mapinduzi daima
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,725
- 2,703
Tutegemee hali kuwa tete zaidiHapo umenena, oneman show hawezi kufika kila sehemu. ukilegeza tu watu wanaacha kwani siamini km TRA hawafiki kukagua,
Tangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi vinafanya hivyo.
TRA MPOOO
Ungeuliza kwanini kwanza kabla hujafikia huo uamuzi
Hilo jibu langu lina mengi ndani yake..
Kwa mfano hapo kuna sheria ipi haijakaa vizuri?Naomba basi nichangie haya!
Hii haiko kwenye mafuta tuu bali kuna mabadiliko kila mahali, chanya na hasi..na hili ndio tatizo la kuwa na oneman show! Akiondoka mambo yanaparaganyika.. Hili si tatizo la mtu mmoja bali ni udhaifu wa kanuni na sheria zetu tulizojitungia wenyewe
Wanasiasa ni wapitaji tuu lakini sheria na kanuni zikiwa nzuri hutaeza kuona mtikisiko kukiwa na mabadilko
Wafuasi wa chadema ni wajinga sana mkuu!Halafu unakuta jinga Kama Hili barabara ya mtaani kwake ikiharibika linalalamika why haikarabatiwi.
Ni machadema hayo mkuu!kwa baadhi ya majibu ya hapa bado tuko mbali sana!
sieelewi watu wanafurahije kuibiwa? tusije kulaumu serikali inaposhindwa kumudu kujiendesha kwa ajili ya makusanyo madogo ya kodi.
Nyie ndio wapumbavu wenyewe sasa!Iyo post yako inausukuma ,
Inshu ya kutotoa risiti ktk baazi ya sheli ilikuepo kabla ya mwenda zake hajafa .Acha kumchafua mama ww Sukuma Gang
Kwa mfano hapo kuna sheria ipi haijakaa vizuri?
Kwanini hiyo sheria ifanye kazi vizuri kwa mwingine na kwa mwingine itupwe kapuni?
Kodi ambayo ilikuwa inajenga kila kitu Chato??Hata kama hujachukua lkn inatakiwa itoke kwenye machine ili kodi yako uliyolipa ende sehemu husika, ndani ya pesa yako kuna kodi inayokusanywa na muuza mafuta.
halafu kukiwa na ubovu wa barabara tukaombe msaada au tufanyeje?Sijawah chukua izo risiti,,,
Nachoangalia mafuta nimepata.
Ni lini serikali ilipata mapato makubwa na ikaweza kujiendesha kwa asilimia 100.kwa baadhi ya majibu ya hapa bado tuko mbali sana!
sieelewi watu wanafurahije kuibiwa? tusije kulaumu serikali inaposhindwa kumudu kujiendesha kwa ajili ya makusanyo madogo ya kodi.
Yakinunuliwa bulk mafuta hulipiwa kodi, hakuna namna mafuta yanaweza kushuka kwenye kituo bila kodiHata kama hujachukua lkn inatakiwa itoke kwenye machine ili kodi yako uliyolipa ende sehemu husika, ndani ya pesa yako kuna kodi inayokusanywa na muuza mafuta.
Kodi inachukuliwa pia na huko depo, anaeuza mafuta kwa bulk, ni lazima ayalipie kodi, hakuna namna lori la mafuta linaweza toka depo na tax exempted fuel exept transit fuel.Kuna wamiliki wa malori/mitambo/mabasi ambao hununua jumla huko depo Na kuyapeleka kwenye karakana zao Kwa ajili ya kuhudumia vyombo vyake tu,huyo tutambana vipi alipe Kodi?
Suluhisho ni lile lililotolewa na Shabiby bungeni kwamba Kodi ichukuliwe huko huko depo kabla ya kusambazwa.Lakini kwasababu Jiwe alikuwa hashauriki hakusikia hilo
Naomba kuuliza hili...Tangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi vinafanya hivyo.
TRA MPOOOOO
Dikteta kifo kakitaka mwenyewe,Hata wewe utaenda tu, kila pumzi itaonja mauti.