa AKILI ya mwanaume
Na mabadiliko ya kimwili kifikra ya mwanamke
7bu 90% wanawake wakishazaa akili HUPEVUKA zaidi sasa ukiwa umezaa katika NDOA na mume akawa anakurutubisha na MANII zake lazima uwe MKE BORA na MAMA BORA kwa watoto wako

Ulichoeleza ni sahihi wasichana wengi wa KIBONGO wakiwa katika age20 amabapo ndio umri sahihi wa kujenga ama kuandaa familia wao huwa busy na mambo ya kijinga katika mahusiano wakija shtuka umri ushaenda na karika halakati zake zote hakuwahi kufanya chochote chenye tija 7bu wanaune bora wote aliwapoteza nyuma
Hivyo uishia hivi kama ulivyosema
broke,depressed,single mothers ,prostitute nk
Na wakiwa na hali hiyo badi wakiwa mtandaoni wanajifanya hawana shida na NDOA maneno ya kujiona wao ndo wao hata humu JF wapo wengi sana ila sasa ubahatike kupata kujua maisha yao halisi hakika wanapata tabu sana wanajipongeza ujasili nyuma ya KEYBOAD tu ila wengi ni broke wa kutupwa na wadangaji wakubwa
Kama kuna mmoja humu JF aliwahi kuumbuliwa alimuwa anaishi morogolo sijui huko alikuwa anajifanya ni mpambanaji sana kumbe ni mdangaji mkubwa na SINGLE MOTHER tena wale wadangaji wa low Level kabisa
 
Back
Top Bottom