Sasa imekuwa wazi, kanda ya ziwa ina watanzania asilimia 25 tu

Sasa imekuwa wazi, kanda ya ziwa ina watanzania asilimia 25 tu

Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana.

Takwimu za sasa kwa namba:

Mwanza 3,699,872
Kagera 2,989,299
Geita 2,977,608
Mara 2,356,255
Shinyanga 2,123,654
Simiyu 2,078,428

Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
Kama ni jiografia ndiyo inapiga kura,basi uko sahihi,ila kama ni watu wanapiga kura,naogopa kusema wasukuma wanaweza kuwa asilimia 40 ya watu wote nchini.
 
Uchaguzi Tanzania unaamuliwa na Tume sio kanda.
Uchaguzi wowote Tanzania unaamuliwa na kanda inaitwa Great Lake Zone ambapo kinara hua ni Mwanza inakuaga hivi Mwanza, simiyu, shinyanga, Mara , Geita, Kagera, Kigoma, Katavi na Tabora hao watu wa mikoa hiyo wanajijua kabisa wao ni kanda ya Ziwa yaani upande mmoja ziwa Tanganyika na upande mwingine ziwa Victoria na ndio maana mwingiliano kwenye hiyo mikoa ni mkubwa yaani watu wote wanafunga mzigo wa Duka mwanza kwa asilimia kubwa na siasa za hiyo mikoa zinafanana sana ndio maana ukihesabu hata ziara za viongozi kwenye hiyo mikoa utaona mwitikio wa wingi wa watu na viongozi huko hua hawakauki, lakini pia kwa CCM inajua kabisa kanda nyingine kura zinatabirika ukitoa Mbeya, Arusha, Kilimanjaro na siasa za mbeya hua ni ngumu sana ukienda kwa pupa unaweza kutangazwa umeshinda na ushirikiano hutopata milele kikubwa usiwaudhi tu, kuna kanda ambayo wao hawafahamu hata siasa ni nini lindi, ntwara wao lolote sawa tu, Ruvuma huko kijani wanajibebea kura kwenye magunia, ukija kuangalia kiuchaguzi great lake zone ina watu wengi ingekua sio hivo kamwe wanasiasa wasingewekeza macho yao huko.
 
Back
Top Bottom