Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Mko milion 2.7Bwashee na sisi huku kusini, Mtwara na Lindi, tuko wangapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mko milion 2.7Bwashee na sisi huku kusini, Mtwara na Lindi, tuko wangapi?
Hakuna kitu Kama hichoUmesahau Kigoma na Tabora ambao kimaamuzi wana mlengo wa Kanda ya Ziwa achiliq mbali Kijiografia.
Shinyanga imekuwa kanda ya magharibi toka lini??Naanza kupata shida hivi watu walienda shule kufanya nini??Acha kupotosha, Kanda ya ziwa Ni mikoa ya Mwanza, Mara, Geita, Simiyu na kagera. Shinyanga ipo kanda ya magharibi.
Wewe ndiye unayelazimisha kwa vigezo vya hewani.Tatizo anataka kulazimisha kwamba Kanda ya Ziwa ni wasukuma pekee. Wasukuma wapo Geita , Simiyu na Mwanza. Ila Kagera na Mara ni makabila tofauti.
Ongezaea:-
1. Katavi
2. Simiyu
3. Kigoma
4. Tabora
Unguja na pemba anakotokea maza ina wakazi 1,800,000
Kanda ya ziwa ina idadi ya watu 12m+, hiyo ni chini ya 25%. Hakuna mtu anaweza kuwa Rais kwa kupata 25%.Ukweli ni kwamba kanda ya ziwa ndo sehemu ambayo mgombea Urais yeyote lazima aitupie macho vya kutosha.
Watu wa sensa watakuwa wametupiga, hatuwezi kuwa wachache hivyo 😩😂😂
Basi endeleeni kuelewa kama unvyoelewa ila siku mkianza kuleta maswala ya ukanda katika kufanya mamuzi kama uchaguzi ndo mtaelewa kwanini tunawambia kwamba ni zone hatarishi.Acha fix bhana, Kigoma na Mwanza wapi na wapi?? Mnalazimisha kanda ya ziwa iwe eneo kubwa bila sababu za msingi.
Mtwara na Lindi jumla ya wakazi 786,546. Huko eneo kubwa ni mapori yasiyokaliwa na watu. 😆😆Bwashee na sisi huku kusini, Mtwara na Lindi, tuko wangapi?
Siyo Kura tu hata uwaziri hugawiwa kikanda na Kanda ya ziwa hutoa wengi labda wapitishe wabunge wasioenda shule,huko Mara upinzani hupata vitu vingapi bungeni!?..kagera?..Tumeanza kuwaiga kenya? Kupiga kura kwa misingi ya ukabila?. Kanda ya ziwa huwa haipigi kura kwa pamoja. Ni mkoa wa Simiyu na Geita pekee ndio ngome za CCM kwa asilimia 100. Lakini Mwanza, Mara na kagera Ni 60 kwa CCM na 40 kwa upinzani. Hasa mkoa wa Mara huwa ni 50 kwa CCM na 50 kwa upinzani CHADEMA.
Wasukuma na wanyamwezi kiuchaguzi uhesabika Kanda ya ziwaTABORA WAKO KANDA YA ZIWA TANGU LINI????
Wamanyema ni wakongo,tabora Kuna Waha pia lakini wengi ni wanyamwezi ambao kimsingi hawana tofauti na wasukumaWamanyema na wasukuma wapi na wapi,tabora sio ya wanyamwezi tu
Leo ndo nimegundua kwamba Tabora ipo kanda ya kati.Kanda ya Kati
Wasikuchanganye bibie,Tabora ni kanda ya magharibi tena ni makao makuu ya kanda.Kanda ya magharibi inaundwa na tabora,kigoma na kataviLeo ndo nimegundua kwamba Tabora ipo kanda ya kati.
Nilikuwa najua ni kanda ya ziwa kwasababu wanaendana na wasukuma.
Duh..hayaWasikuchanganye bibie,Tabora ni kanda ya magharibi tena ni makao makuu ya kanda.Kanda ya magharibi inaundwa na tabora,kigoma na katavi
Bwashee acha basi kutushushia namna hiyo; una maana hata Zanzibar wanatuzidi? 😩😂😂Mtwara na Lindi jumla ya wakazi 786,546. Huko eneo kubwa ni mapori yasiyokaliwa na watu. 😆😆