Sasa kupima DNA muhimbili ni 100,000 tu

Sasa kupima DNA muhimbili ni 100,000 tu

Kwa nini upitie huko kote?
Unapita huko ili kuthibitisha uhalali wako wa kumpima mtoto huyo, ukipaswa kutoa sababu muhimu itakayoonesha interest yako kwa mtoto huyo(kama baba,mama,mlezi n.k) na si kila mtu.

Mahakamani au kwa mwanasheria utapaswa utoe sababu ya uamuzi wako huo na utoe kiapo cha kuwa na interest ya umpimae na si kwa lengo la kuleta tafaruku kwenye jamii n.k

Ikiwa itaachwa wazi kwa kila mtu basi hata jirani yako atapima wanao na kupakaza mtaani hata kama wewe binafsi unaujua ukweli na umeamua kubeba mzigo huo.

Lengo la DNA si kutenganisha wanafamilia na kuongeza watoto wasio na malezi bali ni kuthibitisha ukweli na kujiaminisha kwa wanafamilia kati ya sababu nyingine nyingi.
 
Huko MBELE wanapima dna kwa kila mtoto anaezaliwa. Faida ni;
1. Kuongeza thamani ya mtoto kwa mzazi. Baba anakuwa na uhakika na mtoto anaelea kuwa ni mwanae. Hatoleta mchezo ktk malezi.
2. Kuzidi kumpenda mkeo kwa kuwa mwaminifu
3. Baba unajiamini kuwa we ni mzazi halisi na jukumu lililo mbele ni kulea
4. Kumbukumbu za undugu inapotokea ajali mbaya au moto.
5.Nk

Hiki kipimo kinatakiwa kuwa bure tena bila urasimu. Shame on our gvt!!

cha ajabu eti wameshusha bei wakati umeme umepanda, yani bongo kila kitu siasa
 
But what are the odds for that vis-à-vis unfaithfulness?

Wabongo wanavyoogopa DNA utadhani kiama vile. Watu wako radhi kudanganywa na kulea watoto ambao siyo wa kwao kisa tu hawataki kuukabili ukweli.

Sielewi kabisa!
Mara nyingi jambo jipya huwa linatisha hasa kwetu sisi wabongo. Baada ya muda kupita huko mbele watazoea na wataweza kuchukulia kuwa hivi vipimo ni vya kawaida. Si unakumbuka miaka ya 90 watu walivyokuwa wanaponda mambo ya vyama vingi lkn baada ya muda wameona kuwa ni jambo la kawaida.
 
Najua ni wanawake wa TGNP nk ndio wameweka fitina za urasimu kisipatikane kirahisi
 
sheria ipo and it has clearly provides so logic does not apply

THE HUMAN DNA REGULATION ACT, 2009

3-"genetic material" includes Human DNA and RNA;
"human DNA" means Deoxyribonucleic acid which is the genetic material present in the nucleus of the cells and mitochondria which is inherited half from each biological parent;

Modes and types of samples to be collected for Human DNA

29.-{I) Samples for Human DNA shall be collected from-
(a) saliva;
(b) hair with root;
(c) urine;
(d) stool;
(e) blood;
(t) skin;
(g) teeth;
(h) bones;
(i) semen;
G) vaginal swab;
(k) objects believed to have stains or remains of any of the above; or
(I) any other objects, human tissue or parts of a human body as
the need may arise.
(2) Without prejudice to the provisions of subsection (I), upon
request by the sampling officer, the requesting authority may authorize
the collection of a sample other than samples stipulated under subsection
(I), if it shall lead to Human DNA identification.
(3) No intimate sample shall be collected if non intimate sample
may easily be obtained.

Compulsory disclosure of genetic information

55. The genetic information of any person shall not be divulged in compliance with an order for compulsory disclosure in civil proceedings, unless the sample source or the sample source's representative is a party to such proceedings and the genetic information is at issue.

Court to hear and determine Disclosure of genetic information
56.-{1) An order made pursuant to section 55 for the disclosure of genetic information shall only be made by the court's determination that a good cause exist.
(2) Before making an order under subsection (1) the court shall satisfy itself that-
(a) no other ways of obtaining the private genetic information are available or may not be effective; and
(b) there is a compelling need for the private genetic information which outweighs the potential harm to the privacy of the sample source.

Limitation of court order

57. An order made pursuant to the provisions of sections 55 and 56 for the disclosure of private genetic information shall-
(a) limit disclosure only to persons whose need for such information is the basis of the order;
(b) limit disclosure to those parts of records containing such information which are essential to fulfill the objective of the order;
(c) require non disclosure of names of people in the collection and analysis of the sample of Human DNA from any documents made available to the public; and
(d) provide protective measures to the sample source by sealing from public scrutiny the record or any part of the record of any proceedings for which disclosure of the information has
been ordered.
 
wakiondoe hicho kipimo!

kitazidi kutuongezea watoto wa mitaani tu na vibaka!

ifikie kipindi serikali iangalie maamuzi nyeti kama hayo yawe yanafanywa kwa vigezo maalum vikali!

tena kama wakigundua kama mtoto si wa familia hiyo, basi haina haja ya kumpa majibu, kwa sababu hii itaongeza tatizo!

mpaka mzazi kwenda kupima dna ina maana hatokuwa na amani na mwanae endapo atagundua kuwa huyo si mwanawe!

kwanini wakiondoe? huoni kama unataka kuhalalisha ufuska na kusingiziana mimba?
 
halafu ukishajua si wako, utamfanya nn kiumbe wa maulana?

Kama sio wa kwangu baba yake si yupo??, unajua mkuu mimi napenda sana watoto na watoto wananipenda sana nafkiri nina hiyo nyota, lakini inauma sana wew unahangaika mchana usiku kwaajili ya mtoto alafu libaba lake lipo mtaani linapeta uswahilini linakuangalia tu wew unavyo hangaika alafu siku binti ameshakuwa mwari yeye ndo anakuja from no where kudai mtoto, huh! hiyo siku nafkiri naweza kutupwa lupango
 
Bei za kupima DNA muhimbili hospitali zimepungua na kufikia shs laki moja hivyo kama huna uhakika na mtoto ulienae kama ni wako unaweza kuondoa utata.

Mkuu kwani kabla bei ilikuwa Tshs. ngapi?
 
Watoto hawana makosa jamani waleeni tu hata kama sio wenu , wakudili nae Mkeo.
 
Sipati picha maybe at the age of 30 unagundua huyo baba si baba yako halisi hivi utamkabilije bi mkubwa na kumwambia ugunduzi wako??????

Wakati mwingine hivi vipimo haviko fair sababu huenda nesi alikosea na kuswap mtoto wakati wa kujifungua halafu mkipima dna inaonyesha mtoto si wenu.Hapa lawama zote atapewa mama kumbe masikini hajui

Sidhani kama uwezekano wa kuswap watoto ni mkubwa kiasi hicho! Labda probability ni 1 in a 1,000,000 which is negligible!
 
Naam, mtoto hana kosa.

Lakini mama kama alinidanganya ndo atakuwa anamakosa na nitachukua hatua stahilifu dhidi yake i.e. kumuacha aendelee na maisha yake na mimi niendelee na yangu.

Kweli mtoto hana kosa.....ila ukimuacha mama utabaki naye (mtoto) au atakwenda na mama yake?
 
nina swali.

Ni kweli unaweza kutumia alama zilizopo kwenye viganja vya mtoto kutambua kama huyu mtoto ni baba husika au ni changa la macho?

Nimesikia kuwa alama za kiganja cha mtoto lazima zifanane na za kiganja cha baba na sio mama, that means kama baba na mtoto alama za viganja hazifanani basi huyo mtoto sio wa baba husika.
 
Maamaaaaaa! Kazi ipo na wale wanandoa wanaolipwaga mishahara na mabuzi yao kwa ajili ya kuwazalisha nje ya ndoa kinakuja kuota nyasi
 
Back
Top Bottom