Sasa imekuwa wazi, kanda ya ziwa ina watanzania asilimia 25 tu

Sasa imekuwa wazi, kanda ya ziwa ina watanzania asilimia 25 tu

Tabora kuna ziwa gani?kutoka tabora mpaka uliguse ziwa victoria ni km 500,tabora ni jirani na kigoma,labda uongelee ziwa tanganyika
Hata shinyanga hakuna ziwa ila ni sehemu ya kanda ya ziwa.Unatakiwa kuelewa kanda ya ziwa ni jamii ya namna gani??Ukizungumzia kanda ya ziwa haumaanishi eneo la ardhi ila kuna vitu tunaangalia mfano ushawishi pili muingiliano tatu tamaduni.Ushawishi ukweli ni kwamba ushawishi wa kanda ya ziwa umesambaa mpaka Tabora,kigoma na katavi na hub ya biashara ni Mwanza,Pili muingiliano ni mkubwa sana kwasababu tabia na tamaduni za hawa watu zinaendana sana mfano msukuma(mwanza,shinyanga,simuyu na munyamwezi (tabora) pia waha(kigoma),wahangaza(kagera) na wasubi (geita) hawa ni jamii moja pia na tamaduni za hawa watu zinafanana sana.Nadhani utakuwa umenielewa.Note kikifanyika kitu chochote Jiji Mwanza elewa kitakuwa na impact kanda ya ziwa nzima mpaka kigoma na tabora kama kuna ubishi fanyeni research mtaniambia.
 
Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana.

Takwimu za sasa kwa namba:

Mwanza 3,699,872
Kagera 2,989,299
Geita 2,977,608
Mara 2,356,255
Shinyanga 2,123,654
Simiyu 2,078,428

Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
Umekosea. Kagera siyo Kanda ya Ziwa. Ipo Kanda ya Magharibi. Naona Wahaya hawakutaka kujumuishwa na wasukuma.

Mgawanyo wa Kanda:

Kanda ya Kaskazini (Arusha, Manyara, Kilimanjaro)

Kanda ya Mashariki (Pwani, Morogoro, Dar)

Kanda ya Kusini (Mtwara, Lindi, Ruvuma)

Kanda ya Nyanda za Juu Kusini (Iringa, Njombe, Mbeya, Rukwa)

Kanda ya Magharibi (Kagera, Kigoma, Katavi)

Kanda ya Kati (Dodoma, Singida, Tabora)

Kanda ya Ziwa (Mwanza, Geita, Simiyu, Shinyanga, Mara)
 
Eti ndio walikwua wanasema wataamua Rais 😁😁
Kama huamini nenda kauulize mama kwanini nawekeza sana kisiasa na ccm kanda ya ziwa kuliko huko kwenu njombe.Kwa taarifa yako kanda ya ziwa inaimeza mpaka Katavi.Tabora na kigoma hakuna tena mjadala wewe endelea kupiga kelele Kanda ya ziwa saizi ina ushawishi kwa zaidi ya watanzania mil 25 kati ya mil 61 kibiashara na kiasa wewe endelea kubweka shauri yako wajuzi wa mambo walishaelewa kinachoendelea.
 
Umesahau Kigoma na Tabora ambao kimaamuzi wana mlengo wa Kanda ya Ziwa achiliq mbali Kijiografia.
Hizo ni hadithi. Kimaamuzi, ukimaanisha nini? Kwanza hata Kagera haipo Kanda ya Ziwa, ni Kanda ya Magharibi.
 
Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana.

Takwimu za sasa kwa namba:

Mwanza 3,699,872
Kagera 2,989,299
Geita 2,977,608
Mara 2,356,255
Shinyanga 2,123,654
Simiyu 2,078,428

Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
Weka tabora pia Kisha jumuisha
 
Umekosea. Kagera siyo Kanda ya Ziwa. Ipo Kanda ya Magharibi. Naona Wahaya hawakutaka kujumuishwa na wasukuma.

Mgawanyo wa Kanda:

Kanda ya Kaskazini (Arusha, Manyara, Kilimanjaro)

Kanda ya Mashariki (Pwani, Morogoro, Dar)

Kanda ya Kusini (Mtwara, Lindi, Ruvuma)

Kanda ya Nyanda za Juu Kusini (Iringa, Njombe, Mbeya, Rukwa)

Kanda ya Magharibi (Kagera, Kigoma, Katavi)

Kanda ya Kati (Dodoma, Singida, Tabora)

Kanda ya Ziwa (Mwanza, Geita, Simiyu, Shinyanga, Mara)
Kama uelewi kitu kubali kueleweshwa kwa taarifa kagera ndo mwanzilishi wa kanda ya ziwa kipindi hicho ukiitwa west lake region kabla ya hapo ulikuwa mkoa mmoja wa Nyanza(mara,mwanza na kagera)ikiwemo.Sema wewe unachanganyikiwa kwasababu kagera ina influence mpaka kigoma
 
Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana.

Takwimu za sasa kwa namba:

Mwanza 3,699,872
Kagera 2,989,299
Geita 2,977,608
Mara 2,356,255
Shinyanga 2,123,654
Simiyu 2,078,428

Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
Kama ni hivyo mbona umeacha Tabora..mbona umeacha
 
Kwa taarifa yako .Kanda ya ziwa itabaki kuwa mwamuzi wa mwisho wa kisiasa hapa nchini [emoji116][emoji116]
Kanda ya mashariki
Dar -5.3
pwani -2.0
Morogoro -3.1
Jumla =10.1
Kanda ya kaskazini
Arusha -2.3
Kilimanjaro -1.8
manyara -1.8
Tanga-2.6
Jumla=8.5 milioni
Kanda ya nyanda za juu
Mbeya-2.3
Songwe -1.1
ruvuma-1.8
Njombe -0.8
Iringa -1.1
Rukwa-1.5
Jumla =8.6
Kanda ya kati
Dodoma -3.0
Singida -2.0
Jumla =5 milioni
Kanda ya magharibi
Kigoma -2.4
Tabora -3.3
Katavi-1.1
Jumla =6.8
Kanda ya kusini
Mtwara -1.6
Lindi -1.1
Jumla =2.7 milioni
NIMEKUTAJIA KANDA ZOTE HAMNA ILIYO NA 10 MILION + .. isipokuwa Kanda ya ziwa pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata shinyanga hakuna ziwa ila ni sehemu ya kanda ya ziwa.Unatakiwa kuelewa kanda ya ziwa ni jamii ya namna gani??Ukizungumzia kanda ya ziwa haumaanishi eneo la ardhi ila kuna vitu tunaangalia mfano ushawishi pili muingiliano tatu tamaduni.Ushawishi ukweli ni kwamba ushawishi wa kanda ya ziwa umesambaa mpaka Tabora,kigoma na katavi na hub ya biashara ni Mwanza,Pili muingiliano ni mkubwa sana kwasababu tabia na tamaduni za hawa watu zinaendana sana mfano msukuma(mwanza,shinyanga,simuyu na munyamwezi (tabora) pia waha(kigoma),wahangaza(kagera) na wasubi (geita) hawa ni jamii moja pia na tamaduni za hawa watu zinafanana sana.Nadhani utakuwa umenielewa.Note kikifanyika kitu chochote Jiji Mwanza elewa kitakuwa na impact kanda ya ziwa nzima mpaka kigoma na tabora kama kuna ubishi fanyeni research mtaniambia.
Hoja za kipuuzi kabisa.

Ukienda Mwanza sasa hivi, hasa jijini Mwanza, miongoni mwa wafanyabiashara, hasa wakubwa na wa kati, wapo wa makabila mengi, wakiwemo wachaga, wameru, mpaka wakenya. Sasa muingilioni wa kikanda unaousema sijui ni upi.

Sioni utofauti wowote wa Kanda ya Ziwa na Kanda nyingine. Na wala Kanda hazikugawanywa kwa kufuata makabila au desturi za wahusika.

Ebu niambie muingiliano wa watu wa Iringa na Rukwa kidesturi, au watu wa Ruvuma na Lindi, jadi wawe kwenye Kanda moja. Au niambie desturi za watu wa Kagera zinazoshabiahiana na za watu wa Shinyanga. Au watu wa Tabora Vs Kigoma.

Leo hii, mbao zilizojaa Mwanza, Shinyanga, Tabora, zinatoka Iringa na Mbeya. Hayo ni maingiliano ya kibiashara. Kwa hiyo tuseme na Mbeya na Iringa ni Kanda ya Ziwa? Mahindi yanayoliwa Mwanza na Shinyanga, zaidi yanatoka Singida, maharage na viazi mviringo vinatoka Arusha, kwa hiyo hii mikoa ya Arusha na Singida, nayo ni Kanda ya Ziwa kwa sababu ina muingiliano mkubwa wa kibiashara na mikoa ya Kanda ya Ziwa?
 
Hata shinyanga hakuna ziwa ila ni sehemu ya kanda ya ziwa.Unatakiwa kuelewa kanda ya ziwa ni jamii ya namna gani??Ukizungumzia kanda ya ziwa haumaanishi eneo la ardhi ila kuna vitu tunaangalia mfano ushawishi pili muingiliano tatu tamaduni.Ushawishi ukweli ni kwamba ushawishi wa kanda ya ziwa umesambaa mpaka Tabora,kigoma na katavi na hub ya biashara ni Mwanza,Pili muingiliano ni mkubwa sana kwasababu tabia na tamaduni za hawa watu zinaendana sana mfano msukuma(mwanza,shinyanga,simuyu na munyamwezi (tabora) pia waha(kigoma),wahangaza(kagera) na wasubi (geita) hawa ni jamii moja pia na tamaduni za hawa watu zinafanana sana.Nadhani utakuwa umenielewa.Note kikifanyika kitu chochote Jiji Mwanza elewa kitakuwa na impact kanda ya ziwa nzima mpaka kigoma na tabora kama kuna ubishi fanyeni research mtaniambia.
Kwa hiyo muhaya na msukuma wanatamaduni sawa,acha siada dogo
 
Hoja za kipuuzi kabisa.

Ukienda Mwanza sasa hivi, hasa jijini Mwanza, miongoni mwa wafanyabiashara, hasa wakubwa na wa kati, wapo wa makabila mengi, wakiwemo wachaga, wameru, mpaka wakenya. Sasa muingilioni wa kikanda unaousema sijui ni upi.

Sioni utofauti wowote wa Kanda ya Ziwa na Kanda nyingine. Na wala Kanda hazikugawanywa kwa kufuata makabila au desturi za wahusika.

Ebu niambie muingiliano wa watu wa Iringa na Rukwa kidesturi, au watu wa Ruvuma na Lindi, jadi wawe kwenye Kanda moja. Au niambie desturi za watu wa Kagera zinazoshabiahiana na za watu wa Shinyanga. Au watu wa Tabora Vs Kigoma.

Leo hii, mbao zilizojaa Mwanza, Shinyanga, Tabora, zinatoka Iringa na Mbeya. Hayo ni maingiliano ya kibiashara. Kwa hiyo tuseme na Mbeya na Iringa ni Kanda ya Ziwa? Mahindi yanayoliwa Mwanza na Shinyanga, zaidi yanatoka Singida, maharage na viazi mviringo vinatoka Arusha, kwa hiyo hii mikoa ya Arusha na Singida, nayo ni Kanda ya Ziwa kwa sababu ina muingiliano mkubwa wa kibiashara na mikoa ya Kanda ya Ziwa?
Nitakusahidi kukusogeza karibu kiuelewa japo kichwa chako ni kigumu.Kwa taaarifa yako ukisikia kanda ya ziwa elewa ni tofauti na kanda zote nchi hii na itakuchukua muda kuelewa inawezekana sababu ikawa ujawahi kuishi au kufika kabisa.Kwa kukusaidia tu watu wakanda ya ziwa sio watu wakukutanishwa na biashara tu wewe toka kanda yoyote ile nenda kanda ya ziwa kafanye biashara na utafanya bila shida ila kuna kitu kitakuwa nje ya co- relation ya hawa watu na kama hauamini fanya research utaniambia na hii co-relation sasa imenea mpaka tabora,kigoma na katavi.
 
Kaacha tabora hapo,Kuna mtu 3.6..hata hivyo Kura 5m ni nyingi Sana na hapo hawajahamasika kupiga Kura,wanaweza fika 8m,robo ya nchi ni sehemu kubwa ukilinganisha na Kanda zingine
TABORA WAKO KANDA YA ZIWA TANGU LINI????
 
Kwa hiyo muhaya na msukuma wanatamaduni sawa,acha siada dogo
Shida uzungumza bila kuelewa kwamba wasukuma wana jamii nyingi.Kuna wasukuma wa sengerema hadi chato na kuendelea mpaka huko ngara hawa ni wasukuma kutoka jamii ya wazinza ambao wazinza wametoka jamii ya wahaya na kwaaarifa yako utawala wa mteni rumanyika ulitawala mpaka geita ya sasa ambayo ilikuwa inaitwa buzinza na busubi.
 
Hata shinyanga hakuna ziwa ila ni sehemu ya kanda ya ziwa.Unatakiwa kuelewa kanda ya ziwa ni jamii ya namna gani??Ukizungumzia kanda ya ziwa haumaanishi eneo la ardhi ila kuna vitu tunaangalia mfano ushawishi pili muingiliano tatu tamaduni.Ushawishi ukweli ni kwamba ushawishi wa kanda ya ziwa umesambaa mpaka Tabora,kigoma na katavi na hub ya biashara ni Mwanza,Pili muingiliano ni mkubwa sana kwasababu tabia na tamaduni za hawa watu zinaendana sana mfano msukuma(mwanza,shinyanga,simuyu na munyamwezi (tabora) pia waha(kigoma),wahangaza(kagera) na wasubi (geita) hawa ni jamii moja pia na tamaduni za hawa watu zinafanana sana.Nadhani utakuwa umenielewa.Note kikifanyika kitu chochote Jiji Mwanza elewa kitakuwa na impact kanda ya ziwa nzima mpaka kigoma na tabora kama kuna ubishi fanyeni research mtaniambia.
Acha fix bhana, Kigoma na Mwanza wapi na wapi?? Mnalazimisha kanda ya ziwa iwe eneo kubwa bila sababu za msingi.
 
Back
Top Bottom