Sasa ni dhahiri Bungeni kuna kundi la Rais Samia na kundi la Hayati Magufuli. Spika Ndugai awataka wabunge wa CCM kuitisha kikao cha usuluhishi

Huyu KADEMKA kwa kinyume chake [emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani !!!

Leo nimekutana na kijana mmoja hivi mitaa ya Surrender Bridge ana ubao umendikwa kwa chaki

Inaonekana kuna kundi linalazimisha LEGACY ya marehemu ambayo ni mbaya tu hata iweje haitengenezeki ...

1. WASIOJULIKANA
2. UBAGUZI WA KISIASA
3. UNUNUZI WA WAPINZANI (MADIWANI & WABUNGE KWA FEDHA ZA WALIPA KODI)
4. UKABILA
5. UNUNUZI WA NDEGE KWA CASH
6. UCHUMI WA KATI BILA YA AJIRA
7. UPORAJI WA PESA ZA WATU (BUREAU DE CHANGE)
8. UBAMBIKIAJI KESI
9. UUWAJI (KUPIGWA RISASI LISSU)
10. MIAKA MI'5 BILA YA AJIRA

11 ... to name the less jamani ni mengi jamani LEGACY haitengenezeki tena nimengi mabaya kuliko mazuri
 
Hahah raha sana kushuhudia CCM wananyukana aisee, walizoea kuwazodoa wabunge wa vyama mbadala
 
Kwa hilo Mkuu utaipenda JF ila nasikitika sana Zitto michango yake mingi humu alitaka ifutwe kwa kuwa hakupenda iendelee kuwa humu na uongozi wa JF ukamkubalia na kufuta michango hiyo.
JF ina kila kielelezo
 
Kwa hilo Mkuu utaipenda JF ila nasikitika sana Zitto michango yake mingi humu alitaka ifutwe kwa kuwa hakupenda iendelee kuwa humu na uongozi wa JF ukamkubalia na kufuta michango hiyo.
Mtu akichagua usaliti hatuna cha kumfanya .
 
Reactions: BAK
Hizo alama alizoacha ni zipi, keshaenda zake na akili na roho havipo tena.
Ameacha alama ya umaskini, visasi, wivu, ukabila na udini sasa mnataka tuvienzi hivi?
 
the so called kundi la magufuli ni hao darasa la 7 kina msukuma, lusinde and the like - they are so stupid.
 
Najiuliza hao group ya Magufuli wanakuwa wanataka nini kwa sasa???? Maana mtu wao sio tu kwamba hayupo serikalini bali ameshafariki sasa wanachotaka nini?

Nachokiona hao wanaojiita Magufuli group itakuwa wanataka kutumia jina kwa manufaa yao maana wamegundua they are about to become irrelevant kabisa sasa the only way to survive ni kujifanya wanatetea mtu ambaye hayupo 🤷🤷🤷🤷
 
Mkuu wewe ulikuwa hujalijua hilo? Mbona thread nyingi tu hapa zinazungumzia hilo jambo?
Upande mmoja kuna msoga gang, kundi linaloongozwa na jk na wafuasi wake (january, nape, riziwani, nk) ambao wanafanya jitihada za nguvu kumtenganisha samia kutoka kwenye awamu ya 5 na hatimaye kuifuta legacy ya Mwendazake.

Hili ni kundi la watu waliokuwa na ulaji kwenye awamu ya 4, iwe kwa vyeo, biashara halali na haramu (vituo vya mafuta, unga, pembe za ndovu, nk) lakini walipigwa chini na mwendazake.

Kundi la pili ni la wale wanaoenda na mass ya watanzania na kusema 'haifutwi legacy ya mtu hapa', wako tayari kuitetea na kuilinda legacy ya awamu ya 5 kwa nguvu zote.

Mipashano imehamia bungeni sasa!
 
Nenda kamwage sumu ili wafe wote, roho yako ifurahi zaidi. Maana unakiu ya damu.
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amemuagiza Katibu wa wabunge wa CCM Jasson Rweikiza kuitisha kikao cha kamati ya wabunge wa CCM (party caucus) kwasababu ndio mahali wanaweza kudhibitiana...
Hawa wabunge kweli ni viti maaluma.legacy haitetewi.magufuri pro someni kitabu cha WHO WILL CRY WHEN YOU DIE then muone kwanini kuna Hii sintofahamu bungeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…