Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei za kupima DNA
muhimbili hospitali zimepungua na kufikia shs laki moja hivyo kama huna
uhakika na mtoto ulienae kama ni wako unaweza kuondoa utata.
Tatizo ni ulasimu, nasikia eti hadi upitie polisi au mahakamani, sio kujiendea tu kama anayepima malaria.
Kwa nini upitie huko kote?
kaka hebu kaulizie vizuri,kupima DNA Lazima uende kwa mkemia mkuu,upeleke Ripoti ya polisi,pia unatakiwa uende nae huyo mwenzako pale kwa mkemia kutoa vipimo.Bei za kupima DNA muhimbili hospitali zimepungua na kufikia shs laki moja hivyo kama huna uhakika na mtoto ulienae kama ni wako unaweza kuondoa utata.
Bei za kupima DNA muhimbili hospitali zimepungua na kufikia shs laki moja hivyo kama huna uhakika na mtoto ulienae kama ni wako unaweza kuondoa utata.
siyo rahisi namna hiyo........
daah wataumbuka wengii!
Kama kweli ni bora, najisikia vibaya sana nikisikia baba anasema amesingiziwa mtoto.Bei za kupima DNA muhimbili hospitali zimepungua na kufikia shs laki moja hivyo kama huna uhakika na mtoto ulienae kama ni wako unaweza kuondoa utata.
Wababa kwa wamama, ukienda kupima jibu lolote utakalopata lazima lilete mpasuko ndani. Kama mtoto ni wako lazima mama atakujia juu kuwa ulikuwa humwamini kuna mmoja alipopima akakuta mtoto kweli ni wake mke akabeba vilivyovyake akaondoka hawezi ishi na mme asiyemwamini. Na kwa mtoto kama amekuwa kidogo lazima itamsumbua anaweza akaondoa upendo kwa wazazi. Bora majibu yawe kweli mtoto si wako.kama wakina nani hao
wakiondoe hicho kipimo!
kitazidi kutuongezea watoto wa mitaani tu na vibaka!
ifikie kipindi serikali iangalie maamuzi nyeti kama hayo yawe yanafanywa kwa vigezo maalum vikali!
tena kama wakigundua kama mtoto si wa familia hiyo, basi haina haja ya kumpa majibu, kwa sababu hii itaongeza tatizo!
mpaka mzazi kwenda kupima dna ina maana hatokuwa na amani na mwanae endapo atagundua kuwa huyo si mwanawe!
Huko MBELE wanapima dna kwa kila mtoto anaezaliwa. Faida ni;
1. Kuongeza thamani ya mtoto kwa mzazi. Baba anakuwa na uhakika na mtoto anaelea kuwa ni mwanae. Hatoleta mchezo ktk malezi.
2. Kuzidi kumpenda mkeo kwa kuwa mwaminifu
3. Baba unajiamini kuwa we ni mzazi halisi na jukumu lililo mbele ni kulea
4. Kumbukumbu za undugu inapotokea ajali mbaya au moto.
5.Nk
Hiki kipimo kinatakiwa kuwa bure tena bila urasimu. Shame on our gvt!!