Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Iam also familiar with shits, so it doesn't disturb me in either way.😁😁😁
Sawa mkuu , Ila I know about my strength zone .
So I can't be trapped with damn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iam also familiar with shits, so it doesn't disturb me in either way.😁😁😁
Sawa mkuu , Ila I know about my strength zone .
So I can't be trapped with damn
Kweli tupu,hujapindisha hata kidogomi nadhani ni Kutokana na mtu una jiweka wapi ?!.
Kuna Wanawake wako ahead, they think and act accordingly.
shida una kutana na kiswaswadu ana kutwanga, Kisha una kuja kulalama Kam ume meza Pini.
Uki kutana na mtu Mara ya kwanza, Jitahidi kumsoma hat kidogo.
Huwezi taka kichwa, kumbe ume kutana na kwato.
Sasa wanaume tuna penda jifichia kichaka hicho, akati kuna zile good stuff bila owners.Kweli tupu,hujapindisha hata kidogo
OK I pray for you to become a complete human beingIam also familiar with shits, so it doesn't disturb me in either way.
Nimetoa maoni tu mkuu, kua shughuli za mtu ndo aina ya wanawake hukutana nao .Mi jobless pro max Kaka, na mi sio mtoa mada 😆
Wewe kweli mzimu.Huwezi kuhongwa na mwanamke bila huyo mwanamke kuwa malaya katika level tofauti tofauti(mdangaji)
Utasema wa kishua mademu wa kishua wapo vizuri kichwani hawawezi kudate na broken people wenye mawazo mgando kama wewe
Huna tofauti na aina ya mahusiano aliyoeleza jamaa isipokuwa wewe umekuwa ni mwanaume
Ila jamaa amwmzungumzia mwanamke
Uyo kijana currently amekuja kuaje sijui, like anataka kuleft group.In every wall has a door
Cheer up , GOD is GOOD all the time
Unapenda kukosoa Sana , unataka kila kitu kiwe vile unataka that is impossible mr.
You need to focus to improve ur self .
I was been there , berofe damn
Uswahili mbaya Sana kill ur EGO
Mkuu bado uko kutafuta mawasiliano!!?Yaani mitaani tunaona hakuna stori nyingine zaidi ya maokoto.
Siku hizi wanawake ndo Wana hit na ku run Ndo maana hata ukitangaza kumpenda mtu mtaani swali la kwanza utaulizwa ni UNA HELA?
Uyo kijana currently amekuja kuaje sijui, like anataka kuleft group.
Hayanaga fomulaHuwezi kuhongwa na mwanamke bila huyo mwanamke kuwa malaya katika level tofauti tofauti(mdangaji)
Utasema wa kishua mademu wa kishua wapo vizuri kichwani hawawezi kudate na broken people wenye mawazo mgando kama wewe
Huna tofauti na aina ya mahusiano aliyoeleza jamaa isipokuwa wewe umekuwa ni mwanaume
Ila jamaa amwmzungumzia mwanamke
Mzee hii mabonuko serious kweli🤔, au ndo michezo yenu huko.Uyo kijana currently amekuja kuaje sijui, like anataka kuleft group.
Duh, am pretty good and fine. Ila you're projecting much.I guess kuna mambo anapitia .
Yap ni kweli, unaweza kuwa Mlinzi halafu uka kutana na Wanawake flani hivi.Nimetoa maoni tu mkuu, kua shughuli za mtu ndo aina ya wanawake hukutana nao .
Siku hizi hakuna haja ya kupenda, utapoteza tu pesa zako.Yaani mitaani tunaona hakuna stori nyingine zaidi ya maokoto.
Siku hizi wanawake ndo Wana hit na ku run Ndo maana hata ukitangaza kumpenda mtu mtaani swali la kwanza utaulizwa ni UNA HELA?
Hapa ni ndom 3 au 4 kwa pamoja
Mwanamke amjenge mwanaume? Ili apate zawadi gani?Maisha yanaenda kwa namba au hesabu .
Mwanamke anabidi kujua consistency ndo silaha yake kubwa linapokuja swala la mahusiano maaana umri wake upo calculated kuanzia kuolewa ,kuzaa, na kuwa na stable family
Hivyo mwanamke anapokuwa na mentality kuwa nahitaji kuchuma kitu kwa mwanaume that is too worst to her.
Maana ukiwa MTU wa kuchuma bila kupanda mazao yako huwezi kuwa na consistency na Kama hauna consistency means kuna MUDA utakwama TU.
Hit run ina faida chache Ila hasara kubwa kwa mwanmke .
So maisha ni hesabu , Mwanamke anachobidi kufanya ni kuwekeza kwa mwanaume katika kumjenga mwanaume na baadae atajipata kirahisi.
Unfortunately wan awake wakibongo most of them , hawana knowledge and skills za kuishi maisha yenye positivity that is way most of them they end up being broke,depressed,single mothers ,prostitute and etc.
Mwanamke amjenge mwanaume? Ili apate zawadi gani?
Wakati huo mwanaume anafanya nini kwa mwanamke???
Hivi mna wadogo zenu wa kike labda ushauri huu muwape halafu baada ya miaka kadhaa waje wawalilie labda mtaelewa kuna kuna muda mwanaume hafai kutoa ushauri kwa mwanamke kwasababu hajui changamoto za mahusiano za mwanamke.
Come on y’all! Kila mtu ajengwe kwao, wawili wakikutana wameshajijenga waanze mahusiano. PERIOD!
🤣🤣🤣🤣 nicheke mie!Kama tu ambavyo nawe umefuata kitu kwake!!