Sasa kupima DNA muhimbili ni 100,000 tu

Sasa kupima DNA muhimbili ni 100,000 tu

Kama zikivunjika basi sababu si vipimo vya DNA. Sababu zitakuwa ni udanganyifu na usaliti.

Sababu ni usaliti na udanganyifu ndio, lakini si watu hawajui...
waoto ndani wanawaita baba wanachekeleeea kumbe sio wao
 
wakiondoe hicho kipimo!

kitazidi kutuongezea watoto wa mitaani tu na vibaka!

ifikie kipindi serikali iangalie maamuzi nyeti kama hayo yawe yanafanywa kwa vigezo maalum vikali!

tena kama wakigundua kama mtoto si wa familia hiyo, basi haina haja ya kumpa majibu, kwa sababu hii itaongeza tatizo

Ni kizuri hicho mkuu wewe unafkii nani anapenda kubeba mzigo wa mwenzake, ngoja na mim nikakapime haka kachotara kangu sijui ni Kaburu huyu, sjui mwarabu, sjui muhindi au mpemba huyu??
 
Ni kizuri hicho mkuu wewe unafkii nani anapenda kubeba mzigo wa mwenzake, ngoja na mim nikakapime haka kachotara kangu sijui ni Kaburu huyu, sjui mwarabu, sjui muhindi au mpemba huyu??

halafu ukishajua si wako, utamfanya nn kiumbe wa maulana?
 
Kwa nini umfanye chochote mtoto ambaye kosa si lake? Kwani yeye ndo alikudanganya?

mkuu kauli kama hiyo haimuingii akilini mtanzania! yeye kilichoko kichwana ni kutupa kisicho chake.

na kumbuka kwamba endapo itagundulika mtoto si wako, jamii yenyewe itakuwa driving force kwako kufanya maamuzi hasi mabayo yatamdhuru mtoto wa mwenzio (ni halali nimuite wa mwenzio kwa sababu si wako!)

mkuu ni mara ngapi tunaona watoto wananyanyapaliwa kwa kuhisi tu? je ikithibitishwa kwamba kweli si damu yako, je mama na mtoto watasalimika humo ndani??
 
mkuu kauli kama hiyo haimuingii akilini mtanzania! yeye kilichoko kichwana ni kutupa kisicho chake.

na kumbuka kwamba endapo itagundulika mtoto si wako, jamii yenyewe itakuwa driving force kwako kufanya maamuzi hasi mabayo yatamdhuru mtoto wa mwenzio (ni halali nimuite wa mwenzio kwa sababu si wako!)

mkuu ni mara ngapi tunaona watoto wananyanyapaliwa kwa kuhisi tu? je ikithibitishwa kwamba kweli si damu yako, je mama na mtoto watasalimika humo ndani??

Kumfanyia kitu kibaya mtoto ni makosa. Ni makosa kwa sababu kosa si lake. Sasa kama kosa si lake kwa nini uzimalizie hasira na ghadhabu zako kwake?

Hiyo siyo sawa hata kidogo. Kama huwezi kuvumilia uongo uliolishwa basi achana na mama yake. Kama inawezekana unaweza ukaendeleza uhusiano na mtoto lakini mama unatupa huko.

Binafsi siwezi kumkasirikia mtoto ambaye hana kosa hata kidogo. Kufanya hivyo ni ujinga. Lakini kwa vile tu siwezi kumfanya chochote mtoto hiyo haina maana sitachukua hatua dhidi ya mama yake.

Lazima nitachukua. Na kuchukua hatua haimaanishi nimdhuru kimwili.
 
Kwa nini umfanye chochote mtoto ambaye kosa si lake? Kwani yeye ndo alikudanganya?

Lengo ni kupata uhakika na si kumtendea vibaya huyo mtoto na endapo hakuna mwanaume anayedai kuwa mtoto ni wake nitaendelea kumlea kama adopted child huku akipata shahili zote kama mwanzo.
 
Lengo ni kupata uhakika na si kumtendea vibaya huyo mtoto na endapo hakuna mwanaume anayedai kuwa mtoto ni wake nitaendelea kumlea kama adopted child huku akipata shahili zote kama mwanzo.

Naam, mtoto hana kosa.

Lakini mama kama alinidanganya ndo atakuwa anamakosa na nitachukua hatua stahilifu dhidi yake i.e. kumuacha aendelee na maisha yake na mimi niendelee na yangu.
 
Kumfanyia kitu kibaya mtoto ni makosa. Ni makosa kwa sababu kosa si lake. Sasa kama kosa si lake kwa nini uzimalizie hasira na ghadhabu zako kwake?

Hiyo siyo sawa hata kidogo. Kama huwezi kuvumilia uongo uliolishwa basi achana na mama yake. Kama inawezekana unaweza ukaendeleza uhusiano na mtoto lakini mama unatupa huko.

Binafsi siwezi kumkasirikia mtoto ambaye hana kosa hata kidogo. Kufanya hivyo ni ujinga. Lakini kwa vile tu siwezi kumfanya chochote mtoto hiyo haina maana sitachukua hatua dhidi ya mama yake.

Lazima nitachukua. Na kuchukua hatua haimaanishi nimdhuru kimwili.

mkuu kauli unazotoa ziko kimagharibi zaidi.. the most developed countries, nchi ambazo zinajua human rights na zinajua umuhimu wa kiumbe fulani katika jamii husika.

pia katika nchi hizo hizo, jamii imeelimika sana, hali ya kielimu iko juu, hivyo hata kama mtu hamtaki mtoto ana uwezo wa kum-sumit kwa serikali ama ampeleke katika vituo vya kulelea watoto na hapo baadae anakuja kuwa adopted.

sasa mkuu, kwa jamii za kiafrika, hasa kwa tanzania ambako zaidi ya asilimia 70 ya watanzania hawana elimu wala hawajui chochote kuhusu human rights, unadhani hiki kipimo kitakuwa applicable and helpful?

na bado hata hao wenye elimu zao, bado elimu haiwasaidii, bado wamekuwa wanyanyasaji wakubwa wa watoto!!

hebu fikiria, kama mtu anashindwa kuishi na mtoto wa ndugu yake, mama mtoto wa kambo, je DNA ikithibitisha kwamba mwana uliyemtegemea kwa miezi tisa si wako, hali itakuwaje ndani ya nyumba?
 
Naam, mtoto hana kosa.

Lakini mama kama alinidanganya ndo atakuwa anamakosa na nitachukua hatua stahilifu dhidi yake i.e. kumuacha aendelee na maisha yake na mimi niendelee na yangu.

mmetengana bila kuacha mustakabali mzima wa maisha ya mtoto.. family problems!

mtoto keshakuwa mtoto wa mtaa sababu ya DNA!
 
mkuu kauli unazotoa ziko kimagharibi zaidi.. the most developed countries, nchi ambazo zinajua human rights na zinajua umuhimu wa kiumbe fulani katika jamii husika.

pia katika nchi hizo hizo, jamii imeelimika sana, hali ya kielimu iko juu, hivyo hata kama mtu hamtaki mtoto ana uwezo wa kum-sumit kwa serikali ama ampeleke katika vituo vya kulelea watoto na hapo baadae anakuja kuwa adopted.

sasa mkuu, kwa jamii za kiafrika, hasa kwa tanzania ambako zaidi ya asilimia 70 ya watanzania hawana elimu wala hawajui chochote kuhusu human rights, unadhani hiki kipimo kitakuwa applicable and helpful?

na bado hata hao wenye elimu zao, bado elimu haiwasaidii, bado wamekuwa wanyanyasaji wakubwa wa watoto!!

hebu fikiria, kama mtu anashindwa kuishi na mtoto wa ndugu yake, mama mtoto wa kambo, je DNA ikithibitisha kwamba mwana uliyemtegemea kwa miezi tisa si wako, hali itakuwaje ndani ya nyumba?

Mtazamo wako ni finyu sana.

Hivi sisi si huwa tunajigamba jamii zetu ziko kifamilia familia zaidi (mambo ya extended family)? Sasa iweje ndugu wa huyo mama, kwa mfano, washindwe kumlea mtoto wao?

Mbona kuna watu wengi tu wamelelewa na babu, bibi, wajomba, mama wadogo, baba wakubwa, na kadhalika? Mimi mwenyewe nina mabinamu kibao ambao wamelelewa na babu na bibi na bado ninao ambao wanalelewa na babu mpaka dakika hii.

Nijuavyo mimi, kwa set up za familia zetu, ndugu huwa wana step up to the plate na kuchukua majukumu ya kuwalea watoto ambao kwa sababu moja au nyingine baba zao hawako kwenye picha.

Sasa hiyo haimaanishi kwamba kila mtu au kila ndugu ni mwema sana. Lazima tu watakuwepo ambao kwa sababu wazijuazo wenyewe, huwanyanyasa watoto ambao si wa kwao kuwazaa.

Lakini kikawaida sisi hatuna desturi ya watoto wetu kulelewa na serikali au kuasiliwa na watu wasio na undugu wowote na huyo mtoto.
 
mmetengana bila kuacha mustakabali mzima wa maisha ya mtoto.. family problems!

mtoto keshakuwa mtoto wa mtaa sababu ya DNA!

Kwa nini mtoto awe wa mtaa? Kwani mama yake hana ndugu? Na huyo mwanaume aliyemzalisha je? Hajui pa kumpata? Come on now....
 
Mtazamo wako ni finyu sana.

Hivi sisi si huwa tunajigamba jamii zetu ziko kifamilia familia zaidi (mambo ya extended family)? Sasa iweje ndugu wa huyo mama, kwa mfano, washindwe kumlea mtoto wao?

Mbona kuna watu wengi tu wamelelewa na babu, bibi, wajomba, mama wadogo, baba wakubwa, na kadhalika? Mimi mwenyewe nina mabinamu kibao ambao wamelelewa na babu na bibi na bado ninao ambao wanalelewa na babu mpaka dakika hii.

Nijuavyo mimi, kwa set up za familia zetu, ndugu huwa wana step up to the plate na kuchukua majukumu ya kuwalea watoto ambao kwa sababu moja au nyingine baba zao hawako kwenye picha.

Sasa hiyo haimaanishi kwamba kila mtu au kila ndugu ni mwema sana. Lazima tu watakuwepo ambao kwa sababu wazijuazo wenyewe, huwanyanyasa watoto ambao si wa kwao kuwazaa.

Lakini kikawaida sisi hatuna desturi ya watoto wetu kulelewa na serikali au kuasiliwa na watu wasio na undugu wowote na huyo mtoto.

mkuu umejifinya sana kimtazamo, bila shaka umelelewa na wazazi wako bila hata kupewa fursa ya kuwatembelea nduguzo.

kuna mengi sana yamejificha katika familia ambazo zinalea watoto wa ndugu zao, wangapi tumeona wakimwagiwa maji ya moto, wengine wakifungiwa ndani bila sababu yoyote, wengine wakifanyishwa kazi za ndani kama house boy/girl na wengine kuwa ndio sehemu ya kupunguzia hasira pale wawili wanapogombana?

mkuu jaribu kuwa mfanya utafiti japo kidogo kidogo, kuna matukio mengi sana ya kidhalilishaji yanayowakumba watoto wanolelewa na ndugu, na kwa taarifa tu, hali iliyoko sasa huwezi kuchukua mtoto wa watu kijijini kule na kuja nae mjini kwa lengo la kutoa sababu kwamba unakuja kumsomesha.. wengi wameshaumia, hata kama ni elimu, basi wanaipata kwa manyanyaso sana na basic needs nyingi wanazikosa..

mfano halisi ninao, kuna mtoto mmoja mabae majuzi tu nimemuona mwanza, alitolewa kijijini kwa ndugu zake kwa lengo la kuja kusomeshwa, lakin mpaka sasa ni mwaka wa pili sasa yuko mtaani na hana hata dalili ya kwenda shule, pale anapoulizia kuhusu hilo suala, basi jibu hupewa kwamba awatafute wazazi wake wamsomeshe, na wala si wao!

huo ni mfano mdogo tu, mabibi na mababu zetu ndio watu pekee waliobaki na upendo wa kweli. hawa wengine wanaigiza.

hio ndio hali halisi ngabu, kizazi hiki cha tz kikipewa dna, tutegemee mzigo mkubwa sana kwa serikali na jamii kiujumla.

kama si kufukuzwa nyumbani, basi watoto watakimbia wenyewe kutokana na ugumu wa maisha!
 
Kwa nini mtoto awe wa mtaa? Kwani mama yake hana ndugu? Na huyo mwanaume aliyemzalisha je? Hajui pa kumpata? Come on now....

we nyani una matatizo, kwanini mzigo uwe wa ndugu ama wazazi wenu wakati mtoto mmejichanganya wenyewe wakati wa kumtafuta?

hilo sio jukumu lao, na wao wana mambo yao ya msingi ya kufanya, sio kuangalia na kutetea ujinga wenu!
 
changamoto ya kipmo ni kuvunja ndoa, kuongeza yatima, watoto wa mtaani, na vibaka!. pia faida zake nyingi kulko hasara ndomana wataalam wakaamua kuweka kipmo, si kwamba hawajui kua kina changamoto au wanakusudia ila imebidi. najua hapa wakina mama wataona kama mnaonewa lakin sivyo, ni wakati wenu sasa kuwa makini na jambo hili!. mimi nashangaa sana kuskia hadi sasa kuna baadh ya wanawke wanapta mimba ziszotarajiwa!, why? mbona nyota ya kijani njenje?. fanya maamuz pamoja na mwenzako, kama unataka mtoto mwambie nataka kuzaa nawe ili baadae asiruke mtoto, maana mwingne anakupenda zaidi ya maelezo lakin ukpata mimba anakwambia sijajiandaa kua baba then hujaniambia kabla!. changamoto za kipimo kinaletwa na mama wasiokua makini!.
 
mkuu umejifinya sana kimtazamo, bila shaka umelelewa na wazazi wako bila hata kupewa fursa ya kuwatembelea nduguzo.

Ndiyo, nimelelewa na wazazi wangu wote wawili. Kwa hilo umepatia. Lakini kusadiki kwamba sikupewa fursa ya kuwatembelea ndugu zangu umechemsha sana.

Ndugu nimewatembelea sana. Wao wametutembelea sana. Na kinyume kabisa na watu wengi waliozaliwa Dar, mimi Kisukuma nakitwanga kile cha Ntuzu kabisa na haikutokea tu ikawa nakijua. Ni matokeo ya wazazi kuhakikisha kwamba asili yangu ninaijua ipasavyo pamoja na ukoo wa pande zote pili.

Vile vile kwetu tumeishi na watoto wa shangazi wawili pamoja na watoto wawili wa mama wadogo tofauti. Kwa hiyo nakijua ninachokiongelea hapa. Sibahatishi.

kuna mengi sana yamejificha katika familia ambazo zinalea watoto wa ndugu zao,

Ndiyo, yapo mengi mazuri kwa mabaya kama vile yalivyo mengi mazuri kwa mabaya kwenye familia ambazo hazilei watoto wa ndugu. Sasa sijui hoja yako ni nini hapo!!

wangapi tumeona wakimwagiwa maji ya moto, wengine wakifungiwa ndani bila sababu yoyote, wengine wakifanyishwa kazi za ndani kama house boy/girl na wengine kuwa ndio sehemu ya kupunguzia hasira pale wawili wanapogombana?

Hoja dhaifu kabisa hii. Dhaifu kwa sababu kuna watoto hufanyiwa yote hayo na wazazi wao wa kibaiolojia kabisa. Mara ngapi tunasoma kwenye magazeti, kusikia redioni, na kuona kwenye runinga ukatili dhidi ya watoto ambao hufanywa na wazazi wao?

Au mwenzetu wewe unaishi chini ya mwamba na hivyo kupitwa na habari kama hizo?

mkuu jaribu kuwa mfanya utafiti japo kidogo kidogo, kuna matukio mengi sana ya kidhalilishaji yanayowakumba watoto wanolelewa na ndugu, na kwa taarifa tu, hali iliyoko sasa huwezi kuchukua mtoto wa watu kijijini kule na kuja nae mjini kwa lengo la kutoa sababu kwamba unakuja kumsomesha.. wengi wameshaumia, hata kama ni elimu, basi wanaipata kwa manyanyaso sana na basic needs nyingi wanazikosa..

LMAO....well, nimezingatia ushauri wako wa kufanya utafiti japo kidogo kidogo na nimekutana na hiki kisa kilichotokea huko Mbeya ambapo mama mzazi wa mtoto alimfanyia mwanae wa kumzaa unyama wa kutisha. Narudia tena, mama mzazi alimfanyia mwanae unyama wa kutisha. Bofya hapa upate habari kamili.

mfano halisi ninao, kuna mtoto mmoja mabae majuzi tu nimemuona mwanza, alitolewa kijijini kwa ndugu zake kwa lengo la kuja kusomeshwa, lakin mpaka sasa ni mwaka wa pili sasa yuko mtaani na hana hata dalili ya kwenda shule, pale anapoulizia kuhusu hilo suala, basi jibu hupewa kwamba awatafute wazazi wake wamsomeshe, na wala si wao!

Na mimi nikupe mifano zaidi ya wazazi kuwafanyia unyama watoto wao wa kuwazaa? Maana ninayo mifano lukuki hapa na hata picha nnazo vile vile.

huo ni mfano mdogo tu, mabibi na mababu zetu ndio watu pekee waliobaki na upendo wa kweli. hawa wengine wanaigiza.

Hapana, siyo kweli. Wapo wajomba, mama wadogo na wakubwa, baba wadogo na wakubwa wenye upendo wa kweli. Usitumie matendo ya baadhi ya ndugu kuwarundika ndugu wote kwenye fungu moja.

hio ndio hali halisi ngabu, kizazi hiki cha tz kikipewa dna, tutegemee mzigo mkubwa sana kwa serikali na jamii kiujumla.

Hofu yako ni unfounded. Kwa sababu kama ni ukatili tu mbona matukio hayo yapo hata kabla hatujajua DNA ni kitu gani? Mbona yapo tu na mengine yanafanywa na mama wazazi kabisa? Una irrational fear tu wewe.

kama si kufukuzwa nyumbani, basi watoto watakimbia wenyewe kutokana na ugumu wa maisha!

Hapa unasadiki tu kwa sababu kuna watoto wenye baba na mama nyumbani na hukimbia (runaways) wenyewe tu kwa sababu mbalimbali mojawapo hiyo ya ugumu wa maisha uliyoitaja.
 
Ndiyo, nimelelewa na wazazi wangu wote wawili. Kwa hilo umepatia. Lakini kusadiki kwamba sikupewa fursa ya kuwatembelea ndugu zangu umechemsha sana.

Ndugu nimewatembelea sana. Wao wametutembelea sana. Na kinyume kabisa na watu wengi waliozaliwa Dar, mimi Kisukuma nakitwanga kile cha Ntuzu kabisa na haikutokea tu ikawa nakijua. Ni matokeo ya wazazi kuhakikisha kwamba asili yangu ninaijua ipasavyo pamoja na ukoo wa pande zote pili.

Vile vile kwetu tumeishi na watoto wa shangazi wawili pamoja na watoto wawili wa mama wadogo tofauti. Kwa hiyo nakijua ninachokiongelea hapa. Sibahatishi.



Ndiyo, yapo mengi mazuri kwa mabaya kama vile yalivyo mengi mazuri kwa mabaya kwenye familia ambazo hazilei watoto wa ndugu. Sasa sijui hoja yako ni nini hapo!!



Hoja dhaifu kabisa hii. Dhaifu kwa sababu kuna watoto hufanyiwa yote hayo na wazazi wao wa kibaiolojia kabisa. Mara ngapi tunasoma kwenye magazeti, kusikia redioni, na kuona kwenye runinga ukatili dhidi ya watoto ambao hufanywa na wazazi wao?

Au mwenzetu wewe unaishi chini ya mwamba na hivyo kupitwa na habari kama hizo?



LMAO....well, nimezingatia ushauri wako wa kufanya utafiti japo kidogo kidogo na nimekutana na hiki kisa kilichotokea huko Mbeya ambapo mama mzazi wa mtoto alimfanyia mwanae wa kumzaa unyama wa kutisha. Narudia tena, mama mzazi alimfanyia mwanae unyama wa kutisha. Bofya hapa upate habari kamili.



Na mimi nikupe mifano zaidi ya wazazi kuwafanyia unyama watoto wao wa kuwazaa? Maana ninayo mifano lukuki hapa na hata picha nnazo vile vile.



Hapana, siyo kweli. Wapo wajomba, mama wadogo na wakubwa, baba wadogo na wakubwa wenye upendo wa kweli. Usitumie matendo ya baadhi ya ndugu kuwarundika ndugu wote kwenye fungu moja.



Hofu yako ni unfounded. Kwa sababu kama ni ukatili tu mbona matukio hayo yapo hata kabla hatujajua DNA ni kitu gani? Mbona yapo tu na mengine yanafanywa na mama wazazi kabisa? Una irrational fear tu wewe.



Hapa unasadiki tu kwa sababu kuna watoto wenye baba na mama nyumbani na hukimbia (runaways) wenyewe tu kwa sababu mbalimbali mojawapo hiyo ya ugumu wa maisha uliyoitaja.

well said nyani.. natafuta sana namna ya multiple quot kama uliyofanya mkuu.. nipe lecture kidogo kabla hatujaendelea na mjadala.. goodmorning!!:A S new::A S new:
 
we nyani una matatizo, kwanini mzigo uwe wa ndugu ama wazazi wenu wakati mtoto mmejichanganya wenyewe wakati wa kumtafuta?

Right back at ya! Kwa nini mzigo atwishwe mwingine ambaye hata hahusiki wakati anayehusika yupo? Mkeo atombeshe nje huko kwa Bakari halafu mimba uje ubambikiwe wewe huku Bakari akiendelea kula bata kama hana majukumu vile. Kwa akili yako unaona ni sawa hiyo?

hilo sio jukumu lao, na wao wana mambo yao ya msingi ya kufanya, sio kuangalia na kutetea ujinga wenu!

Hata kama si jukumu lao lakini kama wamejitolea kwa sababu ya kusukumwa na wajibu wa kimaadili, ubaya uko wapi?

Au kama wewe mkeo akitombesha nje huko halafu apate mimba na wewe ukubali kulea mtoto ambaye si wako, hakuna ubaya pia. Si uamuzi wako bana....
 
well said nyani.. natafuta sana namna ya multiple quot kama uliyofanya mkuu.. nipe lecture kidogo kabla hatujaendelea na mjadala.. goodmorning!!:A S new::A S new:

Yaani hujui kunukuu kwa namna hiyo licha ya kujiunga mwaka 2011 (at least kwa hii ID, just in case unazo zingine)?
 
Back
Top Bottom