Sasa imekuwa wazi, kanda ya ziwa ina watanzania asilimia 25 tu

Sasa imekuwa wazi, kanda ya ziwa ina watanzania asilimia 25 tu

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana.

Takwimu za sasa kwa namba:

Mwanza 3,699,872
Kagera 2,989,299
Geita 2,977,608
Mara 2,356,255
Shinyanga 2,123,654
Simiyu 2,078,428

Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
 
Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana...
Ongezea na tabora na kagera na rukwa na katavi hao wote huwa tunawameza nadhani mpaka singida hao Ni watano zetu hawaendi mbali na sio tulipoamua.kumbuka huko Moro mbeya pwani tanga iringa lake zone wamezama pote nchini wakifanya kazi ambazo Wana ujuzi nazo Mana wengi hawakusoma miaka iyo.

Labda saivi ndipo wanaenda shule kwa idadi kubwa. Ila kilimo na ufugaji biashara hizo wamo hawanagui kazi hawachagui hawaogopi pori lolote kuishimo.

Umeona wachina walivyozaliana na wameanza kusambaa dunia nzima
 
Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana....

TUNDU LISSU - SABABU YA MIKOA YENYE IDADI KUBWA YA WATU KUWA NA MAJIMBO MACHACHE YA UBUNGE



Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Tundu Antipas Lissu akiangalia mgawanyo wa majimbo yenye watu wengi zaidi anagundua kuwa haiwakilishwi na idadi inayostahili ya wabunge. Wilaya ya Temeke mkoa wa Dar es Salaam Mwanzo

Mfano mkoa wa Dar es Salaam ulitakiwa kuwa na wabunge wasiopungua 25. Lakini una wabunge wachache sana wakati ina idadi kubwa ya watu waliofikia umri wa kupiga kura.

Mkoa wa Lindi yenye wabunge 9 huku idadi ya wapiga kura ni ndogo sana. Mkoa wa Tabora ina idadi ndogo ya wapiga kura lakini ina wabunge wa kuchaguliwa 12 huku mkoa wa Tanga wenye idadi ndogo pia ya watu ina wabunge 12. Mikoa hii iliyotajwa kama mfano wa uwiano usiolingana baina ya idadi ya wapiga kura na wingi wa wabunge pia ni maeneo yaliyo ngome ya CCM.

Na kwa hiyo mgawanyo wa majimbo ya ubunge umeiba uchaguzi kwa kutumia mifumo ya kikatiba na kitaasisi kwa maana Tume ya Uchaguzi ni ya rais na mwenye mamlaka ya kutengeneza mikoa ni rais na mteuzi wa viongozi wa Tume ya Uchaguzi ni rais pia.

Orodha ya Jumla ya majimbo ya uchaguzi kwa kufuata na tovuti ya bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni majimbo 273 : source : Parliament of Tanzania

Huko nchini Kenya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Majimbo ya Uchaguzi yaani IEBC ndiyo yenye mamlaka ya kutengeneza mipaka ya majimbo ktk Kenya yote inayotumia formula ya idadi ya watu ktk sehemu ndiyo itatoa mwangaza kutakuwepo wabunge wangapi. Sababu ni kuwa nchini Kenya demokrasia inaangazia kuwa wabunge wanawakilisha watu kwa kura na siyo eneo.

Tofauti na Tanzania ambapo ambapo Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC haina nguvu kikatiba kutengeneza majimbo kwa kufuatana na idadi ya wapiga kura.

Mfumo huo wa kuangalia eneo hata kama lina wapiga kura wachache na kuwapatia idadi kubwa ya wabunge huku mikoa kama Dar es Salaam, Mwanza yenye idadi kubwa ya wapiga kura inapewa wabunge wachache sana.

Sababu ni kuwa imeonekana maeneo yenye watu wengi ambao ni wapiga kura huwa wana tabia au mazoea ya kuchagua wapinzani hivyo kwa Tanzania wengi hao wanapewa wabunge wachache ili kudhibiti idadi ya wabunge wa upinzani wanaoweza kuchaguliwa . Parliament of Tanzania

Wawakilishi wa waangalizi wa chaguzi toka ndani na nje wameona mapungufu haya ya kuwa kuna maeneo yana wapiga kura wachache sana lakini ina wabunge wengi, huku kuna maeneo yenye wapiga kura wengi inawakilishwa na wabunge wachache sana na hii Indonesia kukosekana uwiano kati ya idadi ya wabunge na wapiga kura wao.

Source : Forbs Media
Tume ya Uhusiano na Uratibu Rasimu ya Warioba ililenga kuhakikisha ... Warioba alisema idadi ya wabunge isizidi 75, Bunge Maalum likasema..... soma zaidi : source : Hotuba ya Jaji Josefu Warioba kuhusu Rasimu ya Katiba ya Tanzania
 
Ongezea na tabora na kagera na rukwa na katavi hao wote huwa tunawameza nadhani mpaka singida hao Ni watano zetu hawaendi mbali na sio tulipoamua.kumbuka huko Moro mbeya pwani tanga iringa lake zone wamezama pote nchini wakifanya kazi ambazo Wana ujuzi nazo Mana wengi hawakusoma miaka iyo.

Labda saivi ndipo wanaenda shule kwa idadi kubwa. Ila kilimo na ufugaji biashara hizo wamo hawanagui kazi hawachagui hawaogopi pori lolote kuishimo.

Umeona wachina walivyozaliana na wameanza kusambaa dunia nzima
Ongezea na tabora na kagera na rukwa na katavi hao wote huwa tunawameza nadhani mpaka singida hao Ni watano zetu hawaendi mbali na sio tulipoamua.kumbuka huko Moro mbeya pwani tanga iringa lake zone wamezama pote nchini wakifanya kazi ambazo Wana ujuzi nazo Mana wengi hawakusoma miaka iyo.

Labda saivi ndipo wanaenda shule kwa idadi kubwa. Ila kilimo na ufugaji biashara hizo wamo hawanagui kazi hawachagui hawaogopi pori lolote kuishimo.

Umeona wachina walivyozaliana na wameanza kusambaa dunia nzima
Ameongelea kanda ya ziwa hajaongelea wasukuma ndio maana kuna kagera na mara ,shuleni ulijifunza ujinga
 
Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana.

Takwimu za sasa kwa namba:

Mwanza 3,699,872
Kagera 2,989,299
Geita 2,977,608
Mara 2,356,255
Shinyanga 2,123,654
Simiyu 2,078,428

Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
Note: Unapozungumzia Kanda ya ziwa usisahau Tabora na Kigoma kwasababu mikoa yote hii hiko within one regime.
 
Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana.

Takwimu za sasa kwa namba:

Mwanza 3,699,872
Kagera 2,989,299
Geita 2,977,608
Mara 2,356,255
Shinyanga 2,123,654
Simiyu 2,078,428

Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
🤔🤔🤔 Pongezi kwao ila je wanazaliana na kuzaliana ni jambo jema sana ila wanawezs kuwatunza watoto kwa kuwapa mahitaji yao ya msingi kwa wakati
 
Kanda ya Ziwa ni MARA, KAGERA, MWANZA, GEITA, na SIMIYU.

Ingawa kuna mikoa iko kanda ya magharibi lakini haina tofauti na kanda ya ziwa kama KIGOMA, TABORA na KATAVI.

Kuhusu siasa sioni sababu ya hofu kwasababu kanda ya ziwa hawajawahi kuoiga kura kama BLOCK ingawa lolote linawezekana.
 
Back
Top Bottom