Sasa Israel yaendeleza uchokozi kwa Misri. Yaitaka ifunge mpaka wa Rafah ili iweze kuwashinda Hamas na kujimilikisha Gaza mia kwa mia

Sasa Israel yaendeleza uchokozi kwa Misri. Yaitaka ifunge mpaka wa Rafah ili iweze kuwashinda Hamas na kujimilikisha Gaza mia kwa mia

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Katika maadhimisho ya siku mia za vita kati ya Israel na Hamas waziri mkuu wa Israel ameiamrisha Misri ifunge mpaka wake na Gaza na kuiachia Israel kudhibiti eneo lote linalounganisha Gaza na nchi hiyo ya kiarabu.

Kipande hicho cha ardhi ambacho Israel kinakiita Philadelphi Corridor kina urefu wa kilomita 14 sawa na wastani wa maili 8.6 na ndipo mpaka wa Rafah ulipo.

Wakati akihojiwa na vyombo vya habari Netanyahu alisema tunaweza tukawashinda Hamas na kuwanyang''anya silaha lakini baadae zitaingia tena.

Akiendelea na ufafanuzi wa ubabe wake huo, Netanyahu alisema maafisa wameonyesha namna kadhaa ya kufanikisha udhibiti wa kipande hicho na japo njia rasmi haijaamuliwa.

Kilichoamuliwa ni kwamba lazima eneo hilo linalounganisha Misri na Gaza lifungwe.

1705208957993.png

 
Jee Misri ataamua kupambana au atawachia Israel hicho kipande cha Ardhi
 
Allah akbar letanyahu anakufa kidogo kama alovyokufa kidogo kidogo waziri mkuu aliepita wa Isreal
Kibri kibaya sana,
Mtu huwa anajiua mwenyewe bila kujua.
Firaun aliona kama anashinda kumbe anawakushanya watu washuhudie kushindwa kwake.
 
Katika maazimisho ya siku mia za vita kati ya Israel na Hamas waziri mkuu wa Israel ameiamrisha Misri ifunge mpaka wake na Gaza na kuiachia Israel kudhibiti eneo lote linalounganisha Gaza na nchi hiyo ya kiarabu.
Kipande hicho cha ardhi ambacho Israel kinakiita Philadelphi Corridor kina urefu wa kilomita 14 sawa na wastani wa maili 8.6 na ndipo mpaka wa Rafah ulipo.
Wakati akihojiwa na vyombo vya habari Netanyahu alisema tunaweza tukawashinda Hamas na kuwanyang''anya silaha lakini baadae zitaingia tena.
Akiendelea na ufafanuzi wa ubabe wake huo,Netanyahu alisema maafisa wameonyesha namna kadhaa ya kufanikisha udhibiti wa kipande hicho na japo njia rasmi haijaamuliwa.Kilichoamuliwa ni kwamba lazima eneo hilo linalounganisha Misri na Gaza lifungwe.
Mlidhani Netanyahu anatania ? lazima Hamas wakione cha moto

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
30,000 Israeli Soldiers Could Become Disabled, Army is Hiding Data – WALLA

January 13, 2024 Blog, News

4,000 Israeli soldiers have become disabled since the beginning of the war on Gaza on October 7 and estimates suggest that the number could rise to 30,000, the Israeli newspaper Walla reported on Friday.

“The country is preparing to receive a large number of disabled Israeli soldiers, and after 100 days of the war, around 4,000 soldiers have already been acknowledged as having disabilities,” the report said.

According to the Israeli website, the military operation carried out by the Palestinian Resistance movement Hamas on October 7 “led Israel into a war that it had not previously experienced in terms of the number of soldier injuries, but more importantly, the injuries are extremely severe.”
 
Katika maazimisho ya siku mia za vita kati ya Israel na Hamas waziri mkuu wa Israel ameiamrisha Misri ifunge mpaka wake na Gaza na kuiachia Israel kudhibiti eneo lote linalounganisha Gaza na nchi hiyo ya kiarabu.
Kipande hicho cha ardhi ambacho Israel kinakiita Philadelphi Corridor kina urefu wa kilomita 14 sawa na wastani wa maili 8.6 na ndipo mpaka wa Rafah ulipo.
Wakati akihojiwa na vyombo vya habari Netanyahu alisema tunaweza tukawashinda Hamas na kuwanyang''anya silaha lakini baadae zitaingia tena.
Akiendelea na ufafanuzi wa ubabe wake huo,Netanyahu alisema maafisa wameonyesha namna kadhaa ya kufanikisha udhibiti wa kipande hicho na japo njia rasmi haijaamuliwa.Kilichoamuliwa ni kwamba lazima eneo hilo linalounganisha Misri na Gaza lifungwe.
Unabii unatimia
 
Kaka uislam na uarabu ni laana ya Dunia. Waturuki wanalia sana nchi yao Kuongozwa kiislamu..yaani ilivyo Haina akili hata wakati wa joto inavaa miijabu tu.
Unalaani mwenyewe.
Turkiye inajivunia kuwa waislam na kuongozwa kiislam.
Ondoa fikra zako za kijiweni.
Wagiriki,Waalbania,waserbia, n.k ndio wanakimbilia Uturuki na kuchafua nchi ya watu kwa tamaduni zao mbovu.
Ulitaka Turkiye iongozwe na ukristo unaobariki ushoga ???
 
Yule amewekwa pale na wamarekani ... sijui kama anamaamuzi yoyote

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
UPO Uwezekano huo kwani tangu Netanyahu alipotoa tamko hilo hakuna jibu kutoka Misri.
Mi nilitaraji Elsisi atakuwa tayari keshaitisha baraza la mawaziri kujadili kitisho hicho na dharau kwa taifa lake.
 
Back
Top Bottom