Bora mnyamwezi muhaya hawezi kupewa nchi hiiUsipowapa uraisi wasukuma je wanyamwezi, wahaya wakurya etc.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora mnyamwezi muhaya hawezi kupewa nchi hiiUsipowapa uraisi wasukuma je wanyamwezi, wahaya wakurya etc.
Msome vizuri mleta mada. Ameongelea kanda ya Ziwa. Tabora ipo Kanda ya Kati, Kigoma ipo Kanda ya Magharibi.Note: Unapozungumzia Kanda ya ziwa usisahau Tabora na Kigoma kwasababu mikoa yote hii hiko within one regime.
Utafiti wako haujakamilika. Ebu linganisha;Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana.
Takwimu za sasa kwa namba:
Mwanza 3,699,872
Kagera 2,989,299
Geita 2,977,608
Mara 2,356,255
Shinyanga 2,123,654
Simiyu 2,078,428
Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
Tabora, Shinyanga na Kigoma zipo Kanda ya Magharibi. Kanda ya Kati ni mikoa miwili tu ya Dodoma na Singida.Msome vizuri mleta mada. Ameongelea kanda ya Ziwa. Tabora ipo Kanda ya Kati, Kigoma ipo Kanda ya Magharibi.
Ngosha acha hasira za ki-intaprinyuwaa😂Vipi kanda ya kaskazini mko wangapi?
Wewe huna nafuu yoyote dhidi ya hilo kundi la 'wasukuma' unalolisema hapa.Wasukuma tunawapenda lakini hatuwezi kuwapa nchi Tena note it
Wewe Mwalimu kuna watu unawapaga nchi? Mmefanya walimu wote waonekane hamnazoWasukuma tunawapenda lakini hatuwezi kuwapa nchi Tena note it
Kaacha tabora hapo,Kuna mtu 3.6..hata hivyo Kura 5m ni nyingi Sana na hapo hawajahamasika kupiga Kura,wanaweza fika 8m,robo ya nchi ni sehemu kubwa ukilinganisha na Kanda zingineNa hao milioni 15 ni pamoja na watoto..na wageni ambao wanaishi huko....so wapiga Kura halisi unaweza kukuta ni milioni 5 tu
Kanda ya KatiTabora Iko wapii
Mie nimemjibu sio kwa kuangalia concious mind yake Bali Ile subconscious mind yake iliyofanya akandika vile mie ndie nimedili nayo. Usidhani kuwa wote tunawaza Kama uwazavyo,hujaelewaga mpaka umri huu kuwa tunatofautiana perceptionAmeongelea kanda ya ziwa hajaongelea wasukuma ndio maana kuna kagera na mara ,shuleni ulijifunza ujinga
Tabora haipo Kanda ya kati ni magharibi lakini kwa muktadha wa Kura huwekwa Kanda ya ziwa kwa kuwa lugha,utamaduni,mentality na wasukuma havipishani sanaMsome vizuri mleta mada. Ameongelea kanda ya Ziwa. Tabora ipo Kanda ya Kati, Kigoma ipo Kanda ya Magharibi.
Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana.
Takwimu za sasa kwa namba:
Mwanza 3,699,872
Kagera 2,989,299
Geita 2,977,608
Mara 2,356,255
Shinyanga 2,123,654
Simiyu 2,078,428
Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
Wewe inaonekana una elimu ya kuokoteza. Hujui hata nchi ina Kanda ngapi, wala hujui ni mikoa ipi ipo kanda gani!Ongezea na tabora na kagera na rukwa na katavi hao wote huwa tunawameza nadhani mpaka singida hao Ni watano zetu hawaendi mbali na sio tulipoamua.kumbuka huko Moro mbeya pwani tanga iringa lake zone wamezama pote nchini wakifanya kazi ambazo Wana ujuzi nazo Mana wengi hawakusoma miaka iyo.
Labda saivi ndipo wanaenda shule kwa idadi kubwa. Ila kilimo na ufugaji biashara hizo wamo hawanagui kazi hawachagui hawaogopi pori lolote kuishimo.
Umeona wachina walivyozaliana na wameanza kusambaa dunia nzima
Eti ndio walikwua wanasema wataamua Rais 😁😁Kulikuwa na kauli nyingi sana za kisiasa kwamba kanda ya ziwa ndio inaamua Rais wa nchi kwenye uchaguzi kwasababu wako wengi sana.
Takwimu za sasa kwa namba:
Mwanza 3,699,872
Kagera 2,989,299
Geita 2,977,608
Mara 2,356,255
Shinyanga 2,123,654
Simiyu 2,078,428
Jumla ni around milioni 15 ambayo ni kama robo tu ya watanzania wote.
Wamanyema na wasukuma wapi na wapi,tabora sio ya wanyamwezi tuTabora haipo Kanda ya kati ni magharibi lakini kwa muktadha wa Kura huwekwa Kanda ya ziwa kwa kuwa lugha,utamaduni,mentality na wasukuma havipishani sana