Tunao mkoa usiofikisha idadi ya wakazi laki 2! Isn't this weird?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunao mkoa usiofikisha idadi ya wakazi laki 2! Isn't this weird?
Halafu mkoa wa Shinyanga uko kanda ipi?Kanda ya Ziwa ni MARA, KAGERA, MWANZA, GEITA, na SIMIYU.
Ingawa kuna mikoa iko kanda ya magharibi lakini haina tofauti na kanda ya ziwa kama KIGOMA, TABORA na KATAVI.
Kuhusu siasa sioni sababu ya hofu kwasababu kanda ya ziwa hawajawahi kuoiga kura kama BLOCK ingawa lolote linawezekana.
Umehamishiwa kanda ya kati.Halafu mkoa wa Shinyanga uko kanda ipi?
We kiazi Tanga iko wapUmekosea. Kagera siyo Kanda ya Ziwa. Ipo Kanda ya Magharibi. Naona Wahaya hawakutaka kujumuishwa na wasukuma.
Mgawanyo wa Kanda:
Kanda ya Kaskazini (Arusha, Manyara, Kilimanjaro)
Kanda ya Mashariki (Pwani, Morogoro, Dar)
Kanda ya Kusini (Mtwara, Lindi, Ruvuma)
Kanda ya Nyanda za Juu Kusini (Iringa, Njombe, Mbeya, Rukwa)
Kanda ya Magharibi (Kagera, Kigoma, Katavi)
Kanda ya Kati (Dodoma, Singida, Tabora)
Kanda ya Ziwa (Mwanza, Geita, Simiyu, Shinyanga, Mara)
MMMMM!!Mkuu unajua jiografia ya nchi hii lakini?!!Yaani Tabora iko jirani sana na Kigoma kuliko Mwanza?!!eti km 500!!Mwanza na tabora ni karibu zaidi kuliko Tabora kwenda Kigoma.Tabora kuna ziwa gani?kutoka tabora mpaka uliguse ziwa victoria ni km 500,tabora ni jirani na kigoma,labda uongelee ziwa tanganyika
Mwanza nzega .ni km 244 ..mwanza to tabora km 330 ..MMMMM!!Mkuu unajua jiografia ya nchi hii lakini?!!Yaani Tabora iko jirani sana na Kigoma kuliko Mwanza?!!eti km 500!!Mwanza na tabora ni karibu zaidi kuliko Tabora kwenda Kigoma.
Swali dog la ulinganifu; ni kanda gani yenye idadi kubwa ya watu kuliko Ziwa, au inayokaribiana na hiyo mikoa iliyotajwa kwa idadi ya watu?Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
Ni Kanda ya magharibi,zamani ilikua mkoa mmoja na kigoma ikiitwa lake westLeo ndo nimegundua kwamba Tabora ipo kanda ya kati.
Nilikuwa najua ni kanda ya ziwa kwasababu wanaendana na wasukuma.
Kadri mambo yanavyokwenda, utafika wakati wataamka toka kuwa 'sleeping giant' (kama alivyoitwa na mkoloni mwingereza) wataamua kufanya mambo as a block!Kuhusu siasa sioni sababu ya hofu kwasababu kanda ya ziwa hawajawahi kuoiga kura kama BLOCK ingawa lolote linawezekana.
Iyo kanda ccm Ina mizizi ndo maana kila mwaka wanashinda ccm..kwanza wako wengi sana wasukumaMgombea yoyote mwenye akili timamu hawezi ignore 15 milion .... akaenda Kanda zenye watu 8 milion kama kaskazini,na nyanda ya kusini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani alisema "urithi" huo hauwezi kupunguzwa au kuongezwa kadri ya matakwa yatakavyohitaji kufuatana na mabadiliko yaliyopo kwa wakati husika?Huu ndio urithi aliotuachia Hayati Mwl Nyerere.
Tabora to kigoma ni zaidi ya km 400
Kumbe usafiri wa reli mpya utapoanza tutasafiri Tabora - Mwanza kwa masaa manne!
Masaa manne mengi mno .... tabora to mwanza ni karibu ....ukiwa kahama na tabora ni pua na mdomo ..mfano isaka unaweza kuishi mkoa wa tabora ukanunulia mahitaji mkoa shinyangaKumbe usafiri wa reli mpya utapoanza tutasafiri Tabora - Mwanza kwa masaa manne!
Masaa manne si mengi. Vituo vya treni ni vingi njiani, na vyote lazima isimame.Masaa manne mengi mno .... tabora to mwanza ni karibu ....ukiwa kahama na tabora ni pua na mdomo ..mfano isaka unaweza kuishi mkoa wa tabora ukanunulia mahitaji mkoa shinyanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema hakuna yenye 10+ hiyo Kanda ya Mashariki ni ngapi?Kanda ya mashariki
Dar -5.3
pwani -2.0
Morogoro -3.1
Jumla =10.1
West lake ilikuwa mkoa wa sasa wa Kagera.Ni Kanda ya magharibi,zamani ilikua mkoa mmoja na kigoma ikiitwa lake west