Sasa imekuwa wazi, kanda ya ziwa ina watanzania asilimia 25 tu

Sasa imekuwa wazi, kanda ya ziwa ina watanzania asilimia 25 tu

Kama uelewi kitu kubali kueleweshwa kwa taarifa kagera ndo mwanzilishi wa kanda ya ziwa kipindi hicho ukiitwa west lake region kabla ya hapo ulikuwa mkoa mmoja wa Nyanza(mara,mwanza na kagera)ikiwemo.Sema wewe unachanganyikiwa kwasababu kagera ina influence mpaka kigoma
Wewe ndiyo mtupu kabisa. Kasome historia tena. Mkoa wa Kagera haujawahi kuwa pamoja na Mwanza.

Mkoa wa Kagera, toka mwaka 1964 mpaka 1984 ulikuwa ukijulikana Jimbo la Ziwa Magharibi. Na makao makuu ya mkoa huu yalikuwa mjini Bukoba.

Mkoa wa Mwanza ulikuwa ukiitwa Jbo la Ziwani ambao ulikuwa ukijumuisha Shinyanga, Mara, Geita na Simiyu (kwa sasa).

Tabora ilijulikana kama jimbo la Magharibi.

Kujielemisha zaidi, soma hapa: Mikoa ya Tanzania - Wikipedia, kamusi elezo huru
 
Shida uzungumza bila kuelewa kwamba wasukuma wana jamii nyingi.Kuna wasukuma wa sengerema hadi chato na kuendelea mpaka huko ngara hawa ni wasukuma kutoka jamii ya wazinza ambao wazinza wametoka jamii ya wahaya na kwaaarifa yako utawala wa mteni rumanyika ulitawala mpaka geita ya sasa ambayo ilikuwa inaitwa buzinza na busubi.
Mi ndio nikufundishe labda jamii za kanda ya ziwa,usiangalie mipaka ya kijiografia,buseresere,bwanga,chato,muganza,buziku zote zilikuwa mkoa wa kagera,hayo maeneo yana makabila mchanganyuko,wahaya,wasubi,washubi,waangaza,waha,warundi,wasumbwa,warongo,wazinza,wasukuma ets,mzinza sio msukuma,mzinza ni jamii ya mkerewe,au msubi au mhayq,mipaka ya kijiografia isikuchanganye
 
Kwa hiyo muhaya na msukuma wanatamaduni sawa,acha siada dogo
Kwataarifa yako mtemi wa kwanza wa bujash,busumagui,nyashimo mpaka dutwa(simiyu na Mwanza) alikuwa muha kutoka kigoma na mpaka leo kizazi chake ndo kinatawala.
 
Utafiti wako haujakamilika. Ebu linganisha;
a) Kanda ya Mashariki ni asilimia ngapi?
b) Kanda ya Magharbi ni asilimia ngapi?
c) Kanda ya Kaskazini ni asilimia ngapi?
d) Kanda ya Kusini je?
e) Kanda ya Kati je?
Ukija na asilimia kwa kila kanda ndio utajua ubabe wa Kanda ya Ziwa.
Ubabe kwenye nini sasa?
 
M
Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana.

Takwimu za sasa kwa namba:

Mwanza 3,699,872
Kagera 2,989,299
Geita 2,977,608
Mara 2,356,255
Shinyanga 2,123,654
Simiyu 2,078,428

Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
Mpina 2025✅✅✅✅
 
Nitakusahidi kukusogeza karibu kiuelewa japo kichwa chako ni kigumu.Kwa taaarifa yako ukisikia kanda ya ziwa elewa ni tofauti na kanda zote nchi hii na itakuchukua muda kuelewa inawezekana sababu ikawa ujawahi kuishi au kufika kabisa.Kwa kukusaidia tu watu wakanda ya ziwa sio watu wakukutanishwa na biashara tu wewe toka kanda yoyote ile nenda kanda ya ziwa kafanye biashara na utafanya bila shida ila kuna kitu kitakuwa nje ya co- relation ya hawa watu na kama hauamini fanya research utaniambia na hii co-relation sasa imenea mpaka tabora,kigoma na katavi.
Wewe unaongelea Kanda ya Zuwa kama vile ipo ahera. Naifahamu sana, na nimepita mpaka huko vijijini, pengine hata zaidi yako wewe. Kule Musoma, niulize kuanzia Majita mpaka kule Mrito mpaka Kibaso.

Shinyanga, niulize kuanzia kule Ushetu, Mega, Msalala, mpaka Masabi.

Simiyu, niulize kuanzia Gamboshi mpaka Kinamweri.

Kule Geita, niulize kuanzia Masumbwe m Nzera, mpaka Chato.

Kagera, niulize kuanzia kule Kabanga mpaka Kaitaba.

Tabora, niulize kuanzia kule Ulyankulu, Choma mpaka Bukene.

Nimetaja maeneo ya vijijini tu ili ufahamu kuwa nayaelewa hayo maeneo kuliko unavyodhania. Na kisukuma hunifichi neno.

Swali: Kiswahili unakifahamu
Msukumu: Ukuteleleja duhu
Ebu Elezea: Anakuja nanolaga duhu.
 
Halafu watu wa Kagera na hiyo mikoa mingine ni kulia na kushoto.
Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana.

Takwimu za sasa kwa namba:

Mwanza 3,699,872
Kagera 2,989,299
Geita 2,977,608
Mara 2,356,255
Shinyanga 2,123,654
Simiyu 2,078,428

Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
 
Tabora haipo Kanda ya kati ni magharibi lakini kwa muktadha wa Kura huwekwa Kanda ya ziwa kwa kuwa lugha,utamaduni,mentality na wasukuma havipishani sana

Tumeanza kuwaiga kenya? Kupiga kura kwa misingi ya ukabila?. Kanda ya ziwa huwa haipigi kura kwa pamoja. Ni mkoa wa Simiyu na Geita pekee ndio ngome za CCM kwa asilimia 100. Lakini Mwanza, Mara na kagera Ni 60 kwa CCM na 40 kwa upinzani. Hasa mkoa wa Mara huwa ni 50 kwa CCM na 50 kwa upinzani CHADEMA.
 
Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana.

Takwimu za sasa kwa namba:

Mwanza 3,699,872
Kagera 2,989,299
Geita 2,977,608
Mara 2,356,255
Shinyanga 2,123,654
Simiyu 2,078,428

Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
Ongezaea:-
1. Katavi
2. Simiyu
3. Kigoma
4. Tabora
 
Kigoma na Kagera zina tofauti kubwa sana na mikoa mingine ya kanda ya ziwa.
Kanda ya Ziwa ni MARA, KAGERA, MWANZA, GEITA, na SIMIYU.

Ingawa kuna mikoa iko kanda ya magharibi lakini haina tofauti na kanda ya ziwa kama KIGOMA, TABORA na KATAVI.

Kuhusu siasa sioni sababu ya hofu kwasababu kanda ya ziwa hawajawahi kuoiga kura kama BLOCK ingawa lolote linawezekana.
 
Tumeanza kuwaiga kenya? Kupiga kura kwa misingi ya ukabila?. Kanda ya ziwa huwa haipigi kura kwa pamoja. Ni mkoa wa Simiyu na Geita pekee ndio ngome za CCM kwa asilimia 100. Lakini Mwanza, Mara na kagera Ni 60 kwa CCM na 40 kwa upinzani. Hasa mkoa wa Mara huwa ni 50 kwa CCM na 50 kwa upinzani CHADEMA.
Mwanza ni ngome ya CCM mzee acha maneno kisa Wenje kupata ubunge.
 
Hata shinyanga hakuna ziwa ila ni sehemu ya kanda ya ziwa.Unatakiwa kuelewa kanda ya ziwa ni jamii ya namna gani??Ukizungumzia kanda ya ziwa haumaanishi eneo la ardhi ila kuna vitu tunaangalia mfano ushawishi pili muingiliano tatu tamaduni.Ushawishi ukweli ni kwamba ushawishi wa kanda ya ziwa umesambaa mpaka Tabora,kigoma na katavi na hub ya biashara ni Mwanza,Pili muingiliano ni mkubwa sana kwasababu tabia na tamaduni za hawa watu zinaendana sana mfano msukuma(mwanza,shinyanga,simuyu na munyamwezi (tabora) pia waha(kigoma),wahangaza(kagera) na wasubi (geita) hawa ni jamii moja pia na tamaduni za hawa watu zinafanana sana.Nadhani utakuwa umenielewa.Note kikifanyika kitu chochote Jiji Mwanza elewa kitakuwa na impact kanda ya ziwa nzima mpaka kigoma na tabora kama kuna ubishi fanyeni research mtaniambia.

Acha kupotosha, Kanda ya ziwa Ni mikoa ya Mwanza, Mara, Geita, Simiyu na kagera. Shinyanga ipo kanda ya magharibi.
 
Msome vizuri mleta mada. Ameongelea kanda ya Ziwa. Tabora ipo Kanda ya Kati, Kigoma ipo Kanda ya Magharibi.
Hapana...

Tabora ni kanda ya Magharibi yenye mikoa mitatu tu; Tabora yenyewe, Kigoma & Katavi (kama sijakosea)

Kanda ya Kati ni Dodoma, Singida (na nafikiri) na Manyara..

Kanda ya Ziwa Victoria ofkoz ni mikoa yote inayozunguka ziwa Victoria ambayo ni Mwanza, Kagera, Mara, Geita na miwili ya nje kidogo kwa maana ya Simiyu & Shinyanga

NB:
✓ Kanda hata hivyo, kila mtu hutumia vigezo vyake kuzigawa kwa namna aonavyo yeye....

✓ Mathalani CHADEMA, wana vigezo vyao walivyotumia kugawa kanda za kichama kwa chama chao na hawafuati geographical factors...
 
Acha kupotosha, Kanda ya ziwa Ni mikoa ya Mwanza, Mara, Geita, Simiyu na kagera. Shinyanga ipo kanda ya magharibi.
[emoji12][emoji12][emoji28][emoji28]we unachekesha aisee ..toka Lini shinyanga Iko Kanda ya magharibi...kwanza Kanda ya magharibi haipo official......tabora na kigoma wanapata huduma zao za kikanda mwanza ...nzega na igunga hiz wilaya ni Kanda ya ziwa 90 percent kutokana na sukuma culture na ukaribu wake na shinyanga....
Kigoma wanapata huduma zao za kiafya ,na kifedha Kanda ya ziwa . mwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom